mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Antenatal hela nzuri tu sema tamaaHalafu angeigiza kulia kwa kugalagala kabisa akajishusha, kwanza wangemtunza kwa heshima zote kabisa, na madogo wale hawawezi kuteseka maana wakubwa zao wangewahandle ili damu ya mzee isiadhirike sasa tamaa mbaya sana
Kwa waliyomzunguka wanamjaza upepo
Especially kuna mwanadada mmja hivi mjingmjing
Ova