Jacqueline Mengi aendelea kudondokea pua rufaa, mahakama yaondoa maombi yake ya kutaka kuurudisha wosia

Jacqueline Mengi aendelea kudondokea pua rufaa, mahakama yaondoa maombi yake ya kutaka kuurudisha wosia

Kwa hyo unataka kusema licha ya jack kuolewa na mengi Hana haki ya kurithi?hamuoni Kama no dhuluma kwa mjane?mzee alishajichanganya waangalie kilicho chake wampe waachane kwa amani.na hao watoto ni lazma walelewe na mama yao kupitia fedha za baba yao.hauwezi kusema mpaka wakue ndo wapewe . Nani atawasomesha?
Tatizo kumeshajengeka uadui mkubwa mno Kati Yao. Hata hivyo Busara itatumia. Watoto atakaa nao hakuna wa kuwachukua labda awashindwe. Watoto watakuwa huru kuamua kujiunga na ndugu au kujitenga na ndugu wakifikisha 18 years.
 
Kuna mtoto mmoja wa kiume amebaki kati ya wale aliozaa na huyu mumewe wa sasa,yupo Marekani anasoma.Nadhani atakuwa amekuja kwenye misiba ya ndugu zake.Ni kweli ukikuta watu wamechuma mali zao za familia uwe na adabu.Ukijifanya mjuaji ndiyo hayo sasa yanakuja kukutokea.
Huyooo akimaliza msiba akiondoka harudi Tena Tanzania

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hao watoto wanatakiwa wapewe mizigo yao mapema.vinginevyo huko mbele watakuja kudhulumiwa.
Tatizo kumeshajengeka uadui mkubwa mno Kati Yao. Hata hivyo Busara itatumia. Watoto atakaa nao hakuna wa kuwachukua labda awashindwe. Watoto watakuwa huru kuamua kujiunga na ndugu au kujitenga na ndugu wakifikisha 18 years.
 
Wewe jaq ebu tulia ,jumba ulilopewa la kinonondoni ,biashara alizokufungulia na baadhi ya pesa alizokuachia Late Mengi ilipaswa utulize KIPAGO ,achana na mali za mke mkubwa.
Jumba lake liko Moshi ndo liko binafsi nyingine mali nyingi za Mengi ni za kampuni hata Ile nyumba ha Kinondoni nadhani Iko chini ya IPP ndo maana anataka kampuni Ili amiliki Mali,Mengi Mali zake nyingi ni za kampuni hapo ndo alicheza kama Pele yaani

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Sasa hyo mirathi miaka yote inasubiri nini kugaiwa?
Hao Nia yao wanataka kmdhulumu jack na watoto wake.ndo maana walikataa kuwalipia ada
Kaka sio kweli hawakuktaa kulipa ada Jacky kahamia Dubai ,kapeleka watoto Dubai anataka wasome shule shule za VIP plus gharama za kuishi kule Dubai yeye na watoto kivip wamhudumie ndo wakagoma.. inshort Jacky anataka Aishi maishaa ya juu sana kama kuwakomoa vile!!

Mbona IST walikua wanawalipia ada

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ninahisi kupitia hilo watoto wake hao wa kwanza wanaitumia vizuri na wanaona ni haki yao
 
Jumba lake liko Moshi ndo liko binafsi nyingine mali nyingi za Mengi ni za kampuni hata Ile nyumba ha Kinondoni nadhani Iko chini ya IPP ndo maana anataka kampuni Ili amiliki Mali,Mengi Mali zake nyingi ni za kampuni hapo ndo alicheza kama Pele yaani

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Aiseee noma sana.
 
Hapo kazi wanayo.tena watoto mapacha kila mtoto na urithi wake,na mama yao urithi wake.
Mengi alijua kulitafuta
Unapaswa kujua kuna 25% ya kina Regina tangu Wazazi wao wakiwa hai,halafu kwa ile 75% iliyobaki nusu yake kwa maana ya 37.5% ni ya Mercy Mengi ambayo ni wazi inakwenda kwa watoto wake.

Mpaka hapo Wale wakubwa tayari wana 62%. Hapa kinachogawanywa ni ile 37.5% tu ya Mzee Mengi ambayo ndiyo Jack alitaka achukue yote na watoto wake kitu ambacho si sawa kisheria. Wale wakubwa wana haki yao pia kwa hiyo share ya Baba yao. Ndiyo maana ujuaji wa Jack utamgharimu zaidi kwakuwa wale watoto wakubwa hata kabla ya huu mzozo wana upper hand kuliko yeye.
 
