Hahaha..lipa hela ya watu usije ukapewa notisiSasa mtu ana miliki mkoba wa mil 68 mm nadaiwa pango miezi hii[emoji111]. Maisha sio fear
Sent using Jamii Forums mobile app
Atakeapua kwa lengo la kukuta change not a handbag itself!Kibaka akiukwapua keshatoka kimaisha , uzuri wake sio mtu wa daladala
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao wasio na uwezo kwann wasitafute za kwao??Angechukua laki tano tu akampa mmasai amtengenezee mkoba kwa ngozi ya mbuzi, pesa inayobaki angefanyia mambo ya msingi au kuwasaidia wasio na uwezo kama hana kazi nazo
Sent using Jamii Forums mobile app
Akiiba anaweza asipate hats 20,000 atamuuzia nani kwa bei ya juu? Huku mtaani wadada hawajui mambo ya designerKibaka akiukwapua keshatoka kimaisha , uzuri wake sio mtu wa daladala
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni fashini, idadi ya matundu ndo bei yake kwa dolarAiseeee hongera zake, sasa mbona kavaa sarawili iliyochanika?
Akili za aliyekata tamaa, au mwenye chuki binafsiKinachoniskitisha ni kua anaenda toilet kama wengine, hapumui hewa zaid ya oxygen and kuna siku naye atazikwa.Dunia mapambo tu hayo,ukitambua hilo halitokutisha and you will live Free!!!!
Namkubali sana huyu kylin na yule miss Nancy SumariTumea dada wewe ndio unajua kwa kiasi gani Mr anazo wewe tungua tuuh ndio mwanamke bora Tanzania anajua kutumia mwili wake vizuri kuliko hawa wengine wao kazi kusemana kwny instagram na kupiga picha na zile bora sijui zinaitwaje?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Duh heri yangu sikujua hili
miongoni mwa familia inayosaidia jamii ya Kitanzania iliyomaskini ni hii familia ya Mengi.Angenunua hata kitanda kimoja kwenye zahanati ya kijijini kwao angekuwa ameisaidia jamii..
Fake mkoba kwani hazipo fake zake? Liliku swali hilo