Jacqueline Mengi: Maneno ya kashfa na kumchafua mume wangu yamesemwa mahakamani, sikubali usuluhishi hadi yakafutwe

Mkuu kwan we bado ujaolewa ufanye makubwa kuliko jack

地那天刚才妇产科☆
 
Usilolijua Mercy Mengi ndo alikua mtoto wa Chifu huko Moshi
She is the source of wealth
 
lunatoc, Hapana, ni binadamu pia, usimuombee mabaya namna hiyo, msamehe tu kama alikukosea. Kwa anayopitia hata kama ana deserve ila kinywa chako kisishiriki kutoa laana zaidi. Muombee tu Mungu ampe kwa kadri ya anavyostahiri kwenye hiyo urithi ili kila MTU akaishi kwa amani kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Burnaboy,
Una matatizo sio bure
Unakujaje kutaka kuuliza Regina kafanya nini kwenye biashara ya baba'ke..atataja mangapi?.

Wanaowajua they can tell you nishasoma mfano moja kuwa
Walikuwa hawaendi kucheza mchana wako home na mshua wanatengeneza kalamu/bic
Ngoja waje wanaowajua wakujuze!
 
mila za kichaga zinasemaje? Maana ukisema mila hapo watagawana pasu kwa pasu
Na hilo ndo linalotafutwa, so wakigawana that 25% na Mali zingine nusu kwa nusu ndo suruhisho pekee, sababu Jacky lazima apate na atapata kingi tu sana, hapo hatotimiza ndoto yake anayoiota ya kurithi vyote peke ake na watoto wake, na hiyo ndo inamuumiza right now kuona mpango wake unakwamishwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu Sasa hivi Atulie tu Dawa imuingie.. Kina Regina walimuacha kipindi kile aenjoy na Mzee wakijua kuna Mahali watampata tuu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani Abdiel amekufa? Watoto gani unawazungumzia tofauti ta Regina na Abdiel.?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
We unamfahamu Reginald akiwa na Mercy au Fenicha za Molocaho? na hao wangeyumba tu hizo Kampuni zisingefika hapo kampuni zilishaanza kutetereka tangu kutengana na Mercy (japo hili halizungumzwi) Dada wa Amorette amekuta kampuni zinaanza kufifia hao anaowaita watoto wakubwa hawatokaa kizembe na ninavyofahamu wazee wakiafrica sio rahisi kuruhusu watoto wao wawe innovative lakini akija mtu janjajanja tu anaonekana amemwinua Mzee huu mtindo upo sana Africa, Baba akisema yeye ndo final say akichalenjiwa anaenda nje kutafuta faraja huko anakutana na Mafiaz .

Mfano Regina au Abdiel angetaka kuuza fenicha inawezekana (Baba angeona anataka kuchezea hela)

Hao ni kwasababu tu hawaongei tuwasikie ila kama WATATAKA KUONGEA NINA UHAKIKA WATU WATASHANGAA ila sababu hawana akili za kupuliza watapiga Kimyaaaaa.
 
Umbea tu.
Mtu unakosaje upendo wa Baba ukiwa 40+age. Kama hao Wazee hawakuweza kumshauri Mengi wakati huo wakae kimya tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani Yeye alivyosema Baada ya Baba yake kufariki alitaka kujiua Umeelewaje?
Je, hao ambao Baba yao alikuwa Hai na hawapati Mda naye unadhani walikuwa wanajisikiaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa unamwongelea Rodney au ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…