Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Mahakama imegeuzwa tawi la CCM
Duh......awamu ya 5 sijui kama angejitoa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh......awamu ya 5 sijui kama angejitoa!
Mbowe ni mjinga. Alifurahia kifo cha Dkt Magufuli. Na bado mpaka atubu. Alidhani kufa Dkt Magufuli ni kufa kwa serikali. Hili ni fundisho kwa wajinga kama yeye ili vizazi vijavyo viheshimu utu.Masikini Mbowe anafungwa hivi hivi kutokana na ujinga wa Watanzania kuwapigania watu wasiojielewa ni kazi sana.
Ni kweli lakini mahakama imepata aibu kubwa snHakuna kitakachobadilika pamoja na jaji kujitoa kulinda tu taaluma na heshima ya nafasi yake'mark my words' matokeo ni yaleyale
mkuu hii sio kesi ya wizi wa kuku.
Shule yako ni kiwango gani ndugu?Washenzi sana hawa, hawajui huyo Jaji ataepangiwa hiyo kesi hatokuwa na huruma yeyote, na kwa ushahidi uliopo Jaji akiamua kutenda haki Mbowe anaenda Jail, jinai sio ya kuchezea, kosa dogo tu umenitukana na niko na ushahidi bila huruma ya hakimu unaenda Jail na unalipa faini, wacha wajitekenye watacheka wenyewe baadae, bahati mbaya sana ndo anaichukuwa JK Feleshi mwenyewe asojua kupindisha sheria watafurahi.
Unazo hapa jf?Taarifa zote za Jaji Luvanda tunazo , amekanyaga pabaya sana
Hakuna aibu yoyote hata kwenye sheria na miongozo ya kimahakama inasema hivyo endapo patakuwepo malalamiko yenye uzito hakimu au jaji anawajibika kujitathimini na kuchukua uamuzi wa kujiondoa kutunza heshima yake na yataasisi ya kutafsiri sheria. Matokeo ya kesi hiyo ni yaleyale tu hata akija mtu mwingine kuiendelezaNi kweli lakini mahakama imepata aibu kubwa sn
Subiri watazitoa muda ukifika. Ni bora amekua mwepesi kukaa pembeni.Unazo hapa jf?
mambo sio mepesi hivi mkuu,Washenzi sana hawa, hawajui huyo Jaji ataepangiwa hiyo kesi hatokuwa na huruma yeyote, na kwa ushahidi uliopo Jaji akiamua kutenda haki Mbowe anaenda Jail, jinai sio ya kuchezea, kosa dogo tu umenitukana na niko na ushahidi bila huruma ya hakimu unaenda Jail na unalipa faini, wacha wajitekenye watacheka wenyewe baadae, bahati mbaya sana ndo anaichukuwa JK Feleshi mwenyewe asojua kupindisha sheria watafurahi.
Lakini ajue historia haifutiki atabaki kwenye vitabu kama siyo yeye basi wanawe au wajukuu watakuja kulipa. Siku hizi kisasi ni cha sisi wahanga wenyewehuyo muheshimiwaa nii UWT , na likuwa amepangwa ammalize mboe, habari zake tunazoo………!
sureKama hakuna jaji ambaye hawezi kukataa kuagizwa maana yake ni kuwa mahakama zetu haziko huru.
Kweli kabisa Mimi nilisema toka kipindi Cha uchaguzi mkuu,kuwa wapinzani wanatakiwa waachane na siasa watanye shughuli zao maana wananchi hatujitambui.Masikini Mbowe anafungwa hivi hivi kutokana na ujinga wa Watanzania kuwapigania watu wasiojielewa ni kazi sana.
Kisha gaidi akakamatwaNdiyo maana alikufa kifo cha aibu
Huwa unapuyanga sana.... masuala ya kisheria waachie wanasheria, haya Jaji kajitoa unasemaje.Jaji asikubali upuuuzi na ushenzi huu wa Mawakili wa Mbowe na Mbowe mwenyewe.
Huko ni kumtusi Jaji na Mahakama,
Mbowe na mawakili wake hawana sababu ya msingi zaidi ya kutaka kumyumbisha Jaji, tuhuma wanazo zitoa dhidi ya Jaji ni za kipuuuzi na hazina uthibitisho wowote zaidi ya kudhania na kuhisia tu, hakuna hoja hapo, kwa hiyo anamtaka Jaji ambaye ni RAFIKI YAKE ili asikilize kesi yake.
kwa hiyo imefikia sasa Mtuhumiwa kuchagua Jaji wa kusikiliza kesi yake aisee! hata marekani hakuna kitu kama hicho.
ninacho sema Jaji angeweza kujitoa kama tuhuma zinazo tolewa na Mbowe zina uthibitisho la sivyo Jaji aendelee tu kungurumisha kesi.......asikubali kubabaishwa na hoja za kipuuzi na za kuokoteza na zenye lengo la kuchelewesha haki kutendeka.
Mbona unatumia nguvu kubwa kumtetea jaji wewe mbogamboga..Tuhuma alizo zitoa Mbowe dhidi ya Jaji Luvanda sio tu zinamchafua yeye bali zinawachafua Majaji wote na Muhimili wa Mahakama.
Hivyo Mbowe na Mawikili wake walipaswa wathibitishe tuhuma hizo nzito.
kabla ya Jaji kujitoa.
vinginevyo Muhimili wa Mahakama utaendelea kuchezewa sana na Mawakili wa Mbowe.
Ndiyo maana wajeda wa Guinea wameona isiwe tabu kama noma na iwe noma. Hata mbuyu ulianza kama mchichaMahakama imegeuzwa tawi la CCM