Utajua Kama hujui tarehe 18 pale jaji atakapotangaza kuwa Mbowe et Al hawana kesi ya kujibu! Mark my words na tunza huu ujumbe!Hayo mambo ya space mnavyojidanganya hata wakati wa trial within trial baada ya hao watuhumiwa ku retract na ku repudiate confession zao, si huyo jamaa yenu aliluwa anauliza hayo matango pori yake muda mreefu ,mkawa mnashangilia kwenye space kuwa hayatapokelewa kama exhibit, do you remember what happened? Tell your friends to prepare for deffence the prima facie case will be successful made, tell them also to prepare for mitigation