Jaji Elinaza Luvanda ajiondoa kuendesha kesi ya Mbowe na wenzake baada ya washtakiwa kudai hawana imani naye

Jaji Elinaza Luvanda ajiondoa kuendesha kesi ya Mbowe na wenzake baada ya washtakiwa kudai hawana imani naye

Wacha upuuzi, sifa moja kuu ya judge yeyote hapa duniani lazima awe impartial, hatakiwi kupendelea upande wowote, huyo Luvanda kama refarii kujigeuza kocha wa timu nyingine ili iweze kushinda mchezo wake ni wizi kwa taaluma ya sheria.
Mkuu kwenye dunia ya sheria impartiality inabebwa na mazingira, kuna mazingira haiwezekani. Kwa maana hiyo hiyo haiwezi kuwa sifa kuu ya mtu kuwa Jaji, labda useme maamuzi mazuri ni yaliyotolewa bila upendeleo nitakuelewa.

Jaji kuwa huru kutoa maamuuzi ni matokeo ya mazingira ya kesi husika wala haina uhusiano wa moa kwa moja na sifa ya kuwa Jaji. Inaweza usinielewe sababu hili ni swala a kifilosofia zaidi Mkuu.

Jamaa hapo juu wala sio mpuuzi ni umeshindwa tu kumuelewa alichosema Mkuu.

Hivi unaua tu kuwa namna public imepokea kesi ya Mbowe na mambo yanavyoenda mitandaoni yanaweza kumfanya aji akaona hawezi kutokuwa na upendeleo?, upendeleo unatokana na mambo mengi sana hata huruma tu inatosha kuvuruga maamuzi ya Jaji.

Jambo muhimu kujua ni Mheshimiwa Luvanda ni Jaji wa aina gani, sababu kundi la maaji atakalo angukia lina nafasi kubwa kwenye namna atakavyoshughulikia kesi zilizo mbele yake.

mgongano wa kimaslahi ni msamiati mpana sana ndugu.
 
Kimsingi sheria haizuii hati ya mashitaka kufanyiwa marekebisho muda wowote ule wakati kesi ikiendelea, lkn pia Jaji hazuiwi kutoa maelekezo ya kufanya marekebisho kama alivyo fanya Jaji Luvanda, ameona kasoro na amewaelekeza upande wa Jamuhuri wazirebishe ili tu haki iweze kutendeka.
hakuna kosa lolote la kisheria hapo.
Jaji ametumia busara ameona ni bora aelekeze marekebisho yafanyike kuliko kuliondoa shitaka.
Hata kama angeliondoa shitaka dhidi ya Mbowe bado Mbowe asingekuwa huru lazima angeendelea kubaki kizuizini wakati Jamuhuri ikifanyia marekebisho hati ya mashitaka, hivyo alicho kifanya Jaji ni kutumia busara tu maana hakuna ambacho kingebadilika.
kasoro zilizopo ktk hati ya mashitaki hazipelekei kesi kufutwa, ktk sheria kuna tofauti kati ya "kufutwa" na "kuondolewa"
kuondoa shitaka hakumalizi kesi, kesi bado ipo kwa kuwa Jamuhuri bado inania ya kumshitaki mbowe.
tulieni acheni papara tuone utamu wa sheria.
Ni kipindi gani hiyo hati ya Mashitaka hufanyiwa marekebisho? Ni baada ya Jaji kugundua mapungufu husika au Jamhuri kuomba kwa Jaji kurekebisha mapungufu hayo?????
 
Mkuu kwenye dunia ya sheria impartiality inabebwa na mazingira, kuna mazingira haiwezekani. Kwa maana hiyo hiyo haiwezi kuwa sifa kuu ya mtu kuwa Jaji, labda useme maamuzi mazuri ni yaliyotolewa bila upendeleo nitakuelewa.

