Jaji Elinaza Luvanda ajiondoa kuendesha kesi ya Mbowe na wenzake baada ya washtakiwa kudai hawana imani naye

Jaji Elinaza Luvanda ajiondoa kuendesha kesi ya Mbowe na wenzake baada ya washtakiwa kudai hawana imani naye

Nimemkumbuka jaji wa kesi ya Lema alitoa maneno mujarabu sn[emoji848]
 
Vuvuzela la chama, SSH, serikali hilo na utopolo wake kama kawa. Jumbe Brown nawe vipi tayari ushaachia wako?

Ninapendekeza serikali, CCM au SSH wapitishe hata ka sheria kadogo ka kuwaramba viboko makalioni (kama hamsa wa ishirini hivi) kila asubuhi:



Kwa hakika hamkatai!

Mkuu ninaheshimu mihimili ya nchi....

Binafsi mambo ya mahakamani huwa SIINGIZI mdomo wangu kwa kuchelea kuwa "pang'ang'a".....

Kesi iko mahakamani niongelee nini mimi muuza "gahwa" na Al Kasus huku kwa "Manjunju"?!!🤣🤣

Nisalimie "ufipa" hapo najua mkuu wangu mnamaliza makopo ya dawa za mbu tu tehe tehe tehe 🤣

#SiempreJMT
#NchiKwanza
 
Jaji asikubali upuuuzi na ushenzi huu wa Mawakili wa Mbowe na Mbowe mwenyewe.

Huko ni kumtusi Jaji na Mahakama...
Soma vizuri alewa alafu ndiyo uandike. Tatizo umesoma ujaelewa alafu ukaandika
 
Kwa watu wanaomjua huyu Jaji

Ni nani
Amesoma wapi
Ametokea wapi
Amefanya kazi wapi na wapi kabla ya kuwa jaji

Je ni Jaji wa kimkakati?

Mwenye cv au kumjua
 
Soma vizuri alewa alafu ndiyo uandike. Tatizo umesoma ujaelewa alafu ukaandika
Nafahamu kuwa Jaji yeyote anaweza kujitoa kusikiliza kesi yoyote ile endapo tu tuhuma hizo zitathibitika kuwa ni za kweli na zitapelekea haki kutokutendeka.

Sasa tuhuma alizo zitoa Mbowe na Mawakili wake dhidi ya Jaji Luvabda eti kuwa amepewa maelekezo kutoka juu kuwa amfunge Mbowe, tuhuma hizi zilipaswa zithibitishwe kwanza kabla ya Jaji kujitoa kusikiliza kesi hiyo nasema hivyo kwa sababu zifuatazo;

1. Tuhuma zilizo tolewa dhidi ya Jaji ni tuhuma nzito ambazo sio tu kwamba zinamchafua yeye Jaji Luvanda bali zinawachafua Majaji wote wa Tanzania bara na Muhimili wa Mahakama kwa ujumla wake kuwa hawatendi haki.

Tuhuma hizo zilipaswa zithibitishwe kwanza, huko ni kuichafua Mahakama, na wananchi wa kawaida watapoteza IMANI na MAHAKAMA.
Kwa kitendo cha Jaji kuamua kujitoa bila hata tuhuma hizo kuthibitishwa kumewaabisha Majaji wote pamoja na Muhimili kuwa huwa hawatendi haki.
 
Kengeza la gaidi DJ haliwezi kumtisha jaji mpaka akubali kujitoa, gaidi ajiandae kula mvua za kutosha!. 🤣
Bado ujajifunza mfano wa gaidi. Somo la gaidi alishalitoa mtu ambaye hakuwa gaidi pale ubalozini
 
Ushahidi wa kuwa mbowe ni gaidi uliwekwa wazi? Sheria ikowazi kama huna imani na mwenendo wa hakimu ama jaji unaweza kuomba kubadilishiwa jaji ama haki juu ya kesi yako kwahiyo kufanyaivo imekuwa nongwa?
Nafahamu kuwa Jaji yeyote anaweza kujitoa kusikiliza kesi yoyote ile endapo tu tuhuma hizo zitathibitika kuwa ni za kweli na zitapelekea haki kutokutendeka.

