Jaji Elinaza Luvanda ajiondoa kuendesha kesi ya Mbowe na wenzake baada ya washtakiwa kudai hawana imani naye

Jaji Elinaza Luvanda ajiondoa kuendesha kesi ya Mbowe na wenzake baada ya washtakiwa kudai hawana imani naye

Masikini Mbowe anafungwa hivi hivi kutokana na ujinga wa Watanzania kuwapigania watu wasiojielewa ni kazi sana.
Mbowe ni mjinga. Alifurahia kifo cha Dkt Magufuli. Na bado mpaka atubu. Alidhani kufa Dkt Magufuli ni kufa kwa serikali. Hili ni fundisho kwa wajinga kama yeye ili vizazi vijavyo viheshimu utu.
 
mkuu hii sio kesi ya wizi wa kuku.
hii ni kesi "sensitive" haiwezi kufutwa kienyeji.
nenda kasome vizuri sheria ya makosa ya Ugaidi.
Jaji yupo kwaajili ya kuhakikisha haki inatendeka pande zote, kwa jinsi alivyo ona kuna dosari kadhaa ktk hati ambazo kimsingi zinaweza kupelekea haki isitendeke hivyo kaelekeza marekebisho yafanyike.
Masilahi ya Jaji ni Haki itendeke sio vinginevyo.
 
Washenzi sana hawa, hawajui huyo Jaji ataepangiwa hiyo kesi hatokuwa na huruma yeyote, na kwa ushahidi uliopo Jaji akiamua kutenda haki Mbowe anaenda Jail, jinai sio ya kuchezea, kosa dogo tu umenitukana na niko na ushahidi bila huruma ya hakimu unaenda Jail na unalipa faini, wacha wajitekenye watacheka wenyewe baadae, bahati mbaya sana ndo anaichukuwa JK Feleshi mwenyewe asojua kupindisha sheria watafurahi.
Shule yako ni kiwango gani ndugu?
 
Ni kweli lakini mahakama imepata aibu kubwa sn
Hakuna aibu yoyote hata kwenye sheria na miongozo ya kimahakama inasema hivyo endapo patakuwepo malalamiko yenye uzito hakimu au jaji anawajibika kujitathimini na kuchukua uamuzi wa kujiondoa kutunza heshima yake na yataasisi ya kutafsiri sheria. Matokeo ya kesi hiyo ni yaleyale tu hata akija mtu mwingine kuiendeleza
 
Huenda Mbowe akawa kama HHlema rais wa Zambia......manake siku hizi maraisi huanzia kifungoni hata Raila Odinga alishafungwa miaka 10 kwa uhaini miaka ya 80s ndio maana 2022 huenda akawa raisi...
 
Washenzi sana hawa, hawajui huyo Jaji ataepangiwa hiyo kesi hatokuwa na huruma yeyote, na kwa ushahidi uliopo Jaji akiamua kutenda haki Mbowe anaenda Jail, jinai sio ya kuchezea, kosa dogo tu umenitukana na niko na ushahidi bila huruma ya hakimu unaenda Jail na unalipa faini, wacha wajitekenye watacheka wenyewe baadae, bahati mbaya sana ndo anaichukuwa JK Feleshi mwenyewe asojua kupindisha sheria watafurahi.
mambo sio mepesi hivi mkuu,
hali ni ngumu sana kwenye ilo swala,
ingekua rahisi, uyo kamanda angeshapigwa namba mda sana..
 
K
Masikini Mbowe anafungwa hivi hivi kutokana na ujinga wa Watanzania kuwapigania watu wasiojielewa ni kazi sana.
Kweli kabisa Mimi nilisema toka kipindi Cha uchaguzi mkuu,kuwa wapinzani wanatakiwa waachane na siasa watanye shughuli zao maana wananchi hatujitambui.
 
Jaji asikubali upuuuzi na ushenzi huu wa Mawakili wa Mbowe na Mbowe mwenyewe.

Huko ni kumtusi Jaji na Mahakama,

Mbowe na mawakili wake hawana sababu ya msingi zaidi ya kutaka kumyumbisha Jaji, tuhuma wanazo zitoa dhidi ya Jaji ni za kipuuuzi na hazina uthibitisho wowote zaidi ya kudhania na kuhisia tu, hakuna hoja hapo, kwa hiyo anamtaka Jaji ambaye ni RAFIKI YAKE ili asikilize kesi yake.

kwa hiyo imefikia sasa Mtuhumiwa kuchagua Jaji wa kusikiliza kesi yake aisee! hata marekani hakuna kitu kama hicho.

ninacho sema Jaji angeweza kujitoa kama tuhuma zinazo tolewa na Mbowe zina uthibitisho la sivyo Jaji aendelee tu kungurumisha kesi.......asikubali kubabaishwa na hoja za kipuuzi na za kuokoteza na zenye lengo la kuchelewesha haki kutendeka.
Huwa unapuyanga sana.... masuala ya kisheria waachie wanasheria, haya Jaji kajitoa unasemaje.
 
Tuhuma alizo zitoa Mbowe dhidi ya Jaji Luvanda sio tu zinamchafua yeye bali zinawachafua Majaji wote na Muhimili wa Mahakama.
Hivyo Mbowe na Mawikili wake walipaswa wathibitishe tuhuma hizo nzito.
kabla ya Jaji kujitoa.
vinginevyo Muhimili wa Mahakama utaendelea kuchezewa sana na Mawakili wa Mbowe.
Mbona unatumia nguvu kubwa kumtetea jaji wewe mbogamboga..
 
Mahakama imegeuzwa tawi la CCM
Ndiyo maana wajeda wa Guinea wameona isiwe tabu kama noma na iwe noma. Hata mbuyu ulianza kama mchicha
JamiiForums-2063954627.jpg
 
Kwa hiyo tuanze vikao vya kamati za maandalizi ya sherehe za kumpongeza makengeza ameshinda kesi?
 
Back
Top Bottom