Jaji kufanya uchambuzi wa kurasa 1,500 ukaweza kutoa hukumu kwa siku mbili ni jambo lisilowezekana

Jaji kufanya uchambuzi wa kurasa 1,500 ukaweza kutoa hukumu kwa siku mbili ni jambo lisilowezekana

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Mhe. Jaji amesema tarehe 18/02/2022 atatoa maamuzi kama watuhumiwa wana Kesi ya kujibu au la. Wakati huohuo ameeleza Kwamba karani wake ameshaandika page 1400+ na Kwamba anatakiwa kiutaratibu Jaji anapaswa kusoma nakutoa maamuzi ni facts zipi zinahitajika kuprove kama Kuna kesi ya kujibu au la.

Mashaka ninayopata ni muda wa siku mbili kwa Jaji na timu yake kusoma na kutoa maamuzi ya haki. Kama uamuzi mdogo wa kesi ndani ya kesi ilichukua weeks kutolea maamuzi inakuwaje kesi kubwa itolewe maamuzi ndani ya two days?

Endapo maamuzi yatatoka tarehe 18/02/2022 naaamini yataingia Kwenye records za Dunia Kwa kesi yenye facts in bulk of pages kuamuliwa ndani 72 hours.

Napata pia wasiwasi pale ninapohusianisha kesi na maamuzi ya Mahakama huko Mbeya ya kumfunga kijana mdogo kifungo Cha maisha Kwa tuhuma za kuchoma nyumba ya Kiongozi wa CCM moto. Hakimu aliyetoa hukumu Ile ni reflection ya aina w watendaji wa Mahakama tulionao. Promise to promotion
 
Ni muda muafaka kwa Rais @SuluhuSamia kuliomba radhi Taifa na Dunia kwa kudanganya kupitia vyombo vya Habari vya Kimataifa juu ya Tuhuma mlizombambikia @freemanmbowetz, ili kulinda hadhi ya cheo hicho na Heshima ya Taifa letu pendwa. Kiukweli, Mama umetukosea Sana. Wako wapi waliofungwa kwenye kesi hii kama ilivyoripotiwa wakati rais akihojiwa na BBC?

Je ni kweli kuwa Mbowe alikuwa ametoroka nchi? Mwendesha mashtaka kaiambia mahakama kuu kuwa hakuna mtuhumiwa aliwahi kufungwa kwenye kesi hii....kama mheshimiwa rais alikuwa sahihi nashauri mwendesha mashtaka Inspector Swila afukuzwe kazi na kufunguliwa mashtaka ya kumdhalilisha rais wetu mpendwa SSH

Huyu jaji sijui itakuaje maana kwenye kesi ndogo huyu jaji alikuwa anaomba muda wa wiki mbili au 3 kujibu mapingamizi na kutoa hukumu (rulling) Sasa hii kesi Ina kurasa 1500 amesema ijumaa atatoa rulling au hukumu ya ana kesi ya kujibu au Hana arejee mtaani,siku mbili zitamtosha kusoma hukumu ndefu Kama hii,au ana maamuzi tayari alishayaandika ???.
 
Ni hatua inayofuata...endapo watuhumiwa watakuwa na kesi ya kujibu ndipo wataanza kujitetea
Hapana, ni submission kwa ajili ya ruling hiyo iliyopangwa kutolewa ijumaa. Kama angekubali iwe oral ama written, wangepewa muda kwa ajili ya kuandaa na ingepangwa tarehe ya kusikiliza ama kuzi file halafu ndio wangepewa tarehe ya maamuzi.
 
Ni hatua inayofuata...endapo watuhumiwa watakuwa na kesi ya kujibu ndipo wataanza kujitetea

..Jaji alitakiwa asikilize hoja za utetezi kabla ya kuamua kama watuhumiwa wanayo kesi ya kujibu au la.

..Huyu Jaji kila anapotaka kufanya jambo baya anakimbilia kujadiliana na mawakili OFISINI / FARAGHA.
 
Mhe. Jaji amesema tarehe 18/02/2022 atatoa maamuzi kama watuhumiwa wana Kesi ya kujibu au la. Wakati huohuo ameeleza Kwamba karani wake ameshaandika page 1400+ na Kwamba anatakiwa kiutaratibu Jaji anapaswa kusoma nakutoa maamuzi ni facts zipi zinahitajika kuprove kama Kuna kesi ya kujibu au la...

Mkuu, hizo 15,000 pages unazozitaja kwenye heading yako umezipata wapi?

Huhitaji kuwa na shaka juu ya hili. Judge ni mtu aliyepata training na experience ya kutosha kuchakata legal facts. Remember, he isn’t handing down a final verdict. Kwahiyo, hakuna sababu ya yeye kushindwa kufikia uamuzi (ndani ya siku mbili) wa ama watuhumiwa wana kesi ya kujibu au la.

Kwenye nchi za Wazungu hili zoezi hufanywa mapema kabisa na grand juries, ambazo members wake ni raia wa kawaida tu (kama mimi na wewe) na hazitumii information of this magnitude to hand down an indictment against a defendant.

Defendant akishakuwa indicted na grand jury, kinachofuata ni trial phase (ambapo prosecution na defense wanawasilisha cases zao) unless (prosecution na defendant) wameamua kufanya mapatano ya plea (plea bargaining). Kwa mtazamo wako, nadhani wewe kila siku ungezituhumu hizo grand juries kwamba hazitendi haki.
 