Sasa tuhuma alizo zitoa Mbowe na Mawakili wake dhidi ya Jaji Luvabda eti kuwa amepewa maelekezo kutoka juu kuwa amfunge Mbowe, tuhuma hizi zilipaswa zithibitishwe kwanza kabla ya Jaji kujitoa kusikiliza kesi hiyo.
nasema hivyo kwa sababu zifuatazo;

1. Tuhuma zilizo tolewa dhidi ya Jaji ni tuhuma nzito ambazo sio tu kwamba zinamchafua yeye Jaji Luvanda bali zinawachafua Majaji wote wa Tanzania bara na Muhimili wa Mahakama kwa ujumla wake kuwa hawatendi haki.

Tuhuma hizo zilipaswa zithibitishwe kwanza, huko ni kuichafua Mahakama, na wananchi wa kawaida watapoteza IMANI na MAHAKAMA.

Kwa kitendo cha Jaji kuamua kujitoa bila hata tuhuma hizo kuthibitishwa kumewaabisha Majaji wote pamoja na Muhimili kuwa huwa hawatendi haki.
 
Kwa watu wanaomjua huyu Jaji

Ni nani
Amesoma wapi
Ametokea wapi
Amefanya kazi wapi na wapi kabla ya kuwa jaji

Je ni Jaji wa kimkakati?

Mwenye cv au kumjua
Ni jaji
Amesoma Tanzania na Nje ya Tanzania.
Ametokea Tanzania.
Amefanyaka kazi chini ya wizara ya sheria kabla ya kuwa jaji.

Ndio, ni jaji wa kimkakati HASWA.
 
Nakubaliana na hoja zako ila hoja ilikuwa kwamba;
tuhuma alizo zitoa Mbowe na Mawakili wake dhidi ya Jaji Luvabda eti kuwa amepewa maelekezo kutoka juu kuwa amfunge Mbowe, tuhuma hizi zilipaswa zithibitishwe kwanza kabla ya Jaji kujitoa kusikiliza kesi hiyo.

Ndugu, hizi ni kauli za watu mitandaoni tu...

Sina hakika kama haya yametamkwa mbele yake na mawakili wa utetezi unless unithibitishie...
nasema hivyo kwa sababu zifuatazo;

1. Tuhuma zilizo tolewa dhidi ya Jaji ni tuhuma nzito ambazo sio tu kwamba zinamchafua yeye Jaji Luvanda bali zinawachafua Majaji wote wa Tanzania bara na Muhimili wa Mahakama kwa ujumla wake kuwa hawatendi haki.

Zimetolewa mahakamani au unasoma mitandaoni tu? Kama ameshajitoa tayari, maana yake ameelewa na imethibitika bila shaka...!!
Tuhuma hizo zilipaswa zithibitishwe kwanza, huko ni kuichafua Mahakama, na wananchi wa kawaida watapoteza IMANI na MAHAKAMA.

Mara ngapi wapoteze imani na mahakama na majaji/mahakimu...?

Mahakama na majaji/mahakimu infact, walishapoteza credibility long time sana..!!

Uthibitisho, ni kesi kibao dhidi ya wapinzani zilizowahi kuamuliwa kwa mashinikizo au "maelekezo toka juu" huku haki na sheria zikiwekwa pembeni
Mahakama ndio Tegemeo la wananchi sasa kama tutaacha uchafuzi kama huu uendelee basi Mahakama inaenda kuangua na haito aminiwa na wananchi.
Hapana siyo tegemeo la wananchi wote anymore...

Mahakama ni tegemeo la watawala kunyongea haki za wapinzani wa mawazo na mipango yao kama hii inayoendelea sasa ya MBOWE vs JAMHURI na kuleta zogo hili...!!

Kwa hiyo, twendeni tu hivyo hivyo ili tufike huko tuendako...!
 
Nafahamu kuwa Jaji yeyote anaweza kujitoa kusikiliza kesi yoyote ile endapo tu tuhuma hizo zitathibitika kuwa ni za kweli na zitapelekea haki kutokutendeka.
Sasa tuhuma alizo zitoa Mbowe na Mawakili wake dhidi ya Jaji Luvabda eti kuwa amepewa maelekezo kutoka juu kuwa amfunge Mbowe, tuhuma hizi zilipaswa zithibitishwe kwanza kabla ya Jaji kujitoa kusikiliza kesi hiyo.
nasema hivyo kwa sababu zifuatazo;

