Kiwarhoapandenga
JF-Expert Member
- Aug 10, 2019
- 2,078
- 1,805
Kuna kitu sio kawaida jambo kama hili,huyu bibie si ana wanasheria wake wao ndio wangemshauri vizuri, huku mitandaoni anapoteza muda tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Huku anapoteza muda na kutupa faida wambea
Tulisema hapa wale watoto wa Mengi sio mabongozozo wanakimbiza mbwa kimya kimya, mbwa akianza kubweka jua sindano zinaingia vizuri.
Karma,Tatizo wewe husemi umewakosea nini ?Wao sio wajinga kukuzuia. Jack mdangaji hodari. Kwani ukienda kwenye kaburi ndo atafufuka ?
Amechanganyikiwa huyo na huo ni mwanzo tu. Haingii akilini eti kwenye wosia mali na pesa zote kapewa yeye tu na vipacha vyake vya goli la ugokoni, Mengi huyu huyu aliewapenda wanawe awaache masikini?!
Mjane mwenyewe kutwa kwenye media anatafuta nini? Wenzie hawamjibu wanamfinya kimya kimya. Kama hajui anawaharibia watoto kwa ndugu zao.Wanamnyanyasa mjane na watoto yatima!!!
Hawajui Mungu alishakataza hayo.
Limbwata kakaMzee alifanya makosa.
Kabisa, akina pangupakavu tunamchora tuHuku anapoteza muda na kutupa faida wambea