Shyrose ana kila kitu kinachohitajika kwa mwanamke mwenye maisha bora.
Tatizo wanaume anaokutana nao wanawaza kupiga pamba, kula chipsi kuku kwenye mahoteli na ma-pub, na hata kusafiri.
Kumbe yeye (Shyrose anataka kitu tofauti kabisaaaaaaaaaaaa). Anataka mwanaume anayejua "KUSUKUMIZIA DAWA".
Kama hamuwezi kumsukumizia dawa, basi msilalamike kwenye maredio. Nyie endeleeni kuuza sura kwenye migahawa, wakati wanaume wa shoka wanafanya kazi inayostahili kwa mwanamke rijali.
piga dozi asubuhi, mchana, jioni, usiku,alfajiri, asubuhi, bafuni, sebuleni, chumbani, kwenye kochi, mezani, sakafuni, jikoni, kitandani, kwenye gari. Sukuma dawa. Utaona kama atakukimbia. Lazima atulie. That is what real men do. That's what real women want.
Kulalama kwenye TV ni kujidhalilisha.