Jaji Elinaza Luvanda ajiondoa kuendesha kesi ya Mbowe na wenzake baada ya washtakiwa kudai hawana imani naye

Jaji Elinaza Luvanda ajiondoa kuendesha kesi ya Mbowe na wenzake baada ya washtakiwa kudai hawana imani naye

Aibu kubwa kwa Jaji Luvanda na Mahakama..
Maana anasema hati ya mashtaka ni batili..Lakini anawaambia mawakili wa serikali wakaibadilishe..akina Kibatala wamegoma wamemwambia kama hati ya mashtaka ni batili futa kesi..hataki..
Jaji amekubali kujiondoa kuendesha kesi.
Shida ya kuingiza siasa kwenye mambo ya msingi
 
Pole sana Mh Mbowe..

Ni vyema Mh Mbowe na team yake pamoja CDM ili suala mpambane zaidi kisheria kuliko kuleta siasa... tukijikita kwenye siasa tunaweza kusahau masuala muhimu ya kisheria na mwisho ukawa mbaya halafu bado tukaendeleza harakati za kisiasa za Free Mbowe....

Siasa ina mambo mengi, unaweza kuwekewa mtego na wewe ukajaa huku maadui zako wakiwa na malengo ya baadaye kukumaliza kwa wewe kuingia kwenye target yao bila kijua...mfano unaweza kuchokozwa baada ya watu kujua unahasira na wewe kupitia hasira zako ukaua kifupi utakuwa na kesi ya kuua...TUWE MAKINI....
 
Baada ya Jaji Luvanda kutupa mapingamizi yote yaliyotolewa na Mawakili wanaomtetea Mbowe na wenzake, Mbowe amesimama na kumtaka Jaji Luvanda ajiondoe kuendesha kesi hiyo kwani ameonyesha upendeleo na taarifa zinasema ana maelekezo ya kupindisha sheria ili amfunge Mbowe na wenzake.
Kesi iendelee. Mawakili wa mbowe wanasumbua mahakama ili kupiga hela ya wafadhili kwamba wanamtetea mteja wao kibaraka wa wazungu.
 
Aibu kubwa kwa Jaji Luvanda na Mahakama..
Maana anasema hati ya mashtaka ni batili..Lakini anawaambia mawakili wa serikali wakaibadilishe..akina Kibatala wamegoma wamemwambia kama hati ya mashtaka ni batili futa kesi..hataki..
Jaji amekubali kujiondoa kuendesha kesi.
Good. Inawezekana ameona kesi itamchafua ndiyo maana akaanza kutupa mapingamizi ili akataliwe.
 
Tuhuma alizo zitoa Mbowe dhidi ya Jaji Luvanda sio tu zinamchafua yeye bali zinawachafua Majaji wote na Muhimili wa Mahakama.
Hivyo Mbowe na Mawikili wake walipaswa wathibitishe tuhuma hizo nzito.
kabla ya Jaji kujitoa.
vinginevyo Muhimili wa Mahakama utaendelea kuchezewa sana na Mawakili wa Mbowe.
 
Tulishasema tangu mapema kwamba hizi kesi za kutengeneza huwa zina mambo yake , kama binadamu wakati mwingine roho inakusuta .

Baada ya kuanikwa mitandaoni na Sauti Kubwa , hatimaye leo Jaji Luvanda amekubali kujitoa kwenye kesi ya Mbowe , baada ya kuombwa kufanya hivyo kutokana na kumstukia kwamba anatumika .

Huu ni ushindi wa kwanza .
Aibu kubwa sn kwa mahakama
 
Jaji asikubali upuuuzi na ushenzi huu wa Mawakili wa Mbowe na Mbowe mwenyewe.

Huko ni kumtusi Jaji na Mahakama,

Mbowe na mawakili wake hawana sababu ya msingi zaidi ya kutaka kumyumbisha Jaji, tuhuma wanazo zitoa dhidi ya Jaji ni za kipuuuzi na hazina uthibitisho wowote zaidi ya kudhania na kuhisia tu, hakuna hoja hapo, kwa hiyo anamtaka Jaji ambaye ni RAFIKI YAKE ili asikilize kesi yake.

kwa hiyo imefikia sasa Mtuhumiwa kuchagua Jaji wa kusikiliza kesi yake aisee! hata marekani hakuna kitu kama hicho.

ninacho sema Jaji angeweza kujitoa kama tuhuma zinazo tolewa na Mbowe zina uthibitisho la sivyo Jaji aendelee tu kungurumisha kesi.......asikubali kubabaishwa na hoja za kipuuzi na za kuokoteza na zenye lengo la kuchelewesha haki kutendeka.
Vipi tena, Jaji kakubali upuuzi wa Mbowe na mawakili wake.

Stay tuned mkuu.
 
Jaji asikubali upuuuzi na ushenzi huu wa Mawakili wa Mbowe na Mbowe mwenyewe.

Huko ni kumtusi Jaji na Mahakama,

Mbowe na mawakili wake hawana sababu ya msingi zaidi ya kutaka kumyumbisha Jaji, tuhuma wanazo zitoa dhidi ya Jaji ni za kipuuuzi na hazina uthibitisho wowote zaidi ya kudhania na kuhisia tu, hakuna hoja hapo, kwa hiyo anamtaka Jaji ambaye ni RAFIKI YAKE ili asikilize kesi yake.

kwa hiyo imefikia sasa Mtuhumiwa kuchagua Jaji wa kusikiliza kesi yake aisee! hata marekani hakuna kitu kama hicho.

ninacho sema Jaji angeweza kujitoa kama tuhuma zinazo tolewa na Mbowe zina uthibitisho la sivyo Jaji aendelee tu kungurumisha kesi.......asikubali kubabaishwa na hoja za kipuuzi na za kuokoteza na zenye lengo la kuchelewesha haki kutendeka.
Naona aibu kuwa Raia wa Nchi moja na wewe!
 
kama hakuna ushahidi Jaji aendelee.

Kibatala anazidi kumchimbia shimo bila yeye kujielewa maskini Mbowe!!!

Hoja ya kitoto kweli hiyo eti unamkataa Jaji?!!
1630917589602.png
 
Hakuna kitakachobadilika hapo, ni wale wale tu
 
Taarifa zote za Jaji Luvanda tunazo , amekanyaga pabaya sana
Hii tisha toto makamanda wanakamatwa nyie makuruti itabidi mfanye kweli ijulikane sasa hesabu ya 1+1=1 ithibitike hesabu ya muungano,inabidi mjipange kwa vitendo .

Tuseme maakama polisi wote ni wasaidizi wa CCM kuifanya iwe na kiburi na yeyote kwenye upinzani akitiwa mkononi na mambo yasioeleweka eleweka sababu ni maelezo kutoka juu kwa maana kutoka CCM, sasa makamanda kwa nini na nyinyi hamumsaki yule aliesema na kuwajibu kuwa ni au amepata maelezo kutoka juu ili awafanyie ukamataji,alimuradi awadhalilishe,msakeni kama ndezi na kumlia timing hata kama itachukua miezi,siku mnamtia mkononi ni lazima atasema ni nani huyo kutoka juu anaetoa maelezo yasio katika usawa na wao kuyatekeleza bila ya kufuata utaratibu na sheria za nchi,aseme yaani mnambana makorodani mpaka aite mammaaa. Ndio CCM inapotaka watu wafike huko kiyemeni yemeni tu.
 
Back
Top Bottom