Jaji Elinaza Luvanda ajiondoa kuendesha kesi ya Mbowe na wenzake baada ya washtakiwa kudai hawana imani naye

Jaji Elinaza Luvanda ajiondoa kuendesha kesi ya Mbowe na wenzake baada ya washtakiwa kudai hawana imani naye

Mbona unakuwa mkali bila sababu...?

Mbona unaamua kuwa mjinga bila sababu...?

Kama Jaji aliyesikiliza shauri hili amekiri kuwa HATI YA MASHTAKA imekosewa na haiko kwa mujibu wa sheria halafu Jaji anaamua kuamua shauri kinyume cha sheria, unataka uthibitisho gani kuwa huyu ana maslahi katika kesi hii...??

Ameshajitoa sasa. Wewe endelea kulia lia mpaka upasuke...
Nakubaliana na hoja zako ila hoja ilikuwa kwamba;
tuhuma alizo zitoa Mbowe na Mawakili wake dhidi ya Jaji Luvabda eti kuwa amepewa maelekezo kutoka juu kuwa amfunge Mbowe, tuhuma hizi zilipaswa zithibitishwe kwanza kabla ya Jaji kujitoa kusikiliza kesi hiyo.
nasema hivyo kwa sababu zifuatazo;

1. Tuhuma zilizo tolewa dhidi ya Jaji ni tuhuma nzito ambazo sio tu kwamba zinamchafua yeye Jaji Luvanda bali zinawachafua Majaji wote wa Tanzania bara na Muhimili wa Mahakama kwa ujumla wake kuwa hawatendi haki.
Tuhuma hizo zilipaswa zithibitishwe kwanza, huko ni kuichafua Mahakama, na wananchi wa kawaida watapoteza IMANI na MAHAKAMA.
Mahakama ndio Tegemeo la wananchi sasa kama tutaacha uchafuzi kama huu uendelee basi Mahakama inaenda kuangua na haito aminiwa na wananchi.
 
SWALI KUU KUHUSU MWENENDO WA KESI HII YA MBOWE NA WENZIE WATATU
Mheshimiwa Jaji Elinaza Benjamin Luvanda kuna swali zito sana toka kwa Askofu Bagonza anayejiuliza yafuatayo katika kuhakikisha haki inatendeka na kuonekana imetendeka:

1.Serikali / Jamhuri ndivyo ilivyoshtaki.
2.Jaji E. B Luvanda kakubali mashtaka ya serikali yana kasoro
3.Jaji E.B Luvanda anaelekeza namna nzuri ya serikali kumshtaki Mbowe
4.Kwa hiyo
a) Jaji alipaswa amwachie Mbowe.
b) Mbowe hashtakiwi na Jaji anashtakiwa na serikali kupitia ofisi za mwendesha mashtaka DPP na Mawakili wa serikali, vipi jaji na yeye kujiunga upande wa Jamhuri kuwaelekeza kazi ifanywe vipi kisha wamletee halafu hapo haki kweli itatendeka?

Anawaza kwa sauti Askofu Bagonza.
 
Nakubaliana na hoja zako ila hoja ilikuwa kwamba;
tuhuma alizo zitoa Mbowe na Mawakili wake dhidi ya Jaji Luvabda eti kuwa amepewa maelekezo kutoka juu kuwa amfunge Mbowe, tuhuma hizi zilipaswa zithibitishwe kwanza kabla ya Jaji kujitoa kusikiliza kesi hiyo.
nasema hivyo kwa sababu zifuatazo;

1. Tuhuma zilizo tolewa dhidi ya Jaji ni tuhuma nzito ambazo sio tu kwamba zinamchafua yeye Jaji Luvanda bali zinawachafua Majaji wote wa Tanzania bara na Muhimili wa Mahakama kwa ujumla wake kuwa hawatendi haki.
Tuhuma hizo zilipaswa zithibitishwe kwanza, huko ni kuichafua Mahakama, na wananchi wa kawaida watapoteza IMANI na MAHAKAMA.
Mahakama ndio Tegemeo la wananchi sasa kama tutaacha uchafuzi kama huu uendelee basi Mahakama inaenda kuangua na haito aminiwa na wananchi.
Bwashee mtoa haki ni Mungu pekee!
 
