Jacqueline Mengi aendelea kudondokea pua rufaa, mahakama yaondoa maombi yake ya kutaka kuurudisha wosia

Jacqueline Mengi aendelea kudondokea pua rufaa, mahakama yaondoa maombi yake ya kutaka kuurudisha wosia

Shida ndo hvyo sema hawezi kujishughulisha yaani yeye anataka awe top ila watu wamfanyie kipindi Yuko na mengi angekua mwingine angekua na miradi yake mingi TU sasa hivi binafsi akajisahau kabisaaa yaani ndo maana anahangaika

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Wanawake aina hii hawana akili hiyo
Wao wanataka muda wote kutumia
Leo yuko dubai kesho Paris,keshokutwa Italy sjui

Ova
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kwamba jeff benzos ilibdi awagawie na wanaeee...!! Wakati bado yupo haii khaa..Mali zinagawanya kati ya mume na mkee suala la watoto kurithishwa ni maamuzi ya baba au mama baada ya kupewa hizo mali ataamua..
Hujawahi oma mtu anatransfer sehemu ya shares zake kwa mtu mwingine? Nendeni basi walau mkasome The Companies Act Cap 212 kidogo kama hii mnaona ni kitu cha ajabu.
 
Hapa sidhan Kama Ni ulafi,
Wanataka kumnyoosha huyu mwanamke aliewaandikia urithi wa buku buku.

Ujue Hii kupewa buku buku dharau kubwa Sana mkuu hata Kama Mali ninazo[emoji4]
Ewaaaaah. Yaaan na watamnyooshaaa haswaaaa.
 
Kampuni ilishafilisika kabisa ikafa yeye nguvu nyingi kaamishia kwenye kesi kwaiyo anauza ata kidogo alichonacho anapambana na watoto wa marehemu
Kumbuka aliishi na yule mbjlgaria akamkimbia(tena hapa wana kisa chao mpk interpol ilingilia kati kuwa save)..akampata kinje
Huyu ni mtu wa kutangatanga tu
Alipompata mengi hapo sasa alitakiwa kutulia,ajijengee aache machepele

Ova
 
Kwamba wasia alikuwa nao kwenye kipochi manyoya akizurura nao kila mahali mjini akiujadili na mashoga zake samaki samaki? Ha ha ha.
[emoji23][emoji23][emoji23] ndio. Na serena
Ameupaka kinyama..
 
Hujawahi oma mtu anatransfer sehemu ya shares zake kwa mtu mwingine? Nendeni basi walau mkasome The Companies Act Cap 212 kidogo kama hii mnaona ni kitu cha ajabu.
Tofauti ya Kutransfer na kurithisha ni nini???
 
Nimekuuliza ingekuwa wewe ungekubali ndugu zako wapewe chao mapema?hata Kama umechelewa kuja duniani?
Nachoka hata kukujibu sababu unauliza petty issues,ni kama tu umeamua kubishana. Ni kipi hapo ambacho wale wadogo wanapunjwa? Si wanapewa haki sawa na ndugu zao kutoka kwa shares za Baba yao? Ni hivi,mshaurini Dada yenu apunguze u Slay Queen aanze sasa kufanya kazi kwa bidii ili aje awaongezee watoto wake juu ya kile wamepata kwa Baba yao,habari ya kulilia kilichotafutwa na Mwanamke mwingine hiyo haipo.
 
Mzee mengi si alikuwa chovyachovya
Na jacky mzee alichomekewa,mission ilitengenezwa wakutane,walijua lzm mzee ataingia kwenye 18 atamnasa
Na alimnasa....

Ova

Yule dem bana mara walikutana kwenye ndege wakiwa wanaenda london na blahblah kibao wakati alikua anatafuta chance ya kupeleka proposal zake kwa mzee kupitia machawa chance ikapatikana mambo yakaanzia hapo baada ya mshua nae kuelewa pisi,
 
Nachoka hata kukujibu sababu unauliza petty issues,ni kama tu umeamua kubishana. Ni kipi hapo ambacho wale wadogo wanapunjwa? Si wanapewa haki sawa na ndugu zao kutoka kwa shares za Baba yao? Ni hivi,mshaurini Dada yenu apunguze u Slay Queen aanze sasa kufanya kazi kwa bidii ili aje awaongezee watoto wake juu ya kile wamepata kwa Baba yao,habari ya kulilia kilichotafutwa na Mwanamke mwingine hiyo haipo.

Halafu ukute unabishana na mjane mwenyewe au ndugu wa wajane
 
Nawakumbusha mahakama ya rufani ndio mahakama ya juu kwa Tanzania shauri likishaamuliwa hapo imetoka hiyo, yaani mahakama kuu walishatoka na wameenda mahakama ya rufani hapo mchongo umeishia hapo
 
Yupo yupo tu....

Ila huyu jacky kuna watu wamemshika akili....ashukuru hata hicho atakacho
Pewa sasa yeye anataka chote

Ova

Halafu angeigiza kulia kwa kugalagala kabisa akajishusha, kwanza wangemtunza kwa heshima zote kabisa, na madogo wale hawawezi kuteseka maana wakubwa zao wangewahandle ili damu ya mzee isiadhirike sasa tamaa mbaya sana
 
Yule dem bana mara walikutana kwenye ndege wakiwa wanaenda london na blahblah kibao wakati alikua anatafuta chance ya kupeleka proposal zake kwa mzee kupitia machawa chance ikapatikana mambo yakaanzia hapo baada ya mshua nae kuelewa pisi,
Hizo stori tu kuna mama mmja mjini
Hapa tena mama wa mjini haswa
Anamiliki saloon,spa moja na sahv yuko masaki akikuambia mission ilivyokuwa,kweli utasema kuna watu
Mafia wanajua kumpekecha mtu [emoji1]
Sema Acha tumezeee
Jack classmate wangu forodhan primary school bana
Haitopendeza watu wakimwaga mchele hadharani

Ova
 
Back
Top Bottom