Jacqueline Ntuyabaliwe acharuka Twitter hatma ya mirathi, aweka nyaraka za hospitali afya ya Reginald Mengi

Jacqueline Ntuyabaliwe acharuka Twitter hatma ya mirathi, aweka nyaraka za hospitali afya ya Reginald Mengi

Hawa familia ya Mengi wamemstahi tu huyu binti ila ilibidi wamfungulie kesi ya kuhusika na kifo cha mzee. Kuna vitu aliongea kuhusu watoto kushauri kuwa trip ya Zenj haitoshi wanataka kwenda Dubai ambako ndiko kifo kilipomkutia Mengi. Ile tu ni tosha kuonyesha kuwa kuna mashaka kuwa kuna vitu vilipangwa. Na mbaya akasingizia watoto (wadogo sana) ndio walioshauri (yeye kajitoa kimtindo kuadaa watu)

Pia mazingira ya kifo yana utata sana, sijui kwa nini familia haijamshitaki kwenye hili. Kuna mazingira ya kifo cha mzee hayako sawa na mwendelezo wake ni huu wa kufoji vitu ili apate mali. Inaonekana amepanga haya mambo ila waliomshauri ni akili ndogo.

Ndugu wamfungulie kesi ya mauaji akose mwana na maji ya moto
 
Kiufupi dada aliingia kwa Mzee kimaslahi. Alijitia aibu sana sana kama hajui. Waziwazi kila mtu alimuona yeye ni ‘gold digger’. Hakuna mapenzi ya design ile aisee. Anavyojua kuact, ndio akajidai amezama balaa. Sasa mara nyingi malipo ya huo ugold digger huwa wala si mazuri. So afurahie show tu sasa. Watu kumpa ‘vipande vyake’ ndio wanamuelezea waziwazi walivyofeel muda wote wa mahusiano yake na Mzee. Ni muda wa wananchi sasa.
 
Kuna kesi fulani hivi ilitokea Ulaya.

Mama akiwa anaelekea ukingoni akaandika wosia ana mali za kutosha tu lakini mwanae mmoja akaandika anamuachia dola 1. Huyu mwanae ndiye mchafua mada katika familia, haelewani na kila mtu.

Basi jamaa akaenda mahakamani kupinga huo wosia. Na kumbe sheria inaelekeza mzazi kumuachia urithi mwanae ila haielekezi ni kiasi gani kwa hiyo ingetokea yule mama kaandika wosia na jamaa hajagewa kitu basi hapo ingebidi familia ikae chini kwa agizo la mahakama na kugawana sawa kwa sawa.

Ila kwakua mwenye mali ameshasema anamuachia dola 1 basi hiyo imepita tayari.

Kwa kukumbuka hiyo kesi nafikiri kinachopindua rufaa ya Aunt Jaki ni vile wosia umewacancel watoto wa marehemu utasema hawapo duniani.

Na pia wosia huandikwa kipindi mtu ana afya na akili timamu hivyo inatarajiwa kwamba mwandika wosia atakumbuka kwamba ana watoto now labda hakua na wakili wa kumwambia awaandikie hao watoto chochote kitu lakini nafikiri kesi itaendelea kwenda in favor ya hawa watoto wa marehemu iwe isiwe.
Yes uko sahihi mkuu
 
Huyo mzee atakuwa alimuandikia huo urithi Ili kumpumbaza Jack akili atulie amulee na Jack naye akaingia mtegoni akanaswa na kutulia kabisa, na hilo ndo kosa la Jack kutokutumia akili zake vizuri na kuamini maneno ya mahaba ya kiume Ili kumtuliza mwanamke, kuna mmoja anamdanganya mke wake watoto wake wakubwa amewarithisha elimu hivyo hawana haki ya kulithi mali ya baba yao na mwanamke naye amekubali Sasa sijui huyo mwanamke akitangulia kufa mume wake akaoa tena watoto wake pia hawatakuwa kwenye urithi? Jack atumie tu utu na akili pia hii kesi yake imefundisha wengi mbususu siyo dili ila kipato chako na utu pia.
 
Kama sikosei, mahakama imesema wosia umekosa sifa za kisheria. Mlalamikaji anapaswa kujua sifa za kisheria ni zipi? Kuna mahali nilisoma kwenye thread nyingine ya suala hili , kuwa Wosia ilijumuisha baadhi ya mali za mke mkubwa. Inawezekana hapa mali za mke mkubwa zilipewa watoto wa mke mdogo au mke mdogo mwenyewe. Kimsingi mali za mke mwingine zinamhusu huyo mke na mme wake si mke mdogo. Sasa kama ni kweli ilitokea hivyo, then mzee alipitiliza. Mambo ni mengi na kama ushauri ulivyotolewa, mitandao haitampa suluhu mlalamikaji. Nenda kwenye ukoo na uwatafute the best advocates wakusaidie - humu unajianika tu, tuta sympathise na wewe lakini hatutamliza tatizo lako.
 
Huyo doctor gani hajui tofauti ya matumizi ya “in” na “on”? Barua ina very basic grammatical mistakes ambazo daktari mwenye kiwango cha elimu inayodaiwa hawezi kufanya.
Na kwanini barua ni ya 2016, lakini inaongelea mambo ya 2017?? Sijaelewa[emoji1751][emoji1745]
 
Duuuhh, ngoma bado mbichi hii.

K Lyn alikosea kutojimilijisha vya kueleweka kabla ya Mengi kuondoka

Barua imeandikwa mwaka 2016, halafu inaelezea mambo ya mwaka 2017 na 2019. K Lyn hili limekaaje?
Umeniwahi kwenye hizo tarehe, hili ndio tatizo la forgery, unasahau hata kubadili vitu vingine
 
Huyo mzee atakuwa alimuandikia huo urithi Ili kumpumbaza Jack akili atulie amulee na Jack naye akaingia mtegoni akanaswa na kutulia kabisa, na hilo ndo kosa la Jack kutokutumia akili zake vizuri na kuamini maneno ya mahaba ya kiume Ili kumtuliza mwanamke, kuna mmoja anamdanganya mke wake watoto wake wakubwa amewarithisha elimu hivyo hawana haki ya kulithi mali ya baba yao na mwanamke naye amekubali Sasa sijui huyo mwanamke akitangulia kufa mume wake akaoa tena watoto wake pia hawatakuwa kwenye urithi? Jack atumie tu utu na akili pia hii kesi yake imefundisha wengi mbususu siyo dili ila kipato chako na utu pia.
Hii ndo point kuntu

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Huyu naye atulizane
Apunguze kuamini ushauri wa akina nancy faraja
Rwanda sio mbali mbona
Jitume mwanakwenu panda chako udangaji sio mzuri
 
Pole sana Jack, bora ubaki kimya ufanye yako, kubishana huku kwenye internet/instagram kunaongeza tatizo...usifikiri hawa majobless wa instagram watakuonea huruma, the more unavyotafuta sympath ndio kwaaanzaaaaa wanaongeza speed, kama ni evidence peleka mama mahakamani, do things in a systematic way..follow the protocal lol...again pole
Majobless wa insta[emoji16][emoji16][emoji16]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Hata akikata rufaa issue ya sahihi kufojiwa itamsumbua...
Anaweza kwenda kufungua kesi Dubai, ili Doc wake aseme alikua mzima, wakumbuke documents yenye sign haikua sealed, unajua shida hakuna siasa kwenye hili.
 
Back
Top Bottom