Huyu Mbowe si alisema yeye haogopi gereza? Mtu asiyeogopa gereza hawezi kuhangaika kama anavyohangaika Mwamba, kwanza hakutakiwa hata kuweka mawakili 300 kumtetea! Au kabadili gia angani akiwa huko gerezani! So sad, akitoka sasa asirudi tena TZ, atuachie amani yetu, mtu wao aliyekuwa anawatumia JK hana mamlaka tena kwa sasa.


Unamdhihaki au unamkejeli?

Mwenyezi Mungu wa haki na ajue cha kukulipa sawasawa na anavyoona kustahili.

Allah Wakil.
 
Mahakamani naenda kukujitetea ili nikwepe kosa na ninavyokwepa kosa Jaji anamshauri mgomvi wangu akatafute kosa lingine hili limekaaje kwa watalamu wa sheria?

Serikali walidai hati ya mashtaka haina makosa na iko sahihi haihitaji kubadilishwa, Jaji anasema INA mapungufu makubwa sana itabidi ibadilishwe...

Huyu Jaji kitaalam tumuiteje?
.... very funny indeed! Hati ya mashtaka (makosa unayoshitakwa nayo) imeonekana batili (yaani huna kosa) halafu jaji anaamuru hati ya mashtaka ikabadilishwe (yaani ukatafutiwe makosa mengine)! Daah! Hii n ajabu kweli kweli!
 
Mahakamani naenda kukujitetea ili nikwepe kosa na ninavyokwepa kosa Jaji anamshauri mgomvi wangu akatafute kosa lingine hili limekaaje kwa watalamu wa sheria?

Serikali walidai hati ya mashtaka haina makosa na iko sahihi haihitaji kubadilishwa, Jaji anasema INA mapungufu makubwa sana itabidi ibadilishwe...

Huyu Jaji kitaalam tumuiteje?
Hahahaaaa aisee majaji wa majalalani hawa.
 
Baada ya Jaji Luvanda kutupa mapingamizi yote yaliyotolewa na Mawakili wanaomtetea Mbowe na wenzake, Mbowe amesimama na kumtaka Jaji Luvanda ajiondoe kuendesha kesi hiyo kwani ameonyesha upendeleo na taarifa zinasema ana maelekezo ya kupindisha sheria ili amfunge Mbowe na wenzake.

Jaji Luvanda amesema hati ya mashtaka ni batili amewashauri Mawakili wa serikali wakaibadilishe, Mawakili upande wa utetezi wamegoma wamemwambia kama hati ya mashtaka ni batili basi futa kesi Jaji akakataa ila amekubali kujiondoa kuendesha kesi.


UPDATE: Jaji Luvanda akubali
Jaji Elinaza Luvanda aliyekuwa anaisikiliza kesi ya Uhujumu Uchumi nyenye mashtaka 6 yakiwemo ya ugaidi, amejitoa kusikiliza kesi hiyo, sababu ya kujitoa kwake, ni kutokana na mshtakiwa wa nne katika kesi hiyo, Mhe. Freeman Mbowe na wenzake kuwa hawana imani na Jaji huyo.

Pia soma >
Mahakama ya Uhujumu Uchumi: Mvutano mkali kesi ya Mbowe na wenzake. Hatma ya kesi kujulikana Septemba 6
. "Jaji Mwenzangu Luvanda" Machozi ya samaki majini hayatakufikia wewe na kizazi chako mpaka cha nne, tekeleza maagizo
. CHADEMA tusimpe vitisho Jaji Luvanda, mpaka sasa hajapendelea pande yoyote. Kibatala na jopo lake walichemka
Hii kesi ina makandokando mengi sana mpaka inatia mashaka, sijui ni lini mahakama zetu zitakua huru
 
Masikini Mbowe anafungwa hivi hivi kutokana na ujinga wa Watanzania kuwapigania watu wasiojielewa ni kazi sana.
Asiejielewa ni nani?
Kasome historia ya Mandela,na Raisi wa sasa hv wa Zambia,ndio utajua hakuna Cha upekee katika kesi ya Mbowe,Mbowe yupo ndani kutokana na utawala dhalimu wa ccm,hawataki aseme ukweli,ambao unaweza kuwatoa Madarakani.
Mandela aliitwa Gaidi miaka ya 60,70,90,sembuse Mbowe leo!!we vipi?
Hii kesi anashinda siku si nyingi,mandela alikaa miaka 27 jera!akatoka akawa Raisi,ungekuwepo wakati anafungwa lazima ungeamini Mandela ni gaidi?
 
