Diana Spencer
JF-Expert Member
- Nov 14, 2018
- 3,609
- 5,144
[emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28]!..incase my ass
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28]!..incase my ass
Both A and BIts either MILLAD AYO is being PAID or JACQUILINE MENGI is DESPERATE
The fact kuwa aliweka provision kuwa ukibishaniwa na walalamikaji wakashinda, inaonesha wazi hata yeye mwenyewe alielewa kuwa huo wosia wake ulikuwa una upuuzi fulani ndani yake.Wanaopinga wosia wakishinda maana yake hakuna kitakacho tekelezwa katika huo wosia ikiwa ni pamoja na hayo maelezo uliyoyasikia.
Huyu mwanamke mnafiki tu anadhani yeye ana uchungu na Mengi kuliko ndugu zake?
Tena awe makini maana anaweza kushinda kesi wakamroga hata mali asifaidi chochote. This is Africa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimecheka sana, watu wanazungumzia shares za mabilioni, yeye analeta mambo ya kiwanja chake kimoja na kigari.black hawk87,
Wacha kudanganya watu! Una mali gani wewe za kuuza na kupeleka kwa maskini au kanisani?
Kama unazo wewe tasa huna watoto
mnaomponda jack mnajifariji tu, kwa sisi wanasheria tunajua wosia wa mengi hakuna mahakama yoyote hapa duniani yenye uwezo wa kuutengua, uko sahihi na kisheria kwa 100%. hao ndugu zake sijui watapeleka ushahidi gani wa kudhibitisha mengi alichanganyikiwa. inatakiwa wapeleke ripoti ya daktari wa mengi kudhibitisha madai yao, labda wafoji, mwacheni jack ajimwambafy hakuna wakumdhulumu mali zake na watotn wake
Mfiwa namba moja na mwenye uchungu kuliko wote ni mke. Hawa wengine kinachowauma zaidi ni Mali wala siyo kufiwa!Huyu si akae kimya aache mahakama ifanye kazi yake, yaani anajifanya ana uchungu na Mengi kuliko ndugu zake waliozaliwa tumbo moja, ukoo mmoja wanamjua nje ndani.
Huku naona kama anatafuta huruma na kuwapa faida wambeya.
Uchungu una upima na nini?Mfiwa namba moja na mwenye uchungu kuliko wote ni mke. Hawa wengine kinachowauma zaidi ni Mali wala siyo kufiwa!
Jackline hawezi kuwa na uchungu na kifo cha RMengi, kwa vile tayari alikuwa na yule Mlebanon wa Element Club. Kilichokuwa kinatafutwa ni kumdesisha fasta RMengi ili walithi utajiri na waendelee kujirusha.Mfiwa namba moja na mwenye uchungu kuliko wote ni mke. Hawa wengine kinachowauma zaidi ni Mali wala siyo kufiwa!
millard kwani haruhusiwi kumhoji mtu mkuu, kazi ya uandishi wa habari si ndo iyo?Its either MILLAD AYO is being PAID or JACQUILINE MENGI is DESPERATE
Povu lote hilo kumbe umekumbuka maumivu uliyopata ulipo bikiriwa!Nimekuambia wew unakaa kwa shemeji yako usibadir gia angan kima wewe unaparamia comments za watu kwa hasira ka mwanamke anae tolewa bikra kwa Mara ya kwanza
kilicho akilini kitumie
Luka Luka tu ujumbe ushaipata usishobokeee comments za wanaume kifala fala wewe Kama huna pesa njoo tukuoe tukupe pesa tu Mana umekuja kwenye comment yangu kunia attack Kama vile nilikukula ndogo bila kukulipa. Mbwa mkubwa wewe.Povu lote hilo kumbe umekumbuka maumivu uliyopata ulipo bikiriwa !!
Duh! Jamaa asante kwa kunisaidia kumjibu huyo mtu Umelewa maana ya hoja yangu 100%. Mali ni ya baba na anajukumu la kugawia mali kwa watoto wake na mke kila mtu apate chake kwasababu Baba ni kichwa cha familia anatumiliki wote watoto na mke wake hivyo mali atakayo pewa mke mm kama mtoto hainiusu tena endapo akiolewa Baba wa kambo ndio atakuwa kichwa na mmiliki wa hizo maliAcha ujinga mkuu! Kwani uyu dem na yeye si anafukuzia urithi apo au ni zake? Sisi masikini tutulie jamaa angu yani mzee wako awe na mali alafu wewe ukubali mwanaume mwengine aje kutumia jasho la mzee wako na wewe upo? Maana dem mwisho wa siku atakuwa na mwanaume unafikiri nini kitatokea na hapo ao wakubwa wanapambania mali za wadogo zao na baba yao... Ila uyo gal ni mwizi kama wezi wengine
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakisema wanaume sogea mbele hatua 2, hivi na wewe utasogea?Luka Luka tu ujumbe ushaipata usishobokeee comments za wanaume kifala fala wewe Kama huna pesa njoo tukuoe tukupe pesa tu Mana umekuja kwenye comment yangu kunia attack Kama vile nilikukula ndogo bila kukulipa. Mbwa mkubwa wewe
kilicho akilini kitumie
Nikuulize wew unaedakie comment za watu kwa maneno ya akina mamaWakisema wanaume sogea mbele hatua 2, hivi na wewe utasogea?
Leaving issue ya Jackie pembeni kwanini watu wanahisigi wake hawanaga uchungu zaidi ya ndugu? Kuzaliwa tumbo moja na mtu au kumjua for long doesnt mean una mapenzi nae kuliko mwingine. Mke/mchumba ana mapenzi tofauti na ndugu jamani huyu ni mwenzi wangu that inawezekana mnaspend nae muda mwingi kuliko hao ndugu zake, mnashauriana, mnagombana mnapatana-romantic feelings are involved. Siamini uchungu wa mwenzi is less than uchungu wa ndugu