OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,562
Ujumbe huo umekuuma sana, kuwa mpole tuuu.
Kuna watu wanaheshimika humu acha papara. Jipe muda jifunze ustaarabu na kuangalia watu wanavyobadilishana mawazo hata kupingana mitazamo kwa lugha ya staha