kampelewele
JF-Expert Member
- Oct 13, 2014
- 2,975
- 2,370
Nijiju mara mbili? Wewe ni mshindi hongera kwa (BOFYA)Utajiju!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nijiju mara mbili? Wewe ni mshindi hongera kwa (BOFYA)Utajiju!
Pole ndugu kwa taarifa zaidi ... (BOFYA) ila hakuna neno Jera kwenye signature yako i.e. Kama jera ni kuzuri mpeleke mwanao!!!!Sijakupata kabisa,ingekua haiwezekani watanzania wasingekubali kutoa maoni na wasingevumilia kuona fedha zao zikipotea kwa jambo lisilowezekana, Tanzania sio nchi ya kushindwa kufanya mambo ya msingi, hapa suala la lini na wapi hilo endelea kufuatilia taarifa za serikali kupitia mamlaka husika sote tutafqhamu nini kinqendelea ili wajibu wetu uendelee kubaki palepale.
Pole ndugu kwa taarifa zaidi ... (BOFYA) ila hakuna neno Jera kwenye signature yako i.e. Kama jera ni kuzuri mpeleke mwanao!!!!
Huna lolote wewe mchumia tumbo tuu, weka hoja huko achana na mimi, buku 7 kwenu huko plus wewe.
mtupu kichwani mwako humo umezaliwa kwa bahati mbaya na unaishi kwa makusudi umu JF.Sina muda wa kujibishana na wewe MTUPU; ungekuwa na hoja usigetumia matusi !!!
Kweli Mkuu. Na walivyokuwa na usongo na JF, itaanza kuuma toka 2006 JF ilipoanza .
mtupu kichwani mwako humo umezaliwa kwa bahati mbaya na unaishi kwa makusudi umu JF.
Bandiko lako linadhihilisha UTUPU wako!!
Bandiko lako linadhihilisha UTUPU wako!!
Vipi Ndinani naona umeishiwa hoja asubuhi hadi unakata tamaa. Basi tumia muda huo kusoma katiba inayopendekezwa. Kwa uzuri uliomo ndani ya katiba hiyo tension zako zitaondoka. Jitahidi tena leo ni Ijumaa Kuu unaweza kupata muda wa kutosha ukasoma kwa kituo.Sina muda wa kujibishana na wewe MTUPU; ungekuwa na hoja usigetumia matusi !!!
Vipi Ndinani naona umeishiwa hoja asubuhi hadi unakata tamaa. Basi tumia muda huo kusoma katiba inayopendekezwa. Kwa uzuri uliomo ndani ya katiba hiyo tension zako zitaondoka. Jitahidi tena leo ni Ijumaa Kuu unaweza kupata muda wa kutosha ukasoma kwa kituo.
Ndugu yangu naona hizo Ibara umezisoma juu juu tu, nakushauri ukazisome tena na tena uapate kuzielewa.Nimeisoma hiyo katiba pendekezwa na sikubaliani na mabo yake mengi likiwamo la wabunge kutokuwa na ukomo!! Hili wamelifuta kama walivyopendekeza wananchi ili kuhakikisha watoto wao walioingia bungeni hivi karibuni nao wakae kama walivyodumu baba zao kwenye ufalme huo wa kibunge!!! Pia suala la kumshitaki Rais kwa makosa aliyofanya akiwa madarakani ni suala la msingi ambalo litakomesha ufisadi unaendelezwa na watawala wetu wakiwa madarakani. Hizo ni baadhi ya sababu za kuikataa katiba pendekezwa.
Ndugu yangu naona hizo Ibara umezisoma juu juu tu, nakushauri ukazisome tena na tena uapate kuzielewa.
Akili yake ina shida kubwa... anasema kila kitu kitaenda kama kilivyopangwa, sasa sijui wamepanga nini??
Wewew kama hujui nchi yako inakwenda wapi sio mtanzania unadandia tu, mwananchi makini lazima asome alama za nyakati na kujua taifa lake liko wakati gani sio unabaki kushangaa kusubiria taarifa za Mtaani uziamiani.
haha yeye anasema kila kitu kitaenda kama kilivyopangwa.. sidhani kama anajua yaliyohafikiwa siku JK anakabidhiwa hiyo Katiba pale Dodoma
Kama umesoma hiyo habari vizuri ni kuwa hayo ni mawazo ya huyo Jaji binafsi na hajasema kwamba yeye ni NEC. Sioni sababu ya kusema kuwa watu wana 'vihelehele' kwa kutoa mawazo yao hasa kuhusu jambo hili muhimu la katiba.
Hivi wewe unayeona utupu wa wenzako ina maana unawachungulia wakiwa wanaoga! Acha maneno yasiyoeleweka. Soma Katiba Inayopendekezwa ili kichwa chako kiwe na chochote kwani wewe ndo unaonekana huna kitu kichwani hata hujitambui kama jina lako lilivyo kuwa wewe nani kama kibantu changu kiko sahihi. Tuache habari ya kibantu ila ndugu yangu Ndinani wewe mweupe sana kichwani.:canada:Bandiko lako linadhihilisha UTUPU wako!!
Nimeisoma hiyo katiba pendekezwa na sikubaliani na mabo yake mengi likiwamo la wabunge kutokuwa na ukomo!! Hili wamelifuta kama walivyopendekeza wananchi ili kuhakikisha watoto wao walioingia bungeni hivi karibuni nao wakae kama walivyodumu baba zao kwenye ufalme huo wa kibunge!!! Pia suala la kumshitaki Rais kwa makosa aliyofanya akiwa madarakani ni suala la msingi ambalo litakomesha ufisadi unaendelezwa na watawala wetu wakiwa madarakani. Hizo ni baadhi ya sababu za kuikataa katiba pendekezwa.