Huyo hataacha kuweweseka mpk.... binafsi namshauri amtafute kwanza Mkuu Mshana Jr amuweke vzrHuyu bado ana akili za madanga pamoja na kuwa aliolewa na bilionea, hajui silence speaks volume...
Familia iko kimya...mahakama inafanya yake..yeye anasema jambo likiwa mahakamani siyo siri linazungumzwa nje kabla
Hahaha mimi nimecheka tu hapo anapowaita Abdiel na Regina "watoto wetu "
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani fenicha biashara mbaya?Yaani Jack ana strategic plan kuhusu biashara? Unaota mkuu.Jack hatawesa kuwa bilionea..kwasabbu deep inside anajua sio mkweli..hkunaga..hela inataka usafi wa rohomkuu...huyo ataishia level hizo hizo...kwa ubilionea nakataa! Hana akili hizo..umekaa na mume 9yrs unakuja kufanya biashara za furniture?? Khaa
Kwani fenicha biashara mbaya?
Nawaza tuu kuwa wakati mwingine unaweza kuwapenda hao ndugu wa mume .... Na wala sio lazima wao wakupende.....!!! Hasa kwa scenario kama hii ya familia ya kibilionea.....Angempenda Mengi angependa na ndugu zake, yeye alikua na maslahi yake, ndugu za Mengi wamemu expose hivyo anachukia...
Mbona kama wewe ndio mweupe kumshinda[emoji848]Huyu bibieee nilikuwa namuona smart sana kumbe ni mweupeeeeeeh uwiiiiiih lol, kapitwa Hadi na Zari yaan saiv anavojichanganya nabaki kuona aibu Mimi Damon, ningekuwa mim ndo jack wallah saiv ningekua na mabilli ya pesa kweny acc huko Ughaibun, sas yey ndo akaona et kuuza furnitures iz it real,? Poleeeeeeeeeh yakeeee ujanja kuwahi mweeeeeeh.
Sent using Jamii Forums mobile app
not this Jackie!Hata Mahakama ikigawa mali upya huyu jackie na wanawe wanaishia kuwa ma bilionea. Na believe it or not palipo uhai, by the time mapacha wake wanafika umri sawa na watoto wakubwa wa mengi huyu jackie atakuwa amejenga business empire kubwa kuliko mali yote aliyoiacha mengi!!!
Huyu dem ni strategist na ana akili ya biashara kuliko wale watoto wakubwa wa mengi. Kwa kifupi zikiibuka business empire mbili tofauti, ya huyu itakuwa zaidi kuliko ya familia ya mke wa kwanza!!!
Kwa waliomjua “Reg” alikuwa kijana sana ndani. Tulikuwa tunasafiri sana na kutoka. Tushaenda pamoja show ya Rihanna.
We nae Acha mambo yako
So na JF pia inatumika au
Its very funny miaka 9 anataka aende sawa na watoto wenye miaka 50 who been thru hell kumsaidia baba aoJack hana washauri? Hajui kuwa hiyo mali wakina Regina wameweka nguvu zao mpaka yeye kuvutiwa nayo?
Hiyo ya kusema walishachukua ya mama yao haina nguvu na ni kutaka kushindana nao tu.
Ni ujinga kuwa na bilionea ushindwe kuwa na kikampuni hata cha kuuza karanga za 50 Tanzania nzima ukawa unasambaza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna asiejua alichofanya Abdiel kwenye media?Huna unalojua wewe Hiyo Channel 5 unadhani alianzisha Nani ??? Hiyo ilianzishwa na Abiel mtoto wa mengi.. Mke wa Zamani wa mengi ni mtoto wa kishua na kwa pamoja walichangia kuinua issue za mengi ndio maana baada ya kuachana waligawana 50-50
Sent using Jamii Forums mobile app