Jacqueline Mengi aendelea kudondokea pua rufaa, mahakama yaondoa maombi yake ya kutaka kuurudisha wosia

Jacqueline Mengi aendelea kudondokea pua rufaa, mahakama yaondoa maombi yake ya kutaka kuurudisha wosia

Halafu angeigiza kulia kwa kugalagala kabisa akajishusha, kwanza wangemtunza kwa heshima zote kabisa, na madogo wale hawawezi kuteseka maana wakubwa zao wangewahandle ili damu ya mzee isiadhirike sasa tamaa mbaya sana
Antenatal hela nzuri tu sema tamaa
Kwa waliyomzunguka wanamjaza upepo
Especially kuna mwanadada mmja hivi mjingmjing

Ova
 
Unaujua mfumo wa utoaji haki wa Mahakama ya Tanzania? Unajua Jack ameshindwa katika ngazi ipi au hata hujui?

Walishatoka mahakama kuu na sasa wametoka mahakama ya rufaa au rufani kwahiyo habari imeishia hapo halafu watoto wakubwa wa mengi wakitaka jambo lao lolote wasaidiwe na hata Rais dakika chache tu linaisha maana walipakodi wakubwa wale huwezi kuwasumbua kizembe .
 
Nawakumbusha mahakama ya rufani ndio mahakama ya juu kwa Tanzania shauri likishaamuliwa hapo imetoka hiyo, yaani mahakama kuu walishatoka na wameenda mahakama ya rufani hapo mchongo umeishia hapo
@mjingamimi anasema atakata rufaa tena [emoji3][emoji3]
 
Halafu ukute unabishana na mjane mwenyewe au ndugu wa wajane
Au wale vijana waliokuwa wanapiga picha mjengoni Kinondoni wamekula pozi kabisa utadhani na wao ni The Mengi's kumbe Waha wa Manyovu [emoji3]
 
Hizo stori tu kuna mama mmja mjini
Hapa tena mama wa mjini haswa
Anamiliki saloon,spa moja na sahv yuko masaki akikuambia mission ilivyokuwa,kweli utasema kuna watu
Mafia wanajua kumpekecha mtu [emoji1]
Sema Acha tumezeee
Jack classmate wangu forodhan primary school bana
Haitopendeza watu wakimwaga mchele hadharani

Ova

Hahaaa nishamjua ndio kazi zake kuunganisha kwa matajiri, vigogo viongozi, na mipango yote basi mtunzie heshima classmate wako
 
Au wale vijana waliokuwa wanapiga picha mjengoni Kinondoni wamekula pozi kabisa utadhani na wao ni The Mengi's kumbe Waha wa Manyovu [emoji3]

Lakini angetumia jina la mzee kupata connection za biashara kubwakubwa ilikua easy sana kutoboa
 
Sasa bhasi hizo Asilimi 37.5% ilibidi jack agawane nusu kwa nusu na watoto wa mengi alafu yeye asimamie hisa za wanae.. Sema pia hao watoto wa Mengi ni walafii sanaaa kama walishapata za Mama yao ambazo kimsingi katafuta baba yao why wawe warohoo wakutaka na hizo zilizobaki kwa baba yao wakati baba yao alishawapa Urithi wa zile percent 25??? Ulafi ulafii tuu
Sheria haisemi wagawane nusu kwa nusu.Sheria itafuatwa katika kuzigawa hizo kwa watu watano,Watoto wa Marehemu na Mjane.
 
hyo mahakama inaendeshwa na binadamu Kama wewe.kwani mara ngapi mahakama zimeshindwa kutoa haki?
Ila Mimi binafsi yangu.
Ninavyojua matajiri wengi wanawafanya watoto wao ni wasimamizi wa Mali zao sio WANA HISA.yaani wao wanaendesha kampuni lakini umiliki unabaki kuwa kwa wazazi.
hii baadhi ya watoto una wapa umiliki alafu wanakuja kutokea watoto wako wengine Kama ilivyo kwa mengi utafanya Nini?
Maana hapo watoto wakubwa wanachukua 63%.zinabaki 37.
Kwenye 37 hizo yupo jack na watoto wake 2.na bado hao wakubwa wanataka katika hizo 37.na hapa ndipo naona ule wosia wa mengi kwamba Kama Kuna mtu anataka katika asilimia zake 37 zilizobaki apewe BUKU.ndivyo nilivyoelewa.ila yote kwa yote tuwaachie familia.
Mimi nimemaliza
Unaujua mfumo wa utoaji haki wa Mahakama ya Tanzania? Unajua Jack ameshindwa katika ngazi ipi au hata hujui?
 
Bahati mbaya sana ameshindwa kwa Mahakama ya Rufaa ya jopo la Majudge watatu,hana tena pa kukata rufaa unless hoja za kutupilia mbali shauri lake zitoe nafasi ya yeye kukata rufaa,nnje ya hapo She is done.
Basi Tena kwa golddigger tatizo akili za kuambiwa zimemponza kapigiwa hesabu za matikiti akajua mambo yatakua rahisi
 
hyo mahakama inaendeshwa na binadamu Kama wewe.kwani mara ngapi mahakama zimeshindwa kutoa haki?
Ila Mimi binafsi yangu.
Ninavyojua matajiri wengi wanawafanya watoto wao ni wasimamizi wa Mali zao sio WANA HISA.yaani wao wanaendesha kampuni lakini umiliki unabaki kuwa kwa wazazi.
hii baadhi ya watoto una wapa umiliki alafu wanakuja kutokea watoto wako wengine Kama ilivyo kwa mengi utafanya Nini?
Maana hapo watoto wakubwa wanachukua 63%.zinabaki 37.
Kwenye 37 hizo yupo jack na watoto wake 2.na bado hao wakubwa wanataka katika hizo 37.na hapa ndipo naona ule wosia wa mengi kwamba Kama Kuna mtu anataka katika asilimia zake 37 zilizobaki apewe BUKU.ndivyo nilivyoelewa.ila yote kwa yote tuwaachie familia.
Mimi nimemaliza
Mahakama ya Majudge watatu imeshamaliza.Hata ungekesha unabisha isingesaidia kubatilisha uamuzi wa Jopo la Majudge watatu
 
Wanakakundi kao kale sema mmoja kala ubalozi nowdays kamute
Mfano yule mke aliyekua Waziri wa maliasili baadae kakimbili chadema alafu karudi Tena ccm inamaana alishindwa kumshauri rafiki yake sababu kasoma sheria udsm
 
Ni kweli ila usisahau kuwa majaji ni binadamu Kama wewe.
Mahakama ya Majudge watatu imeshamaliza.Hata ungekesha unabisha isingesaidia kubatilisha uamuzi wa Jopo la Majudge watatu
 
Na hili suala la jk kubaki kusimania hii family ndo imeharibu kiila kitu. Tungemuona madamme wa tea part segerea[emoji23] busara my foot...
Ni kweli busara za JK na Mama Salma ndio zilifanya huyo slay Queen hasiende Segerea
 
Back
Top Bottom