Kiwarhoapandenga
JF-Expert Member
- Aug 10, 2019
- 2,078
- 1,805
Huyu nishaona Ana tatizo tuanzie kwanza na marafiki zake wanaomzunguka wapo je wana hekima wana busara ? Manake ukitaka kumjua mtu alivyo angalia marafiki waliomzunguka
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kitu sio kawaida jambo kama hili,huyu bibie si ana wanasheria wake wao ndio wangemshauri vizuri, huku mitandaoni anapoteza muda tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app