Mhe. Jaji amesema tarehe 18/02/2022 atatoa maamuzi kama watuhumiwa wana Kesi ya kujibu au la. Wakati huohuo ameeleza Kwamba karani wake ameshaandika page 1400+ na Kwamba anatakiwa kiutaratibu Jaji anapaswa kusoma nakutoa maamuzi ni facts zipi zinahitajika kuprove kama Kuna kesi ya kujibu au la.

Mashaka ninayopata ni muda wa siku mbili kwa Jaji na timu yake kusoma na kutoa maamuzi ya haki. Kama uamuzi mdogo wa kesi ndani ya kesi ilichukua weeks kutolea maamuzi inakuwaje kesi kubwa itolewe maamuzi ndani ya two days? Endapo maamuzi yatatoka tarehe 18/02/2022 naaamini yataingia Kwenye records za Dunia Kwa kesi yenye facts in bulk of pages kuamuliwa ndani 72 hours.

Napata pia wasiwasi pale ninapohusianisha kesi na maamuzi ya Mahakama huko Mbeya ya kumfunga kijana mdogo kifungo Cha maisha Kwa tuhuma za kuchoma nyumba ya Kiongozi wa CCM moto. Hakimu aliyetoa hukumu Ile ni reflection ya aina w watendaji wa Mahakama tulionao. Promise to promotion
Hiv MahKama ikasema ana kësi ya kujibu, DPP anaweza tena kuleta mashahidi wengine.. au wa utetez tu ndo wanaingia awamu ya pil
 
Hiyo ni dhahiri Jaji amepewa maagizo hiyo kesi aifute!!!
Namimi nimepata wazo kama lako. Inawezakana pia hata Mbowe na Mawakili wake wanajua hilo. Ndio maana hawakupinga tarehe hiyo

Kitendo cha Mbowe kuitwa peke yake na kukakaa kikao yeye, Jaji na Mawakili wa pande zote mbili eti kujadili "chakula" kilileta matumaini kwamba kuna jambo kubwa linaweza kutokea

Lakini kitendo kilichothibitisha ni kile kikao cha pande zote mbili yaani Mashtaka na Utetezi kukutana na Jaji baada ya upande wa Mashtaka kufunga ushahidi wao na kisha wakakubaliana waliyokubaliana na Jaji akatamka atatoa Ruling katika siku tatu zijazo!

Yote kwa yote tunatamani hii kesi ifutwe. Iwe kwa Nolle, kwa hukumu au hapohapo kwenye Ruling Washtakiwa wasiwe na kesi ya kujibu

Mungu Awaongoze wote waliopewa Mamlaka ya kusimamia haki katika Taifa hili
 
Mhe. Jaji amesema tarehe 18/02/2022 atatoa maamuzi kama watuhumiwa wana Kesi ya kujibu au la. Wakati huohuo ameeleza Kwamba karani wake ameshaandika page 1400+ na Kwamba anatakiwa kiutaratibu Jaji anapaswa kusoma nakutoa maamuzi ni facts zipi zinahitajika kuprove kama Kuna kesi ya kujibu au la...
I believe, kwa mtu yoyote anayeifanya kazi aliyoizowea, hadi hapo atakuwa alikuwa amechukua notes ya hizo 'facts' muhimu anazozihitaji kufikia uamuzi wake.

Msomi kwa kawaida hasomi kila kilichoandikwa kwenye andiko, mfano ktk kitabu kama unasoma hadi maandishi yanayosema "imechapishwa na Vuga Press, Lushoto." basi unahitaji maombi tu.
 
Mhe. Jaji amesema tarehe 18/02/2022 atatoa maamuzi kama watuhumiwa wana Kesi ya kujibu au la. Wakati huohuo ameeleza Kwamba karani wake ameshaandika page 1400+ na Kwamba anatakiwa kiutaratibu Jaji anapaswa kusoma nakutoa maamuzi ni facts zipi zinahitajika kuprove kama Kuna kesi ya kujibu au la.

Mashaka ninayopata ni muda wa siku mbili kwa Jaji na timu yake kusoma na kutoa maamuzi ya haki. Kama uamuzi mdogo wa kesi ndani ya kesi ilichukua weeks kutolea maamuzi inakuwaje kesi kubwa itolewe maamuzi ndani ya two days? Endapo maamuzi yatatoka tarehe 18/02/2022 naaamini yataingia Kwenye records za Dunia Kwa kesi yenye facts in bulk of pages kuamuliwa ndani 72 hours.

Napata pia wasiwasi pale ninapohusianisha kesi na maamuzi ya Mahakama huko Mbeya ya kumfunga kijana mdogo kifungo Cha maisha Kwa tuhuma za kuchoma nyumba ya Kiongozi wa CCM moto. Hakimu aliyetoa hukumu Ile ni reflection ya aina w watendaji wa Mahakama tulionao. Promise to promotion
Wasiwasi wako tu. Labda angesema Kilatini "prima facie" ungeelewa zaidi. Hii ni kesi ya ugaidi si ya uzururaji au kuiba kuku wa Mpare.
 
Back
Top Bottom