1. Tuhuma zilizo tolewa dhidi ya Jaji ni tuhuma nzito ambazo sio tu kwamba zinamchafua yeye Jaji Luvanda bali zinawachafua Majaji wote wa Tanzania bara na Muhimili wa Mahakama kwa ujumla wake kuwa hawatendi haki.
Tuhuma hizo zilipaswa zithibitishwe kwanza, huko ni kuichafua Mahakama, na wananchi wa kawaida watapoteza IMANI na MAHAKAMA.
Kwa kitendo cha Jaji kuamua kujitoa bila hata tuhuma hizo kuthibitishwa kumewaabisha Majaji wote pamoja na Muhimili kuwa huwa hawatendi haki.
Swali dogo tu ndugu Ni kwanini aliipa jamuhuri kulekebisha hati ya makosa walioikosea bila jamuhuri kuomba kufanya hivyo? Kama uamuzi ulikuwa Ni kukosa uhaalali wa hati ya mashitaka?. Hapo Ni tayari kaonyesha upendeleo wa wazi
 
Masikini Mbowe anafungwa hivi hivi kutokana na ujinga wa Watanzania, kuwapigania watu wasiojielewa ni kazi sana.
Mbowe alishajua toka awali sana, kwamba kujitoa mhanga hapa ni kujiumiza mwenyewe.

Lakini kama mtu una dhamira ya kweli, na unachukizwa na matendo wanayofanyiwa hata hao wasiokuwa na shukrani, huna namna bali kuendelea tu hivyo hivyo kujitoa nafsi yako ukitegemea kwamba huenda kuna siku hao watu wataona na kuunga juhudi unazofanya juu yao.

Huo ndio uongozi wa kweli.
 
Swali dogo tu ndugu Ni kwanini aliipa jamuhuri kulekebisha hati ya makosa walioikosea bila jamuhuri kuomba kufanya hivyo? Kama uamuzi ulikuwa Ni kukosa uhaalali wa hati ya mashitaka?. Hapo Ni tayari kaonyesha upendeleo wa wazi
Unajibishana na mtu asiyeweza kukuelewa.
 
Nafahamu kuwa Jaji yeyote anaweza kujitoa kusikiliza kesi yoyote ile endapo tu tuhuma hizo zitathibitika kuwa ni za kweli na zitapelekea haki kutokutendeka.
Sasa tuhuma alizo zitoa Mbowe na Mawakili wake dhidi ya Jaji Luvabda eti kuwa amepewa maelekezo kutoka juu kuwa amfunge Mbowe, tuhuma hizi zilipaswa zithibitishwe kwanza kabla ya Jaji kujitoa kusikiliza kesi hiyo.
nasema hivyo kwa sababu zifuatazo;

1. Tuhuma zilizo tolewa dhidi ya Jaji ni tuhuma nzito ambazo sio tu kwamba zinamchafua yeye Jaji Luvanda bali zinawachafua Majaji wote wa Tanzania bara na Muhimili wa Mahakama kwa ujumla wake kuwa hawatendi haki.
Tuhuma hizo zilipaswa zithibitishwe kwanza, huko ni kuichafua Mahakama, na wananchi wa kawaida watapoteza IMANI na MAHAKAMA.
Kwa kitendo cha Jaji kuamua kujitoa bila hata tuhuma hizo kuthibitishwa kumewaabisha Majaji wote pamoja na Muhimili kuwa huwa hawatendi haki.
Nafikiri uungwana ni huu kiongozi unapotuhumiwa kwa ubaya wowote ule cha kwanza achia nafasi ulonayo ili watakafanya uchunguzi dhidi ya tuhuma zako iwe rahisi . Kuendelea kuwepo kwako kwenye ile nafasi unayotuhumiwa itawapa mazingira magumu watu wanaochunguza tuhuma za mtuhumiwa .
 
Ni kipindi gani hiyo hati ya Mashitaka hufanyiwa marekebisho? Ni baada ya Jaji kugundua mapungufu husika au Jamhuri kuomba kwa Jaji kurekebisha mapungufu hayo?

Kama bado unadhani una hoja karibu uwe na amani.
shukrani Mkuu, ila haitakuwa na sababu kama umeamua kushikilia msimamo wako, bahati mbaya sana msimamo wako sio sahihi sana sasa tutakuwa tunapoteza muda tu Mkuu. Ila ukipata muda jaribu kujifunza Mgongono wa kimaslahi na maadili ya Jaji/Hakimu, kazi za Jaji/Hakimu na wakati gani Jaji/Hakimu anaweza kujitoa kwenye kesi na sababu za kufanya hivyo itakupa mwanga mzuri sana Mkuu, then tutaendelea kupeana elimu.
 
Back
Top Bottom