Jacqueline Mengi anamiliki mkoba wenye thamani ya zaidi ya milioni 60

Ndiyo maana nikamuuliza hivyo. Kiufupi Amorete ipo ndani ya IPP yaani ni kampuni tanzu. Kufungwa kwa kufilisika sidhani labda waamue tu. Yaani Jackline ktk pesa ni kama mchaga. Kuiweka Amorete ndani ya IPP was a smart move.
Hakika
 
Wabongo watafyatua mafeki kama zile GUCCI za pale kariakoo mpk mtashangaa
 
Kinachoniskitisha ni kua anaenda toilet kama wengine, hapumui hewa zaid ya oxygen and kuna siku naye atazikwa.Dunia mapambo tu hayo,ukitambua hilo halitokutisha and you will live Free!!!!
Maskini kwa kujipa moyo ni hatari sana.
 
Mkuu nawe unajiandaa kuolewa kwa heshima?
 
We jamaa nawe ni jiiiiinga tu(sorry kwa kukutakana lkn),nawe ukaamini kabisa idrisa alipewa saa ya mil. 500?

Kua mtu mzima epuka story za instagram huku mkuu.
 
Kupitia kauli yako najidhihirishia kuwa wewe si mzalendo kama yule mwenzako.....anyway..endelea kula bange
Wazalendo wamepiga 1.5tril,kila siku wananunua wapinzani(hizo hela bora zingelipia mikopo ya wanafunzi vyuoni huko).

Komaa na uzalendo wako bob.
 
Hamna kitu!
Uwongo wake tu!
Mduka wake wa furniture imemshinda!
Hamna kitu kwa huyo mama walahi!
That’s all!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ISIS vipi mama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…