Jaji kuwa huru kutoa maamuuzi ni matokeo ya mazingira ya kesi husika wala haina uhusiano wa moa kwa moja na sifa ya kuwa Jaji. Inaweza usinielewe sababu hili ni swala a kifilosofia zaidi Mkuu.

Jamaa hapo juu wala sio mpuuzi ni umeshindwa tu kumuelewa alichosema Mkuu.

Hivi unaua tu kuwa namna public imepokea kesi ya Mbowe na mambo yanavyoenda mitandaoni yanaweza kumfanya aji akaona hawezi kutokuwa na upendeleo?, upendeleo unatokana na mambo mengi sana hata huruma tu inatosha kuvuruga maamuzi ya Jaji.

Jambo muhimu kujua ni Mheshimiwa Luvanda ni Jaji wa aina gani, sababu kundi la maaji atakalo angukia lina nafasi kubwa kwenye namna atakavyoshughulikia kesi zilizo mbele yake.

mgongano wa kimaslahi ni msamiati mpana sana ndugu.
Hamjielewi, hapa tunazungumzia sheria sio filosofia; jaji kazi yake iliyokuwa inafuata baada ya mwenyewe kukiri hati ya mashtaka ya upande wa jamhuri ina matatizo ilikuwa ni kufuta kesi, na watuhumiwa kuachiwa huru, hizi ngonjera zenu za mazingira etc ni kuleta story tu hapa.
 
Mahakamani naenda kukujitetea ili nikwepe kosa na ninavyokwepa kosa Jaji anamshauri mgomvi wangu akatafute kosa lingine hili limekaaje kwa watalamu wa sheria?

Serikali walidai hati ya mashtaka haina makosa na iko sahihi haihitaji kubadilishwa, Jaji anasema INA mapungufu makubwa sana itabidi ibadilishwe...

Huyu Jaji kitaalam tumuiteje?
Ni kazi yake Mkuu kusimamia haki, kwani hujawahi kusikia au kuona waendesha mashtaka ofisi ya DPP wakisisitiza mtuhumiwa kuachiwa huru? zipo kesi kabisa bongo hapa hapa, hapa unaweza jiuiza sasa kazi yao si ni 'kukuchongea' ili ukutwe na hatia?, Mkuu haki ni kitu kiguumu sana kusimamia ili kipatikane.

Ila Mkuu mahakamani hauendi kukwepa kosa bali kujitetea kuwa haujafanya kosa unalotuhumiwa nalo, na kuwataka washitaki kuthibitisha kuwa kweli umefanya hilo kosa. Ila pia nadhani ni muda sasa elimu basic kabisa ya sheria itolewe mashuleni.
 
Mkuu kwenye dunia ya sheria impartiality inabebwa na mazingira, kuna mazingira haiwezekani. Kwa maana hiyo hiyo haiwezi kuwa sifa kuu ya mtu kuwa Jaji, labda useme maamuzi mazuri ni yaliyotolewa bila upendeleo nitakuelewa.

Jaji kuwa huru kutoa maamuuzi ni matokeo ya mazingira ya kesi husika wala haina uhusiano wa moa kwa moja na sifa ya kuwa Jaji. Inaweza usinielewe sababu hili ni swala a kifilosofia zaidi Mkuu.

Jamaa hapo juu wala sio mpuuzi ni umeshindwa tu kumuelewa alichosema Mkuu.

Hivi unaua tu kuwa namna public imepokea kesi ya Mbowe na mambo yanavyoenda mitandaoni yanaweza kumfanya aji akaona hawezi kutokuwa na upendeleo?, upendeleo unatokana na mambo mengi sana hata huruma tu inatosha kuvuruga maamuzi ya Jaji.

