Moronight walker
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 3,103
- 4,704
ILA SI WATOTO WA MENGI HATA KAMA HAWAJAOA SHERIA INASEMA MTOTO ANAHAKI YA KURITHI MALI YA MZAZI WAKE.Saasa tatizo wale watot wa mengi wote hawajao Wala kuolewaa
Mm naona tu wanufaikaji Ni wale watot
MKUU SHERIA INASEMA MTOTO ANAHAKI YA KURITHI MALI YA MZAZI WAKE SO WATOTO WOTE WA MENGI WATARITHI TUU HAKUNA KIPINGAMIZI HAPO.Ndoa sikitu na watoto sikitu na wosia sikitu kwenye mambo ya urithi, mahakama inachoangalia ni kuona haki inatendeka kwa watoto wa marehemu na mama zao na je mama wa watoto walichangia kiasi gani kwenye hiyo mali.
Anafikili kufanya biashara ni raisi sana , ngoja apewe HIZO MALI ma WATOTO asije akafujisha zote, maana mali nazo zinapotea.Sawa sikatai lakini mbona alifunguliwa miradi ameiua ,au anataka awe CEO wa IPP na associates wake?
Singapore. Lazima atapata kiasi flani hata kama hakuchangia hata 1% ATAPEWA hakuna mke anayepata 0%Miradhi ipi umeona mwanamke wa ndoa hajapewa urithi mahakamani kisa hakutafuta na mmewe?
Kwa nini?Shida inaonekana upande wa Mengi wanamzingua. Unakumbuka waligoma kuwasomesha watoto wa Jack?
Kama ni hivyo basi kwa asilimia kubwa hausiki ila lazima ATAPEWA hata asilimia kiasi flani. Coz alikuwa ni mkeNdoa siyo mirathi. Jack alipofunga ndoa Mengi tayari mali alikuwa nazo,
Mimi mwenyewe nimemuhuliza kwa nini Wagome, SIDHANI kama ni kweli walikataa kuwasomesha wadogo zao.Hawawezi kugoma kuwasomesha na wale watoto ni damu zao labda kuna mabadiliko mfano kuwaamisha shule ndo wakashindwa kuelewana, jack inabidi akubali sasa hivi mengi hayupo kwaiyo maisha hayawezi kuwa vile vile, matunzo ambayo alikua anayapata yeye na watoto lazima yatashuka haiwezekani yakawa vile vile kama kipindi ambacho mengi yupo
Awe na USHAHIDI sasa kama HANA, Hana chake.Baada ya kufunga ndoa unataka kusema hakuna walivyochuma wote? Mengi na Jack wameishi miaka mingapi?
We nae bachuuu nini sasa ....unajaza serverBachuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu..........kisa mali za mangi !???
WAKIACHANA mahakamani au kisela?Mzee mengi alimfumania mkewe.hii stori uwa haisemwi Sana.
Na nimemuuliza huyo jamaa mengi alikuwa na ndoa ipi wakati alishaachana na mkewe alipomfumania
Duu kumbe kuna Mgao wa WATOTO sita daaaKama nimeelewa hoja za jack za kukata rufaa ni kutaka wosia wa mengi ule wa mwanzo ndo utumike
Yote kwa yote jack hawezi kukosa chochote maana ana watoto wa mengi wawili, kama mengi kaacha watoto 4 wanaofahamika na wale watoto mapacha wapo ndani ni lazma watakuja kugawana sawa na ndugu zao.je mama yapo hatopata ?
na ukiangalia mzee Mali zake kila siku zinaongezeka
Vita ya Mchaga na Muha, ngoja tuone mwisho wake.Naona Mama huyu anashindana na wachaga! Sijui kama anawajua wachaga vizuri!
Ni Muha wa Manyovu kwa Makamu wa Rais.Ni kweli mkuu, K lyn alikosea alipozidisha tamaa yaan apate sehemu kubwa kuliko familia ya mzee (watoto wakubwa)
NB: Jack(K lyn) si mhaya.
Duuu hio ni hatari kama ndo hivyo hata MALI za WATOTO akichukua anaweza kufugisha na zikapotea.Dubai kuna Bwanake. Hata alipokuwa huko marehemu alikuwa anamwacha Mzee mgonjwa anaenda kwa Bwanake. Familia ilipojulishwa kuwa bana Hali iko hatsrini waliosafiri kimyakimya mpaka hospitali hawakumkuta Danga. Wakampigia simu haikupatokana. Yaani hili ni international Danga.
Na vipi kuhusu watoto aliozaa na Mengi?Wosia ulisha pigwa Chini. Halafu kisheria Mali ulizozikuta ni za bwana kabla ya ndoa sio Mali zako.
Kapewa nyumba dar na machame, unaijua kweli hiyo nyumba ya machame ilivyo!Baada ya kufunga ndoa unataka kusema hakuna walivyochuma wote? Mengi na Jack wameishi miaka mingapi?
Press ya Nini.!? Wakati mali za baba yao na mama yao na walihusika pakubwa kuzichumaWALE WATOTO WAKUBWA NI MATURED ENOUGH TO HANDLE HARD TIMES LIKE THIS ,JE NI KWANN WASIJE ITISHA PRESS CONFERENCE KUELEZEA NI MWAKA GANI BABA YAO ALIWA KASIMISHA MAJUKUMU YA MALI ZOTE NA BIASHARA ZOOOOTEE ............HII ITASAIDIA KU MAKE SENSE ASEEEEEEEEEEEEE
Early 40sPress ya Nini.!? Wakati mali za baba yao na mama yao na walihusika pakubwa kuzichuma
Kumbuka wale ni watu wazima first born wa mengi Yuko around 50's abdiel atakuwa late 40's
So wamehusika pakubwa na hata baba yao wakati Yuko hai walikuwa na positions Kila mtu ndani ya IPP.
So hawana Cha kuthibitishia ulimwengu.
Hizo asset ni za baba na mama yao.
Nyumba ya machame hawez pewaKapewa nyumba dar na machame, unaijua kweli hiyo nyumba ya machame ilivyo!
Jack kazidi tamaa