Mahakamani naenda kukujitetea ili nikwepe kosa na ninavyokwepa kosa Jaji anamshauri mgomvi wangu akatafute kosa lingine hili limekaaje kwa watalamu wa sheria?

Serikali walidai hati ya mashtaka haina makosa na iko sahihi haihitaji kubadilishwa, Jaji anasema INA mapungufu makubwa sana itabidi ibadilishwe...

Huyu Jaji kitaalam tumuiteje?
Jaji huyu anaitwa "KIHIYO"
 
Jaji Luvanda uliwekwa kimkakati kumfunga Mbowe na wenzake kwa tuhuma zakubumba. Tuliokuwepo mahakamani tulipigwa na butwaa baada ya Jaji kukiri hati ya Mashitaka ya Jamhuri imekosewa. Kama imekosewa mahakama ilitakiwa kumfutia kesi Mbowe na wenzake.

Lengo la kuweka mapingamizi kwa upande wa utetezi ilikuwa haioni haja ya kesi kuendelea kwa kuwa makosa yaliyo kwenye hati ya mashtaka yanajirudia hivyo mahakama ifute hiyo kesi.

Badala ya kufuta kesi, mahakama kupitia jaji Luvanda anawapa tena muda Jamhuri kuirekebisha hati ya mashtaka badala ya kufuta kesi. Jaji hata hakufikiria kwanini au kulikuwa na haja gani upande wa utetezi kuweka mapingamizi hakujua, amekuja na maamuzi ya ajabu.

Ni dhahiri tosha kesi hii ni ya kumbambikizia Mbowe tu, kuonea watu tu, haiwezekani unamfungulia kesi mtu bila kujua ana kosa gani. Hapa Jamhuri inaonekana huwa inapika kesi. Mahakama nazo ni shida hazipo huru.
Wamuite IGP Siro akaandike hiyo kesi Mana alishawahi sema ana ushahidi wote
 
Baada ya Jaji Luvanda kutupa mapingamizi yote yaliyotolewa na Mawakili wanaomtetea Mbowe na wenzake, Mbowe amesimama na kumtaka Jaji Luvanda ajiondoe kuendesha kesi hiyo kwani ameonyesha upendeleo na taarifa zinasema ana maelekezo ya kupindisha sheria ili amfunge Mbowe na wenzake.

Jaji Luvanda amesema hati ya mashtaka ni batili amewashauri Mawakili wa serikali wakaibadilishe, Mawakili upande wa utetezi wamegoma wamemwambia kama hati ya mashtaka ni batili basi futa kesi Jaji akakataa ila amekubali kujiondoa kuendesha kesi.


UPDATE: Jaji Luvanda akubali
Jaji Elinaza Luvanda aliyekuwa anaisikiliza kesi ya Uhujumu Uchumi nyenye mashtaka 6 yakiwemo ya ugaidi, amejitoa kusikiliza kesi hiyo, sababu ya kujitoa kwake, ni kutokana na mshtakiwa wa nne katika kesi hiyo, Mhe. Freeman Mbowe na wenzake kuwa hawana imani na Jaji huyo.

Pia soma >
Mahakama ya Uhujumu Uchumi: Mvutano mkali kesi ya Mbowe na wenzake. Hatma ya kesi kujulikana Septemba 6
. "Jaji Mwenzangu Luvanda" Machozi ya samaki majini hayatakufikia wewe na kizazi chako mpaka cha nne, tekeleza maagizo
. CHADEMA tusimpe vitisho Jaji Luvanda, mpaka sasa hajapendelea pande yoyote. Kibatala na jopo lake walichemka
Aibu kwa jaji na mawakili wa serikali waliondaa kesi hapo ndo tunaamin mbowe anaonewa maana jaji kathibitisha Mashtaka ni batili ni suala la kufuta kesi
 
Back
Top Bottom