Jambo muhimu kujua ni Mheshimiwa Luvanda ni Jaji wa aina gani, sababu kundi la maaji atakalo angukia lina nafasi kubwa kwenye namna atakavyoshughulikia kesi zilizo mbele yake.

mgongano wa kimaslahi ni msamiati mpana sana ndugu.
Mwamba akiwa kazini kuwavusha watanzania
KAMANDA_WOTE_MASHUJAA,_WAPENDA_HAKI,_WAFIA_CHAMA__tukutane_KIsutu_leo_mapema_kwenye_kesi_ya_mw...jpg
 
Hamjielewi, hapa tunazungumzia sheria sio filosofia; jaji kazi yake iliyokuwa inafuata baada ya mwenyewe kukiri hati ya mashtaka ya upande wa jamhuri ina matatizo ilikuwa ni kufuta kesi, na watuhumiwa kuachiwa huru, hizi ngonjera zenu za mazingira etc ni kuleta story tu hapa.
Haya Mkuu, uwe na jioni njema.
 
Kimsingi sheria haizuii hati ya mashitaka kufanyiwa marekebisho muda wowote ule wakati kesi ikiendelea, lkn pia Jaji hazuiwi kutoa maelekezo ya kufanya marekebisho kama alivyo fanya Jaji Luvanda, ameona kasoro na amewaelekeza upande wa Jamuhuri wazirebishe ili tu haki iweze kutendeka.
hakuna kosa lolote la kisheria hapo.
Jaji ametumia busara ameona ni bora aelekeze marekebisho yafanyike kuliko kuliondoa shitaka.
Hata kama angeliondoa shitaka dhidi ya Mbowe bado Mbowe asingekuwa huru lazima angeendelea kubaki kizuizini wakati Jamuhuri ikifanyia marekebisho hati ya mashitaka, hivyo alicho kifanya Jaji ni kutumia busara tu maana hakuna ambacho kingebadilika.
kasoro zilizopo ktk hati ya mashitaki hazipelekei kesi kufutwa, ktk sheria kuna tofauti kati ya "kufutwa" na "kuondolewa"
kuondoa shitaka hakumalizi kesi, kesi bado ipo kwa kuwa Jamuhuri bado inania ya kumshitaki mbowe.
tulieni acheni papara tuone utamu wa sheria.

Vuvuzela la chama, SSH, serikali hilo na utopolo wake kama kawa. Jumbe Brown nawe vipi tayari ushaachia wako?

Ninapendekeza serikali, CCM au SSH wapitishe hata ka sheria kadogo ka kuwaramba viboko makalioni (kama hamsa wa ishirini hivi) kila asubuhi:




Kwa hakika hamkatai!
 
Awasilishe mahakamani kama anao ushahidi juu ya hayo anayo mtuhumu nayo, sio kumchafua Jiji bila ushahidi.

Kama hakuna ushahidi Jaji aendelee...
Tuhuma za uzushi kama zilivyo za ugaidi siyo? Kama hivyo ngoma ni bam-bam
 
Jaji amekosea sana kujitoa ktk kesi.
Maana yake ni kwamba tuhuma alizo zitoa Mbowe dhidi ya Jaji ni za kweli.
Kabla ya kujitoa hizo tuhuma lazima kwanza zithibitishwe maaana sio tu kwamba zina mchafua Jaji/Majaji bali zinauchafua Muhimili wa Mahakama.
Ushahidi wa kuwa mbowe ni gaidi uliwekwa wazi? Sheria ikowazi kama huna imani na mwenendo wa hakimu ama jaji unaweza kuomba kubadilishiwa jaji ama haki juu ya kesi yako kwahiyo kufanyaivo imekuwa nongwa?
 
Huu uonevu wa kijinga hauwezi ukaliinua hili taifa hata siku moja. Wataendeleza huu ujinga wa kubambikia watu vyesi huku nchi ikizidi kuparara tu.

Hii yote ya serikali kupigika hadi kuanzisha tozo kibao ni matokeo ya laana ya dhuluma inayofanywa na huu utawala dhidi ya raia wake.

Magufuli aliyafanya haya haya wananchi wakalia hadi Mungu akawajibu sasa tena kaja Nebukadrezzah mwingine lakini Mungu ni yule yule asiyechoka. Tutaona mwisho wao.
 
Back
Top Bottom