pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Huyu hata hili neno "Judge" hakutakiwa kulitumia kabisa!Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Jaji Francis Mutungi, amevitaka vyama vya siasa nchini kusimamisha makongamano na mikutano ya kisiasa kwa muda ili kupisha mazungumzo baina ya vyama vya Siasa, Polisi na Ofisi ya Msajili ili kutafuta suluhu ya mikutano na makongamano.
Na wala huwezi kuamini kuwa ni judge, labda ni jina lake kama yalivyo majina mengine!