Jaji Elinaza Luvanda ajiondoa kuendesha kesi ya Mbowe na wenzake baada ya washtakiwa kudai hawana imani naye

Mdomo wazi, Nzi kama wote wanaongia na kutoka, kaenda na mavi yake , katuacha tumebaki na mavi yetu majumbani kwetu kama alivyo tuamuru.[emoji1][emoji3][emoji1][emoji3]
Katuachia mama ili awakomeshe magaidi wote.

Kumbe jamaa alikuwa analea migaidi kwa miaka yote 5?
 
Unatakiwa uelewe kwamba ikiwa mtuhumiwa hana imani nawe unatakiwa ujitoe kwenye kesi huwezi jua hivi vitu kama wewe ni layman
 
HERI YAKO WEWE JAJI WA KUZIMU
 
Mtazunguka weee ila bado mpo chini ya ardhi ya Tanzania kataeni majaji wote
 

Kila mshitakiwa au mshitaki ana haki yaku kumkataa jaji,hakimu,au wakili,ndio maana halisi ya Justice,huwezi kujua kila kitu
 
Tumekwisha! Awamu ya 5 inaendelea mpaka sasa. Bora tu tusijidanganye kwamba tuko awamu ya 6. Tunaporomoka kwa kasi.
 
Ushindi Mwingine kwa Mbowe. Hii kesi itawatokea puani
 
Hat ya Mashtaka ni Batili

Kumbe kashalitambua hilo. Ndio maama amejiondoa. Wenye akili washaelewa kinachoendelea
 
Mwenyewe kasema Hati ya Mashtaka ni Batili.

wewe unataka kusemaje?
 
Masikini Mbowe anafungwa hivi hivi kutokana na ujinga wa Watanzania kuwapigania watu wasiojielewa ni kazi sana.
Halafu huyu Jaji Luanda ni wa siku nyingi sana. Nilifikiri anajielewa Kumbe anaelekea kuwa ni wale wale.... Mwendazake anewaharibu sana...!!
 
Mwenyewe kasema Hati ya Mahtaka ni Batili.
 
Jaji kakubali Hati ya Mashtaka ina kasoro nyingi!!.. Ilitakiwa afute case!!..Yeye anatuma serikali ikarekebishe makosa ili case iendelee!!
 
Masikini Mbowe anafungwa hivi hivi kutokana na ujinga wa Watanzania kuwapigania watu wasiojielewa ni kazi sana.
sijui huu ujinga itaisha lini. Jamaa anateseka anafilisika kwa sababu ya kuwapigania wajinga. Huu ni wakati wa kuendelea na maisha yake
 
Wewe ni mshamba huna A B C........... Kuhusu sheria... umeandika mambo mengi ya siasa tupu hakuna kitu... hili la kutokuwa na imani na judge ni jambo la kawida kabisa na majudge wenye akili hujitoa .... ... kwa hiyo mawakili wa mbowe walifanya vyema kuonesha hivyo mapema na wengi mnashangaa kwasababu mmezoea kuwa na majudge wasiojielewa ....
 
Tuhuma alizo zitoa Mbowe dhidi ya Jaji Luvanda sio tu zinamchafua yeye bali zinawachafua Majaji wote na Muhimili wa Mahakama.
Hivyo Mbowe na Mawikili wake walipaswa wathibitishe tuhuma hizo nzito.
Moja ya ushahidi ni kukubali Hati ya Mashtaka ni batili alafu ukaiambia serikali irekebishe ili uendelee na case!!.. Ilitakiwa afute case pale!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…