Jaji Bomani apigilia msumari Katiba Mpya

We nadhani umeishia Chekechea hivyo siwezi kubishana na wewe, maana hujui ukisemacho omba msaada uelimishwe kama hujui. Kumbe majibu unayo kuwa Wananchi plus Viongozi unapata Serikali afu unajifanya hujui.

Naimani umerudi kusoma umeelewa ila mfa maji haishi kutapatapa. Wanaoongoza serikali ndo hivoo.Hutaki andamana. Jioni njema.
 

Mkuu Rocky hapo maneno ya mwisho. Naona umeanza mazoezi ya utekelezaji wa sheria ya troniki. Ahaaaaaaaaaaaa. Safi sana. Samahani lakini.
 
Soma vizuri uelewe nitanza kuwa na mashaka na uelewa wako. (Wananchi + Viongonzi= Selikari). Wanaoongoza selikari ni wananchi?

Marekebisho

Soma vizuri uelewe nitanza kuwa na mashaka na uelewa wako. (Wananchi + Viongonzi= Selikari). Wanaoongoza selikari ni Viongozi nandio nilio waambia.
 
Marekebisho

Soma vizuri uelewe nitanza kuwa na mashaka na uelewa wako. (Wananchi + Viongonzi= Selikari). Wanaoongoza selikari ni Viongozi nandio nilio waambia.
Hahaahaha nimeipenda hiyo mkuu, ni vizuri kurekebishana.
 
Tusubiri NEC waamue mbona mnataka kujipa madaraka ya NEC? msilete hoja za ajabu zenye kuleta malumbano yasiyo na maana humu ndani, kila kitu kitaenda kadri kilivyopangwa jamani musiwe vihelehele kuwasemea wahusika.

Ehe yamekuwa hayo tena? Yaani watu wasitoe hata maoni sasa eti kwa kuwa tume ya uchaguzi ndiyo yenye jukumu la kuamua? Tume itaamua sawa, lakini sisi kama raia wa nchi hii tutaendelea kutoa maoni kwa kadri tunavyoona mambo yanakwenda. Usijaribu kufunga watu midomo kwa kisingizio chochote kile.

Tiba
 
Tusubiri NEC waamue mbona mnataka kujipa madaraka ya NEC? msilete hoja za ajabu zenye kuleta malumbano yasiyo na maana humu ndani, kila kitu kitaenda kadri kilivyopangwa jamani musiwe vihelehele kuwasemea wahusika.

Tulia wewe Amophous dawa ikuingie vizuri, mwenye macho haambiwi tazama na mwenye masikio haambiwi sikia.
Tulia na uache kuyumbishwa na kutumika jikaze kama mwanadamu HAI.
Mzee kasema Ukweli wa Mungu na huwa DAIMA msema kweli ni MPENZI WA MUNGU, shida ya Vijana wengi wa Buku7 mnatumika vibaya pasipo kujali hatma ya mambo nini?Na unaendeshwa na matukio, usipende KABURI LAKO LIKAJA CHAPWA NA VIZAZI VYAKO VIJAVYO KWA KUDAI BABA AU BABU AU MAMA AU BIBI alikuwa MBULULA na hakufanya ya MSINGI na YAKUKUKMBUKWA.
 
Mkuu Rocky hapo maneno ya mwisho. Naona umeanza mazoezi ya utekelezaji wa sheria ya troniki. Ahaaaaaaaaaaaa. Safi sana. Samahani lakini.


Mkuu Khakha tunajihami bana maana hii sheria hii haifai kabisa aise tunaweza jikuta lupango sasa hivi
 
Last edited by a moderator:
Kama umesoma hiyo habari vizuri ni kuwa hayo ni mawazo ya huyo Jaji binafsi na hajasema kwamba yeye ni NEC. Sioni sababu ya kusema kuwa watu wana 'vihelehele' kwa kutoa mawazo yao hasa kuhusu jambo hili muhimu la katiba.

Maoni yake angeyatoa kwa UKAWA walipotoka bungeni ningemuoma ana maana kweli lakini sasa hivi ndio anakuja!
 

We mwenyewe unatumiwa na Freemanson,we ni msema kweli wa wapi?mwongo wa kawaida tu.
 
 
Mkuu Khakha tunajihami bana maana hii sheria hii haifai kabisa aise tunaweza jikuta lupango sasa hivi

Kweli Mkuu. Na walivyokuwa na usongo na JF, itaanza kuuma toka 2006 JF ilipoanza .
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Rocky hapo maneno ya mwisho. Naona umeanza mazoezi ya utekelezaji wa sheria ya troniki. Ahaaaaaaaaaaaa. Safi sana. Samahani lakini.

Natafuta hoja iliyowekwa jamvini hapa siioni au nimeingia kwa nani tena huyu aaa kumbe ni huyu jamaa utawaomba samahani mpaka UKAWA.
 
Kweli Mkuu. Na walivyokuwa na usongo na JF, itaanza kuuma toka 2006 JF ilipoanza .

Wacha tuu mkuu Khakha itakuwa soo ngoja nianze kuangalia comment zangu humu ndani nifute moja baada ya nyingine
 
Last edited by a moderator:
join date ni 31st march tumpe angalau wiki atajifunza, ila ukimsoma vizuri utagundua huyu ni mmoja wa wale wenye account nyingi kwa kazi maalum.


Kweli mkuu kayaman tumpe muda atajifunza zaidi na zaidi
 
Last edited by a moderator:
Ccm Chama cha majambazi. Wanapokonya hata uhuru wa watz wa kujichagulia namna ya kuongozwa.
 
Tusubiri NEC waamue mbona mnataka kujipa madaraka ya NEC? msilete hoja za ajabu zenye kuleta malumbano yasiyo na maana humu ndani, kila kitu kitaenda kadri kilivyopangwa jamani musiwe vihelehele kuwasemea wahusika.

Tayari tume imeshaahirisha zoezi hilo la kura ya maoni. Kwa watu wenye akili timamu, tulijua zoezi lisingewezekana kwa sababu mpaka sasa ni mkoa mmoja tu wa Njombe ambao umeandikisha wapiga kura kwa mfumo wa BVR na bado mkoa huo haujakamilisha zoezi. Hili zoezi linahitaji mwaka mzima
 
Tusubiri NEC waamue mbona mnataka kujipa madaraka ya NEC? msilete hoja za ajabu zenye kuleta malumbano yasiyo na maana humu ndani, kila kitu kitaenda kadri kilivyopangwa jamani musiwe vihelehele kuwasemea wahusika.

Watumishi wa katiba pendekezwa milio pata ajira mwezi March 2015 ya kuitetea kwenye mitandao, poleni sana, kwa sasa ajira yenu imesitishwa kwa muda usiojulikana.

Kwa taarifa hii, mnatakiwa kurudisha vitendea kazi vyote mlivyopewa na tume kabla ya tarehe 10 April 2015, tafadhali taarifa hii mpatie mwezako.
 
Join Date : 31st March 2015
Posts : 60
Rep Power : 313
Likes Received5
Likes Given23


Hata zingekua post 2 mbona unashake? It means ana impact kubwa ndani ya JF thats why you see the difference na hiyo hilo ndilo jukwaa la jamii kuna vitu vipya na watu wapya lazima mkubali hata kama hamtaki mtalazimishwa tu kukbali mabadiliko haya ndani ya JF.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…