Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi: Nimezuiwa kuingia kwenye kaburi la mume wangu. Nimechoka na sitakubali

Sio vizuri kuhukumu vitu ambavyo hatuvijui mgogoro uliopo ni mkubwa sana inavyoonekana, na aliyekosea ni mzee Mengi kushindwa kutumia busara lile aliloacha ni bomu

Kyline anahaki ya kupewa hizo mali, lakin Mengi angetakiwa abalance pande zote mbili, na wasipokaa wakakubaliana nje ya mahakama ili fukuto litaendelea sana
Masuala ya familia Yana nguvu sana sio ya kuupuuzia aongee na wazee wayamalize na sio kwenda mtandaoni
 
Upo sahihi kabisa....

Inahitaji akili ya ziada kudeal na binadamu. Hapa ndipo akili ya mtu hupimwa.
 
anataka kufanya ibada za sanamu, kuombea na kuomba maiti, hapana, hawa walinzi watakuwa walokole na wameona kuna ibada ya sanamu ndio maana wakamnyima.
Baada kufa ni hukumu, huko makaburini anaenda kufanya niini?
 
Basi mngemwambia mama yenu asiachane na baba yenu ili waendelee kuenjoy mali zao pamoja. Btw walipovunja ndoa yao si kila mtu aliondoka na mgao wake? So mlitaka mzee Mengi asioe tena after kuachana na mkewe au awaoe nyie ili mali zisiende mbali ?

Ooh kumbe hadi kwenu mnanyanyasaga wajane; no wonder unaombea na Jacky yampate. Too low
 
Jamani tuache ushabiki tuweke ukweli mbele. Wewe kwenda kwenu kama hujawataarifu huwa wanakukataza kuingia ndani? Na tena Jacky anaenda tu kuangalia kaburi anarudi kwenye mji wake; wao ndugu wa Mengi inawacost nini?
 

Oooh angalau umekuwa fair; watu wanamlaumu Jacky kuolewa na Mengi afu hawamlaumu Mengi kumuoa mdada mdogo kwake. Mambo ya mali wamalizane mahakamani; lakini hili la kumkatalia kuona kaburi la mumewe; si haki

Mtu akijisikia kuongea mtandaoni me namuacha i aongee. As long as inampa relief basi sawa tu
Wengine wanapambana kimya kimya ghafla wanadondoka kwa presha
 
Exactly ndo maana mim siwez mlaumu k-lyn au watoto wakubwa wa Mengi, kikubwa wazee wa ukoo waitwe wayamalize nje ya mahakama
 
Mbona unatoka nje ya mada?
Nani amemzuia mengi kuoa.
Na kama aliolewa mbona anateseka?
Na mbona amechukua Mali zote yeye as if anajua hata namna ya kuzitafuta huyu grade seven leaver? Eti wajane wananyanyaswa. Nani ananyanyasa wenzake? Halafu unaongea tuu.
Kwanini huwafikirii watoto wakubwa wa marehemu? Hawastahili kumiliki mali za baba yao ambao kimsingi maa yao was the source ya haya? No wonder hata wosia wenyewe wa kistandard seven leaver.
Put yourself too as a mother of the elder kids. Klyn my foot. Atanyooka tuu pamoja na watetezi wake. Hapa mwanzo tu.
Basi mngemwambia mama yenu asiachane na baba yenu ili waendelee kuenjoy mali zao pamoja. Btw walipovunja ndoa yao si kila mtu aliondoka na mgao wake? So mlitaka mzee Mengi asioe tena after kuachana na mkewe au?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hayo mambo ya mali si yapo mahakamani? Au siku hizi kukiwa na kesi ya mirathi mahakamani ndo mke haruhusiwi kutembelea kaburi la mumewe?. Aliyempa mali zote ni yeye mwenyewe au mumewe aliyezitafuta ndo alimpa? Hahahaa mwanamke hata akiwa ameishia la 2B na anakaa tu nyumbani ni haki yake kurithi mali za mumewe 100%.

Mke wake mkubwa si waliachana na kila mtu akashika chake?. Kama mke mkubwa alikuwa anathamini sana mali kuliko furaha yake basi wasingetengana na mumewe. Kwa sababu sidhani kama alikubali watengane huku akitegemea Mengi asioe ili mali zisitoke nje ya ukoo na hakuwa na haki ya kumpangia Mengi atumiaje mgao wake. I'm not putting myself in anyone's shoes; just standing on the right side. Kwa hili la kumzuia K Lyn kuona kaburi la mumewe; i'm with Jacky. Kama kwenye mazishi walimu-acknowledge Jacky kama mke wa marehemu na kumpa haki zote; kwa nini leo wamzuie kuona kaburi?

We shouldn't put all the blames on Jacky; tuwalaumu Mengi na mkewe waliovunja ndoa yao.
 
Kweli unafurahisha.

Unajua source ya mali zao bibie? Uliza tena vizurinkwenye source zako. Big percent came from that woman. And she was the think tank madame. Na mali ilikua 50 kwa 50. Huyu goldigger wako unayemtetea alichuma nini mtetezi wa wajane?
Kwanini alichange ule wosia? Muda utamnyoosha. Alikua acknowledged kufichia aibu tu msiba uishe dada.

Si mulisema kule ni makaburini? Mumesahau nini tena kule?
Kaburi liko kwenye mji wa Benja. Aje kwa adabu zote. Na afate ptotocol.
Unidharau ndugu yangu akiwa hai halagu leo ujikute eti unataka kuona kaburi la ndugu yangu kwangu. Nakunyima vizuri tuu kwani utanifanya nini. Kiburi dawa yale jeuri.
Yeye ndo muathirika na wanae. Anapaswa kuomba mazungumzo ya amani ili wanae waishi vizuri. Sasa aendelee kuvimba tuone nani anaumia zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kama uko upande wa Jack that's fine. Kila mtu yuko free kuchagua upande wake. but hey kuna ya kujifunza hapa. Ukikubali kuwa mchepuko au ukabahatika kuolewa na mtu ambae ana familia tayari, ingia kwenye familia huku uki balance mambo,sio kuwa selfish na kuhakikisha attention yote unapata wewe na watoto hawapati attention waliyokua wanapata kutoka kwa baba yao...hii deprivation inabuild up resentiment....na kukuchukia kila uchwao..especially kama ilikua close-knit family,
 
Ooooouch; lemme save my energy!
 

Kwamba mzee Mengi alikuwa hawapi watoto wake wakubwa attention au tilitegemea agawe 50/50 ya his attention; impossible. Anyways; mambo yao ya ndani me siyajui. Tuwe tu honest Becky; Mengi as long as ni Mengi mwenye hela tuliyemjua; hata angeoa malaika; kilimchotokea Jacky kingemkuta tu na huyo mke. Hakuna mwanamke ambaye angeolewa na Mengi afu aonekane hajafuata mali.

Mambo ya ndugu wa mume hayajaanzia kwa Jacky; je tujiulize ndugu wa Mengi walimpokea Jacky kwa upendo? What if na wenyewe hawakumpokea Jacky vizuri so na yeye akaona awe busy tu na mumewe? Penda unapopendeka.

Usiongelee kuolewa mke wa pili au wa tatu; wale tu wa ndoa ya kwanza ni wangapi wanaishi kwa upendo genuine na familia za mume zao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…