Huyooo akimaliza msiba akiondoka harudi Tena Tanzania

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hilo hata mimi nina uhakika,hana cha kupoteza.Kwanza Baba yao Mzazi alizikwa Bukoba,lakini kwa mujibu wa Victoire hawa wamezikwa hapo Shambani kwao Kibaha.

Maana yake tayari hapo mpasuko upo. Ndugu hawakutaka kabisa kuwapeleka alipo Mumewe na Baba yao .Huyu mtoto hiyo nguvu ya kurudi anaipata wapi tena?
 
Hao watoto wanatakiwa wapewe mizigo yao mapema.vinginevyo huko mbele watakuja kudhulumiwa.
Sheria hairuhusu sasa, ni mpaka wafikishe miaka 18. Ujuaji wa Mama yao tu, kutaka kumiliki kila kitu ili atumie kukeep up her life style
 
Aiseee noma sana.
Alikuwa gizani, Mzee alikuwa mjanja.Hata ule wosia atakuwa alimsainia huku anajua kabisa kinachokwenda kutokea mbele. Kama kweli Mzee angetaka kumpa serious mali, yule mwanasheria wa siku zote Michael Ngaro angehusika.

Lakini wosia unasiainiwa na Advocates wa Magomeni huko ulikuwa ujanja wa kitoto kabisa. Wakati mwingine kuwa na elimu kunasaidia
 
Alikuwa gizani,Mzee alikuwa mjanja.Hata ule wosia atakuwa alimsainia huku anajua kabisa kinachokwenda kutokea mbele.Kama kweli Mzee angetaka kumpa serious mali,yule mwanasheria wa siku zote Michael Ngaro angehusika.Lakini wosia unasiainiwa na Advocates wa Magomeni huko ulikuwa ujanja wa kitoto kabisa. Wakati mwingine kuwa na elimu kunasaidia
Ni kigogo[emoji23][emoji23]
Mrs. Shuma...
 
Huwa najiuliza sana, marehemu wakati yupo hai na anamkaza huyu sister kwanini hakumpa shea yake kabisa????
Maana kama Mengi angekuwa anampenda na anataka kumpa mali zake si angempa na kumilikisha wakati yupo hai.
Ila kwa wachagga huyu mama atajuta kuwajua. Tujipe muda
Mengi mwenyewe alikuwa na kesi na mke wake kuhusu mgao wa malii ambayo ilikuwa haijaishaa badoo yani Hapo pagumu sanaaa.

Jack akubali vichache alivyoambuliaaa labda watoto wake watakuja kupata sehemu kubwa ya mgao ila kwa sasa hao wachaga wanaweza kumuwaishaaa aheraaa labda kama aende kuishi Mwezini ila hapa hapa tz aisee atatumiwa hata ndugu wa karibu kabisaaa...
 
Sasa hebu ona,yani Mzee Mengi miaka yote ana mwanasheria mmoja tu Michael Ngaro ndiyo anafahamika.Leo hii aandike wosia kwa kutumia mwanasheria mwenye ofisi kigogo kweli [emoji3][emoji3]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jack kengee sanaa...!!
 
Mengi mwenyewe alikuwa na kesi na mke wake kuhusu mgao wa malii ambayo ilikuwa haijaishaa badoo yani Hapo pagumu sanaaa... Jack akubali vichache alivyoambuliaaa labda watoto wake watakuja kupata sehemu kubwa ya mgao ila kwa sasa hao wachaga wanaweza kumuwaishaaa aheraaa labda kama aende kuishi Mwezini ila hapa hapa tz aisee atatumiwa hata ndugu wa karibu kabisaaa...
Kwa ujuaji wake na alivyowatibua hivi lile Jumba la Machame atathubutu kweli kwenda kukaa kule hata kwa week moja? Maana anakuwa amewafuta huko huko adui zake.
 
Tatozo Jack amei

Aliidhalilisha hii familia. Yaani amelikoroga mwenyewe Ila kwa kuwa waliambiwa warudi Wakae mezani wakubaliane ni kipi cha kugawa na kipi cha kubaki kuendeleza business legacy ya Mzee basi Ngoja tusubiri. Ila kwa kuwa wameshakosana basi Jack atulie apewe chochote. By the way ana nyumba kinondoni anakoishi ni yake. Japo ilikuwa na mkopo ila ninaamini iko free sasa.
Mmm wengine tunayasomaga yakija hapa jukwaani basi, Mungu awasaidiye wayamalize tu kwakweli
 
Back
Top Bottom