Jaji Elinaza Luvanda ajiondoa kuendesha kesi ya Mbowe na wenzake baada ya washtakiwa kudai hawana imani naye

Jaji Elinaza Luvanda ajiondoa kuendesha kesi ya Mbowe na wenzake baada ya washtakiwa kudai hawana imani naye

Mkuu.. Jaji Mkuu ndio tatizo kubwa..
Nimeshalisema sana hili..
Hatuna CJ hapa Tz..
Ni sanamu tu yule..
Amekubali kuwa zezeta wa serikali..
Shame.
Hii inaonyesha Jaji Luvanda alikua anafanya chini ya shinikizo, ndiyo maana alipopata huu upenyo wa kukaa pembeni ameamua kuliacha shauri washughulike nalo wengine.
 
sio lazima Mawakili waombe, mahakama ipo pale kuhakikisha haki inatendeka kwa pande zote mbili; yaani mtuhumiwa na hata upande wa Jamuhuri, hivyo Jaji yuko sahihi kabisa kutoa maelekezo kwa upande wa Jamuhuri kwenda kurekebisha hati ya mashitaka hata kama wao hawajaomba.
 
sio lazima Mawakili waombe, mahakama ipo pale kuhakikisha haki inatendeka kwa pande zote mbili; yaani mtuhumiwa na hata upande wa Jamuhuri, hivyo Jaji yuko sahihi kabisa kutoa maelekezo kwa upande wa Jamuhuri kwenda kurekebisha hati ya mashitaka hata kama wao hawajaomba.
Angekuwa baba ako yupo mahabusu sijui kama ungeongea huu utumbo
 
Jaji asikubali upuuuzi na ushenzi huu wa Mawakili wa Mbowe na Mbowe mwenyewe.

Huko ni kumtusi Jaji na Mahakama,

Mbowe na mawakili wake hawana sababu ya msingi zaidi ya kutaka kumyumbisha Jaji, tuhuma wanazo zitoa dhidi ya Jaji ni za kipuuuzi na hazina uthibitisho wowote zaidi ya kudhania na kuhisia tu, hakuna hoja hapo, kwa hiyo anamtaka Jaji ambaye ni RAFIKI YAKE ili asikilize kesi yake.

kwa hiyo imefikia sasa Mtuhumiwa kuchagua Jaji wa kusikiliza kesi yake aisee! hata marekani hakuna kitu kama hicho.

ninacho sema Jaji angeweza kujitoa kama tuhuma zinazo tolewa na Mbowe zina uthibitisho la sivyo Jaji aendelee tu kungurumisha kesi.......asikubali kubabaishwa na hoja za kipuuzi na za kuokoteza na zenye lengo la kuchelewesha haki kutendeka.
ameshalkubali kujitoa sasa, wewe na hao mawakili nani kaonekana mpuuzi?
 
Asante sana.

Hii inaonyesha Jaji Luvanda alikua anafanya chini ya shinikizo, ndiyo maana alipopata huu upenyo wa kukaa pembeni ameamua kuliacha shauri washughulike nalo wengine.

Unaonaje hilo mkuu?
Tuna majaji wa hovyo kabisa
 
hivyo Jaji yuko sahihi kabisa kutoa maelekezo kwa upande wa Jamuhuri kwenda kurekebisha hati ya mashitaka hata kama wao hawajaomba.
1630918002536.png
 
awasilishe mahakamani kama anao ushahidi juu ya hayo anayo mtuhumu nayo, sio kumchafua Jiji bila ushahidi.

kama hakuna ushahidi Jaji aendelee.

Kibatala anazidi kumchimbia shimo bila yeye kujielewa maskini Mbowe!!!

Hoja ya kitoto kweli hiyo eti unamkataa Jaji?!! tena unatoa tuhuma za kizushi na majungu ya kumchafua Jaji?

halafu hao mawakili wanamfundisha ujinga kama huo!!
Washenzi sana hawa, hawajui huyo Jaji ataepangiwa hiyo kesi hatokuwa na huruma yeyote, na kwa ushahidi uliopo Jaji akiamua kutenda haki Mbowe anaenda Jail, jinai sio ya kuchezea, kosa dogo tu umenitukana na niko na ushahidi bila huruma ya hakimu unaenda Jail na unalipa faini, wacha wajitekenye watacheka wenyewe baadae, bahati mbaya sana ndo anaichukuwa JK Feleshi mwenyewe asojua kupindisha sheria watafurahi.
 
sio lazima Mawakili waombe, mahakama ipo pale kuhakikisha haki inatendeka kwa pande zote mbili; yaani mtuhumiwa na hata upande wa Jamuhuri, hivyo Jaji yuko sahihi kabisa kutoa maelekezo kwa upande wa Jamuhuri kwenda kurekebisha hati ya mashitaka hata kama wao hawajaomba.
Kwa nini upande wa mashitaka uliokosea kuandaa hati usubiri Jaji awape maelekezo ya kurekebisha makosa? Wewe uliyekosea ndiye unakua mwepesi kugundua ulipokosea (kama uko kihaki) na kuomba ufanye hayo marekebisho. Mkuu jaribu kuwa neutral na kuliona hilo.
 
Tulishasema tangu mapema kwamba hizi kesi za kutengeneza huwa zina mambo yake , kama binadamu wakati mwingine roho inakusuta .

Baada ya kuanikwa mitandaoni na Sauti Kubwa , hatimaye leo Jaji Luvanda amekubali kujitoa kwenye kesi ya Mbowe , baada ya kuombwa kufanya hivyo kutokana na kumstukia kwamba anatumika .

Huu ni ushindi wa kwanza .
Hakuna kitakachobadilika pamoja na jaji kujitoa kulinda tu taaluma na heshima ya nafasi yake'mark my words' matokeo ni yaleyale
 
Mahakama ziache kutumika,ndio mhimili pekee unaoweza kuwaokoa Watanzania,mihimili mingine inapwaya sana.
 
sio lazima Mawakili waombe, mahakama ipo pale kuhakikisha haki inatendeka kwa pande zote mbili; yaani mtuhumiwa na hata upande wa Jamuhuri, hivyo Jaji yuko sahihi kabisa kutoa maelekezo kwa upande wa Jamuhuri kwenda kurekebisha hati ya mashitaka hata kama wao hawajaomba.
Hii haimanishi judge anaingilia mwenendo wa kesi..na anatoa maelekezo nini cha kufanya..ili iweje..hiyo ni kazi ya judge??kwakuwaambia wakairekebishe inamaana anakubali imekosewa..and what does the law say hati inapokosewa..na ombi la kina kibatala lilikuwa ni nini kuhusiana na hati??
 
Back
Top Bottom