Jaji Bomani apigilia msumari Katiba Mpya

Tusubiri NEC waamue mbona mnataka kujipa madaraka ya NEC? msilete hoja za ajabu zenye kuleta malumbano yasiyo na maana humu ndani, kila kitu kitaenda kadri kilivyopangwa jamani musiwe vihelehele kuwasemea wahusika.

Wewe sidhani kama hata chekechea ulifaulu; Hebu fanya tu hesabu za kujumlisha ambazo ni simple kabisa kwamba Njombe na Ludewa wameana kujiandikisha tangu Mwezi February 2015 na hadi sasa zoezi bado kukamilika. Nchi yetu ina Wilaya 169 na Wilaya 2 zinachukua miezi 2 kufanya registration ya BVR kwa hiyo kwa Wilaya 169 kama spidi ni hii hii zoezi hili litachukua miezi 169 ambayo ni sawa na miaka 14.
 

Sasa hapa mchumia tumbo nani?? au aliyetumwa ni nani?? Mimi au wewe within 2 days una post 60. Una kazi ya kufanya au ni jobless?? Au ndio mmeshaingiziwa boom la Pasaka huko vyuoni mnakuja kusumbua hapa?? by the way ucngzini, ucjali ni vitu gani?? hiyo inatuonesha picha tosha wewe ni nani.. FOOL
 
Nina wasiwasi mkubwa na uwezo wa kufikiri huyu profesa wa kichina
 

Wewe ndo FOOL X 1,000,000 unadhani una hoja za maan unazoweka zaidi ya kubwabwaja kama gari la matangazo, kama umetumwa waambie humu hatuhitaji wachumia tumbo kama wewe. Tuko kujua uzuri wa Katiba pendekezwa na sio kuuza sura kama unakofanya wewe.
 
mzee BOmani tunakuheshimu sana na mawazo yako ila ukumbuke ww sio taaasisi iliopewa jukumu la kusema kuwa kura ya maoni itafanyika au laa! Tuwape nafasi taasisi husika zilizopewa mamlaka kisheria watatupa utaratibu kama kuna mabadiliko au Laa! Imekuwa ni kawaida kwa watanzania wachache kuwa waseMaji wa taasisi husika ili hali wanatoa majibu huku wakisema nadhani........... Yani hawana uhakika,kwa hili la kura ya maoni tuwaachie wahusika tume ya taifa ya uchaguz
 
Wewe ndo FOOL X 1,000,000 unadhani una hoja za maan unazoweka zaidi ya kubwabwaja kama gari la matangazo, kama umetumwa waambie humu hatuhitaji wachumia tumbo kama wewe. Tuko kujua uzuri wa Katiba pendekezwa na sio kuuza sura kama unakofanya wewe.

Join Date : 31st March 2015
Posts : 69

Wakutumwa anaonekana tu.. huwezi kutumia akili nyingi kilijua hilo..
 
Mwambie mkuu na Judge ametoa tuu ushauri hajasema kuwa NEC ifuate ushauri wake au kutekeleza mawazo yake na Judge ana uhuru wa kutoa maoni yake hafungwi kna chochote mradi havunji sheria

Huyo judge kama raia mwingine wa Tz katoa ya moyoni, lakini na yeye namuomba aendelee kuwa mfuatiliaji wa taarifa mbalimbali za Serikali zinzotolewa,Tayari serikali imeshatoa tamko bungeni jana via PM kwa hiyo atulie mchakato huu ni wa watanzania na utakwenda vizuri sana hakuna haja ya mtu kuleta vitisho wala hofu hapa.
 
Tatizo kubwa ni uchambuzi wa mambo, hii kitu hakiwezekani kwa akili ya kawaida ila watu kama wewe hata kwetu wapo. Nadhani umenipata mkuu
 
kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni na ushauri wake kama mtanzania, Nashanga kuna watu wanatokwa na povu kwa kauli ya jaji. Tuweni wapole hata ninyi mna wakati wa kutoa maoni yenu kama watanzania. Acheni dharau na matusi kwa mzee wa watu. Kumbukeni fahari ya wazee ni mvi na ushauri.

Wengine mnapenda ushauri mnaoupenda nyie tu? lazima tushindane kwa hoja na sio matusi
 
Akili yake ina shida kubwa... anasema kila kitu kitaenda kama kilivyopangwa, sasa sijui wamepanga nini??

Busara hapa inahitajika,zoezi la kuipaigia kura katiba inayopendekezwa haliepukiki hapa cha kufanya ni kuelewa tu na kufuatilia taarifa mbalimbali zinazotolewa na serikali ili tujenge uelewa siku ikifika tukafanye maamuzi yetu.
 
Basi kama mimi sikusoma chekechea bora ya wewe uliyesoma NGUMBARO lakini bado akili yako haina akili maana hayo mambo uloyaweka hapo juu yako nje ya uwezo wako waachie wahusika, lakini tambua kuwa suala la kura ya maoni liko pale pale. kama huna hoja lala.
 
Join Date : 31st March 2015
Posts : 69

Wakutumwa anaonekana tu.. huwezi kutumia akili nyingi kilijua hilo..

Wewe ulisoma Ngumbaro una matatizo ya akili nahc ulikimbia Milembe na unahitaji urudishwe tena, alokwambia kujiunga zamani ndo kujua kutoa hoja nani? kubwa jinga tu wewe unapoteza muda wako bureeee wewe na hapo kwenu ndo mmetumwa na ni wachumia matumbo tu.
 

NGUDEKELA na wewe uwe na busara naomba uelewe kuwa ufahamu wa watu juu ya mambo fulani unatofautiana, Bomani katoa ushauri na ushauri unaweza kukataliwa kwa kupingwa au kukubaliwa, it depends na ulivyokuja kwa makundi husika,kwa hiyo lugha za matusi sio mahala pake humu kumuambia mwenzio anatoa povu sio ustaarabu jenga hoja ueleze nini ulichonacho maana kila mtu ana haki.
 
Kwa hiyo wewe kwa akili zako, unakataza watu wasitoe mawazo yao? Kama unaogopa mijadala usiende kwenye forums.

Nani kakuambia Judge anawakilisha NeC? Au kwako wewe unataka hata NeC isishauriwe? NEC ndio wamekutuma kwamba hawataki ushauri?

Ikilazimishwa kura kinyume na taratibu, nini mawazo yako tayakuwa?


Tusubiri NEC waamue mbona mnataka kujipa madaraka ya NEC? msilete hoja za ajabu zenye kuleta malumbano yasiyo na maana humu ndani, kila kitu kitaenda kadri kilivyopangwa jamani musiwe vihelehele kuwasemea wahusika.
 
Reactions: BAK
Tatizo kubwa ni uchambuzi wa mambo, hii kitu hakiwezekani kwa akili ya kawaida ila watu kama wewe hata kwetu wapo. Nadhani umenipata mkuu

Sijakupata kabisa,ingekua haiwezekani watanzania wasingekubali kutoa maoni na wasingevumilia kuona fedha zao zikipotea kwa jambo lisilowezekana, Tanzania sio nchi ya kushindwa kufanya mambo ya msingi, hapa suala la lini na wapi hilo endelea kufuatilia taarifa za serikali kupitia mamlaka husika sote tutafqhamu nini kinqendelea ili wajibu wetu uendelee kubaki palepale.
 
huyu bwana mdogo ana matatizo ya kisaikolojia....hajui lolote humu analeta umuchknow,na ni mbishi kufundishika..hawa watoto ni wakuchapwa viboko..
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…