Babe la mji
JF-Expert Member
- Dec 14, 2019
- 983
- 2,058
Kwa hiyo wewe unajua Sana sheria kuliko huyo Jaji alieamua kujitoa,usiwe mpimbavu kiasi hichoJaji amekosea sana kujitoa ktk kesi.
maana yake ni kwamba tuhuma alizo zitoa Mbowe dhidi ya Jaji ni za kweli.
kabla ya kujitoa hizo tuhuma lazima kwanza zithibitishwe maaana sio tu kwamba zina mchafua Jaji/Majaji bali zinauchafua Muhimili wa Mahakama.