Jackal
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 9,971
- 13,608
Mali zote?Huyu demu kichaa!!!Unaelewa Hii case ? Umeskia hawapewi ?mama yao kyln anataka mali zote za marehemu
Mimi nilidhani kadhulumiwa hakupewa chochote ndio angalau anadai aambulie kitu.Huu ni uduanzi wa kiwango cha PhD!!!