hana hela ya kuwa na mkoba wa bei hiyo mmewe hana uchumi huo pili mzee baba bahili sana kapata mali kwa jasho na damu ,huyu dada akiwa bongo anatembelea evoq gari ya mil 200 ndo anunue mkoba wa 65 mil ,hayo wanayaweza wanamuziki maarufuLisilowezekana kwako,
Kwake linawezekana...Pesa hiyo mzee!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
At least we umeongea ukweli...japo itaonekana ni hatred!hana hela ya kuwa na mkoba wa bei hiyo mmewe hana uchumi huo pili mzee baba bahili sana kapata mali kwa jasho na damu ,huyu dada akiwa bongo anatembelea evoq gari ya mil 200 ndo anunue mkoba wa 65 mil ,hayo wanayaweza wanamuziki maarufu
Hahahaha,hana hela ya kuwa na mkoba wa bei hiyo mmewe hana uchumi huo pili mzee baba bahili sana kapata mali kwa jasho na damu ,huyu dada akiwa bongo anatembelea evoq gari ya mil 200 ndo anunue mkoba wa 65 mil ,hayo wanayaweza wanamuziki maarufu
wapo hata mimi najua mr patel anapete ya mil 200 ,ila niamini huyu dada anamaisha ya kawaida sana akiwa bongo ,hata mzee mengi wa kawaida sana mi nakutana nao sana arusha hotel za bill laki moja hadi tatuHahahaha,
Wewe mzee hapa bongo kuna watu nawafahamu wanavaa saa za 50M sembuse pochi ?? Una utani wewe mzee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha, kwani kwenda kwenye Hotel za Laki ndiyo shida mzee ?? Swala ni kwamba huo uwezo wa kununua hiyo pochi anao. Tena mkubwa tu....wapo hata mimi najua mr patel anapete ya mil 200 ,ila niamini huyu dada anamaisha ya kawaida sana akiwa bongo ,hata mzee mengi wa kawaida sana mi nakutana nao sana arusha hotel za bill laki moja hadi tatu
Nikutakie usiku mwema mkuuHahaha, kwani kwenda kwenye Hotel za Laki ndiyo shida mzee ?? Swala ni kwamba huo uwezo wa kununua hiyo pochi anao. Tena mkubwa tu....
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamii aliileta yeye dunani? Mzae kwa mbwebwe zenu vitandani wengine wajiangaishe!Angenunua hata kitanda kimoja kwenye zahanati ya kijijini kwao angekuwa ameisaidia jamii..
Ni ule uhakika wa milo mitatu kwa siku na kubadilisha mboga. Matibabu kwenye hospitali classic, nyumba nzuri ya kuishi, shule nzuri kwa watoto.wapo hata mimi najua mr patel anapete ya mil 200 ,ila niamini huyu dada anamaisha ya kawaida sana akiwa bongo ,hata mzee mengi wa kawaida sana mi nakutana nao sana arusha hotel za bill laki moja hadi tatu
Nakuelewa mama ndo maana nimemwambia jamaa usiku mwema ,maana umaskini wetu unafanya tuone maisha ya wengine kwenye picha ya uongoNi ule uhakika wa milo mitatu kwa siku na kubadilisha mboga. Matibabu kwenye hospitali classic, nyumba nzuri ya kuishi, shule nzuri kwa watoto.
Wengi wetu hivyo ni anasa
Meona eeeh!MENGI TAJIRI !!
MKUBWA TU,SANA TU .
ila HANA HIYO HELA YA HIVYO.
Mnajipa moyo tu mkuu,tafuteni mtu wa Singita grunet/Bilila hotel awaambie Mzee akienda hapo anaachaga sh. Ngapi?
Huna uzalendo weweJamii aliileta yeye dunani? Mzae kwa mbwebwe zenu vitandani wengine wajiangaishe!
Kuna vibaka wa kila stage kiongozi, mpaka kwa mkulu pale magogoni hukosi vibaka. Kumbuka huyu alikuwa mwana bongo fleva bado anazile ties na vibaka kibao hasa wale wa Bongo mavi sema ndo vile hawajasanukia thamani yake.