NimekuelewaWaliandaa ile will then waka draft vizuri kabisa ikawa printed then wakamsainisha Mzee Mengi wakati anaumwa
Ndio maana hata mwanasheria aliesimamia kusainisha lile Zoezi la Will kwa upande wa Mzee Mengi ni Mwanasheria wa vichocholoni sio wanasheria wa Mzee Mengi wa IPP
Walijua wakitumia wanasheria wa kampuni issue ingebuma na Kuvuja mapema
yaani sijui alimrubuni vipi hadi yule mzee akawanyima kabisa urithi watoto wake halali wa ndoa, hii haikubaliki hata kisheria, wale watoto walimkosea nini kibaya baba yao hadi awafanyie ukatili kama huo? Alitakiwa ale na watoto wengine wa marehemu, ila yeye kataka achukue vyote? Ule wosia ni batili hata kikatiba!
Nyalandu ana mke mwingine mkubwa?Lazaro Nyalandu, dr Janabi ( mume wa Sophia Byanaku) Luka ( mume wa Nancy Sumari)
Wajiandae wajifunze kupitia hili sakata la Mzee Mengi maana hao wote ni Waume za watu na wana watoto wakubwa tu kutoka kwenye ndoa zao za kwanza
Hao ndugu wa Mengi na watoto wao wanapoteza muda sana...... maana kamwe hawatashinda na hatapatikana mshindi kwenye hii! Ni vyema waka kaa chini wakamaliza hili saga maana ukweli ni kwamba mali na ufalme wa Mengi utapotea kabisa!
Hii familia inahitaji msaada kabisa!
Lakini hili la kumvaa Jack ni kumkosea kabisa baba yao
Alisainishwa will iliyotengenezwa na kylin na wezi wenzie wakati yule Mzee anaumwa so alikua hajijui
Baada ya kumsainisha will fake wakaanza kuandaa mipango ya kumuondoa duniani na ndio zile cinema za baby I love you kwenye mitandao zikaanza ili akivuta ioenekane walikua na maaba Mzee Mengi na kylin kwa hiyo hasingeweza kumuua ionekane mzee amekufa kifo cha kawaida
Thank you[emoji23][emoji23][emoji2320][emoji2320]
Wanaharakati wameanza kuja kwenye uzi, bado Khantwe tu hapa!Mmmmmmmmmmmmmmmmmmh dada/kaka muogope Mungu; kuwa na akiba ya maneno. Una proof gani kuwa Jacky alimuua mumewe?
Ndugu tukana weee; mimi hata sitokujibu wala kuwa affected. Kunywa maji; relaxKahaba wewe unadhani kila mtu ana dhiki mbweha wewe... Huyo K-Lyn hataki relaese Payment zetu Tena ni jasho letu fala wewe sio wewe mdanganji mpaka tukufokoe mtaro ndio uishi mjini ...
Sent using Jamii Forums mobile app
I love you[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]Sawa Faraja Kotta tumekusikia.
na ndio walikuwa njama ya kumsainisha wosia wa kiwendawazimu mzee wa watuAna miss wapi .......
nasikia anapigwa mb.upu kitambo na maarab...
moja hv...
Unajua sababu ya kufungua mirathi na usia anao? Je ndugu wangestuka baada ya siku tisini (90) kupita nini kingefuata? Hata hivyo ni vile huyu Mzee maarufu hivyo kila mtu alikuwa anafuatilia Kwa karibu kila kinachoendelea. Mkuu abda Mimi sijaelewa vizuri. Watu wamelizwa sana Kwa hili.Mahakamani aliwapeleka kisa nini? I thought mahakamani ilikuwa ni kufungua mirathi tu au kuna kesi nyingine tena?
Hahhahahahah Inshallah....Huyo heaven sent ni dangaji linalojua kuuunga maneno ya kiingereza basi anajiona anajua kila kitu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi umetukanwaNdugu tukana weee; mimi hata sitokujibu wala kuwa affected. Kunywa maji; relax
Unfortunately as I said before ya ndani mwao sikufanikiwa kuyajua. Maybe she tried to be accepted or maybe she didn't try at all; sijui. Ila kwa experience yangu ndogo; familia za watu wazito kukubalika sio kitu rahisi sana especially unapokuja na inaonekana kama umefuata tu mpunga. Ni familia chache sana zinazofanikiwa katika hili. As you said; wengine wanapata somo hapa.
Unajua huu upumbafu upo huku Africa tu yaani.. Hii inatokana na elimu ya kipumbafu tuliyoridhishwa na wazungu