Jaffarai na Shy-Rose na Kuheshimiana baada ya kuachana

hao xxl walitaks waliwe wao? Tushawazoea wanafiki because sugu alisema ukweli wao ktk antivirus mixtape ndo wanatafuta jinsi ya kumpaka unafkiri hatujui kuwa most of xxl panel ni machoko! Au mnataka sugu awachokoe na nyie nini? Machali wa chuga town hatukogo hivo nyie niaje lakini?
 
Jafarai amekosa busara.. Sidhani kama nitakuja kusikiliza nymbo zake tena.. Pamoja na kumtuhumu na kumtangaza redioni, Shy ni mtu maarufu na mwenye heshma kwenye jamii. Hakutakiwa kumfanyia hvyo.. Pamoja na madudu yake, whch is too personal, mi namuheshmu sana yule dada.. Si kwamb hakuona wanaume.. Ila alikupenda wewe Jafari.. Hukutakiwa kutumia media tena ya hao mafala kumdhalilisha dada wa watu.. Mbona wakat unamtongoza au anakutongoza hukutumia media..? Huo umri wake umeona leo? Binafsi imeniuma sana, nilizma redio.. Ilitakiwa ugundue Clouds wanakuhadaa tu.. Ile redio ipo kimaslah ya wachache mno, ambao wanawatumia watu kama wewe kuipa umaarufu.. Hukujua kama hyo ni mambo ya kisiasa na ni mbnu chafu..? Umelipwa shng ngap sas? Inaniuma coz mi ninamilik mdada mkubwa kama wewe, na unamjua ana heshma kubwa nch nzima, ila si mpuuz km wew! NINAMUHESHMU. Karibu Switz upunguz mawazo.
 

ulikaribia kutoa machozi?!, kwani wewe na SB mukoje?. Acha u shakumbenga. Nilikuwa nashauri tu.
 
Wanabodi, tuwe waangalifu kidogo kusifia matendo yasiyo na maana kwenye jamii... Kitendo cha sugu kama ni kweli hakikubaliki, yeye ni taswira ya taifa, kitendo cha jafari nacho ndio cha kipumbavu kuliko vyote, yani mkeo anatiwa wewe unakimbilia kuongea na akina xxl? muli B , Shoga adam mchomvu au DJ Fetty kweli? tena mkeo wa dnoa unaenda kumuanika kwa vitoto hata havijabalehe?

Nadhani tuna matatizo sana ya kuheshimu marriage institutue
 

Nakuunga mkono kabisa, kwani kuachwa yeye ni wa kwanza? Isitoshe hawajafunga ndoa, watu wanaachana kwenye ndoa za miaka 20 na watoto lukuki lakini hawafanyi mambo anayofanya yeye. Inabidi atambue kuwa huyo anayemuita kicheche mzee ndiye aliyemuweka mjini kwa miaka yote 8, amempa good life mpaka akajisahau na kuwa kama mwanaume binti. Sasa ni vizuri amheshimu kwa msaada aliompa. Yeye kama ameshindwa kuitumia opportunity aliyokuwa nayo kujijenga kimaisha na kuweza kusimama kwa miguu yake ni ujinga wake. Maana haikuwa ndoa kuwa wataishi milele. Piaa yeye anabwabwaja kwenye media zote haoni kama anajidharaulisha, ni vizuri angeeleza ukweli kuwa ameachwa na yale mapesa na good life haipo tena, ndiyo maana kapanick. Kaniudhi sana, siajabu yeye ndiyo jinga jinga, zembe, malaya ila ti Shyrose kaamua kunyamaza na sisi hatujui upande wa pili. Mpaka uachwe si lazima kulikuwa na tatizo, mbona haelezi tatizo anang'ang'ania kuwa ni kicheche! Mwaya Shy wewe mpotezee, wala usimjibu usije ukajishushia hadhi, aseme apendacho yatasemwa lakini yataisha. Ila achana na Serengeti boys, maana hizo ndiyo shukrani zao, na hivi hana pesa ndiyo atatumiwa wee na maadui zako.
 

Mkulu umenifurahisha mno...nakugongea kasanks...
 
SUGU MOTO CHINI.... hata hivo vicoko vikitumia hiyo media kumdhalilisha hakuna effect yoyote hapo. Karibu CHADEMA mrembo huku utapata kila kitu kuanzia Ubunge, Malavidavi na kila kitu na muhimu sana maarifa. Achana na wauza sura wa Dar, msanii mwenyewe hajawahi hata kuwa na hit song hata siku moja, sio mpambanaji kama mh. SUGU na ni DODOKI LA HAKO KA REDIO:clap2:
 
Shy-Rose,
Najua upo hapa JF, naomba usijibu lolote kwenye media yoyote nyamaza kimya kama ulivyofanya. Nakushauri nenda kwa kiongozi yoyote wa Dini, kwa vile majina yako yana Uislamu na Ukristo basi waone Sheikh Sulemain Kilemile au Mama Rwakatare watakupa maneno ya kukutia moyo na faraja.

Unahitaji sana muongozo wa kiroho kuliko kitu chochote, wine haitakusaidia wakati huu nakuomba usianze mahusiano yoyote wakati huu kwanza na kama unayo yasitishe kwanza unahitaji muda wa ukimya sana. Ukilishika jambo hili vibaya litakuharibia hata kazi yako pia. Haya ni mapito tu mama- tafuta wimbo wa Ambwene Mwasongwe- Majaribu ni Mtaji utakusaidia pia soma hizi verses

Be strong and courageous. Do not be afraid or terrified because of them, for the LORD your God goes with you; he will never leave you nor forsake you."Deuteronomy 31:6

he name of the LORD is a strong tower; the righteous run to it and are safe."
Proverbs 18:1

Pia kutoka kwenye Koran soma mstari huu:
Suarat al baqarah
002.045 Nay, seek (God's) help with patient perseverance and prayer: It is indeed hard, except to those who bring a lowly spirit.
 

huyu jama atakuwa kachukuliwa msukule na shyrose namshauri aende kwa ASKOFU GWAJIMA akatolewe maruhani aliomwagiwa ...loh poor jafarai..yaani nimesikitika kama mwanaume mwenzangu na anadai kabisa ..alimpenda kwa dhati wee unaweza kumpenda mamako kwa dhati yule kama mamake kabisa laana ziningne mnazitafuta wenyewe
 

kama ana heshima mbona anfungua XXX yake ovyo jamani embu mliokaribu mwabien ajiheshimu alaahh
 
Dogo huyu akili zake zimeenda jau....kama amuita kicheche mzee hakuona uzee wake b4?
.....
..sugu mega jimama hilo nasikia tamu kweli....miaka 8 ikiisha lije kwangu nilimege na mie....
 

Hivi Adam Mchomvu ni Shoga? Mnijuze vizuri wana JF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…