[emoji56][emoji16][emoji16][emoji16]Kwahiyo anataka apate mabilioni yote pekee kwasababu ya K?
Anaenufaika na wosia hatakiwi kuujua wosia au kuhifadhi wosia. Unaweza kuhifadhi mahakamani, kwa wakili au RITA. Sasa sijui huu ulikuwa umehifadhiwa wapi au na nani.Wosia unatakiwa kuhifadhiwa na nini ili usiwe batili kisheria ?
Houllup...... Houllap....... Did u say something... I mean why do i have to hear u mention me.....?!Why is she putting some of his medical records in public? What’s to gain from that?
What the F is wrong with her???!!
Iweke vizuri, usimtegemee binadamuKuna ule msemo ”heshimu watu, masponsa hukufa ”.
Appeal hapo ni kujiabisha tuNafikiri hii case bado mbichi kabisa na Kylin anayo nafsi ya kukata rufaa huku twita hakuna msaada wowote kabisa.
Anayo nafasi ya kukata rufaa au akubali yaishe asubiri mgao wa mali
Alikuwa anajiuguza DubaiMm nafikiri Dr wake hapa Tanzania ndie alipaswa kuprove, na kasema mzee akua sawa. Kesi ishaisha
Kweli kabisa mkuu,bora mtoto wetu apate PHD yake pale havard but asiwe na mshiko wa maanaShule muhimu sana...hizi form four hizi ni ungese mtupu....ona kichwani huyu demu alivyo empty set...utatoaje private medical report public???[emoji848][emoji848] Is she ok upstairs?[emoji2962][emoji2962]
Bora mtoto wangu asiwe tajiri lakini awe msomi, nimejifunza hapa[emoji848]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Tatizo la fursa za madanga wenye pesa zinawakuta limbukeni na wasiojielewa,Jack hana washauri, au ni aina ya watu hawapokei ushauri, hana akili, hana adabu au tatizo lake ninini mwenzetu?
Alikosea kutokutafuta suluhu na upande wa mumewe tangu mumewe akiwa hai, akakosea kwenye wosia, akakosea tena kuutoa wosia mitandaoni.
Aliwezaje kuwaamini watu waliomdanganya kuwa hii kesi atashinda, yeye alishindwa kabisa kuchekecha akili yake na kugundua kuwa kesi itakuwa ngumu sana kwa upande wake? kwanza aliwezaje kutaka wenzake wasipewe kitu. Amefanya makosa mengi na bado anaendeleza makosa.
Napo hapa tutaambiwa tumtetee mwanamke mwenzetu, Wicked world!
1. Ndugu au rafiki unayemwaminiWosia unatakiwa kuhifadhiwa na nini ili usiwe batili kisheria ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti buku khaaaahAnacharukia twitter ili iweje?Yeye angekaa vizuri na Ndugu wa mume ili apewe anachostahili na sio kama ilivyokuwa kwenye wosia,
Ulisikia wapi watoto wa marehemu wanapewa buku?
Sent from my TECNO K8 using JamiiForums mobile app
Kwaiyo mbususu ya Jack ilikua chafu auPersonal medical records are supposed to be confidential and not for public consumption! Huyu mwanamke hana adabu, amemvunjia heshima marehemu mumewe; sasa Kila mtu anajua kuwa mzee alikuwa na urinary infection!! Itakusaidia nini to wash your dirty linen in public?
[emoji23][emoji23][emoji23]yaan hata mie naona kabisa hapa.Shule muhimu sana...hizi form four hizi ni ungese mtupu....ona kichwani huyu demu alivyo empty set...utatoaje private medical report public???[emoji848][emoji848] Is she ok upstairs?[emoji2962][emoji2962]
Bora mtoto wangu asiwe tajiri lakini awe msomi, nimejifunza hapa[emoji848]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
You’ve gone cuckoo for cocoa puffs!Houllup...... Houllap....... Did u say something... I mean why do i have to hear u mention me.....?!
Sawa Dr wa Dubai alipaswa kutuaminisha ila angeruka kipengere kimoja, Inamaana Dr wake hapa hakuwa na taarifa?. Hakuna kesi hapa bibie alivyobaki navyo vinamtoshaAlikuwa anajiuguza Dubai
Kwani huyu Jacky ile biashara yake ya Furnitures imeishia wapi?Jacky Jacky natumaini unajuta kwann ulimpeleka mzee dubai kula bata wakati ni mgonjwa asiyetakiwa kusafiri tena bila sababu za kimatibabu bali kukufurahisha wewe na grup lako la kula bata na mapicha picha insta. Eti watoto hawakuridhika na bata la zanzibar wakataka muende dubai daah such a slay queen.
Kwani huyu jacky ile biashara yake ya Furnitures imeishia wapi?