Utajua Kama hujui tarehe 18 pale jaji atakapotangaza kuwa Mbowe et Al hawana kesi ya kujibu! Mark my words na tunza huu ujumbe!Hayo mambo ya space mnavyojidanganya hata wakati wa trial within trial baada ya hao watuhumiwa ku retract na ku repudiate confession zao, si huyo jamaa yenu aliluwa anauliza hayo matango pori yake muda mreefu ,mkawa mnashangilia kwenye space kuwa hayatapokelewa kama exhibit, do you remember what happened? Tell your friends to prepare for deffence the prima facie case will be successful made, tell them also to prepare for mitigation
Utajua Kama hujui tarehe 18 pale jaji atakapotangaza kuwa Mbowe et Al hawana kesi ya kujibu! Mark my words na tunza huu ujumbe!
Mengi kuko ndani ni kibatala kajaza ma irrelevant questions ambayo kimsingi ni matango pori
Naweza kusoma nia ya judge kuruhusu maswali hayo chechefu yasiyokuwa na msingi wowote kisheria , ni kuwaacha wateme nyongo zao maana hawachelewi kuandamana, na baadaye atachuja yenye substance ambayo kimsingi ni machache kwenye rulling yake ya prima facie
Katika hali ya kawaida hakuna maswali ya msingi ya kumuulista shahidi siku 3 mfululizo
Vuga press siyo author mkuu.Kinyume chake ndio sahihi. Msomaji mzuri ni yule anajielimisha mpaka kuhusu author!
Substantial material kwenye hizo 1500 hazifiki 50. Mengine ni pumba zisizofaa hata kuangaliwa.Ni page 1,500 sio page 15,000 mkuu...
Ina maana Uhuru wa mahakama unaohubiriwa ni bandia ?
Hukuelewa, niliposema msomaji mzuri ni yule anatafuta kufahamu mpaka author wa kitabu, sikumaanisha kuwa author ni mchapaji, nilikuwa napanua tu hoja yangu!Vuga press siyo author mkuu.
Author ni mwandishi wa hilo andiko
Publisher ni mchapaji sawa na printer tofauti yeye anajiongeza kuweka ganda la nje na kugandisha zile karatasi pamoja ili mwishoni tupate kitabu.
halafu mbona mbowe sijaona akijitetea kama wale watuhumiwa wengine,niliona akina adamoo,likwenya wakijitetea ila mbowe sijaona nae akiulizwa na kujitetea..Jaji alitakiwa asikilize hoja za utetezi kabla ya kuamua kama watuhumiwa wanayo kesi ya kujibu au la.
..Huyu Jaji kila anapotaka kufanya jambo baya anakimbilia kujadiliana na mawakili OFISINI / FARAGHA.
halafu mbona mbowe sijaona akijitetea kama wale watuhumiwa wengine,niliona akina adamoo,likwenya wakijitetea ila mbowe sijaona nae akiulizwa na kujitetea
Mkuu wewe ni jaji?Unafikiri anahitaji miaka mingapi?Unajua judgement zinafikiwaje?Kwa kufunga na kuomba?Fahamu kwamba Judge hatoi hukumu kwa kutumia utashi wake bali kwa kutumia utashi wa sheria na utashi wa mahakama.Kila fact itapimwa kwa kutumia vigezo vya utashi wa kisheria kwanza na kisha utashi wa kimahakama na mwisho utashi wa jaji.Mhe. Jaji amesema tarehe 18/02/2022 atatoa maamuzi kama watuhumiwa wana Kesi ya kujibu au la. Wakati huohuo ameeleza Kwamba karani wake ameshaandika page 1400+ na Kwamba anatakiwa kiutaratibu Jaji anapaswa kusoma nakutoa maamuzi ni facts zipi zinahitajika kuprove kama Kuna kesi ya kujibu au la.
Mashaka ninayopata ni muda wa siku mbili kwa Jaji na timu yake kusoma na kutoa maamuzi ya haki. Kama uamuzi mdogo wa kesi ndani ya kesi ilichukua weeks kutolea maamuzi inakuwaje kesi kubwa itolewe maamuzi ndani ya two days?
Endapo maamuzi yatatoka tarehe 18/02/2022 naaamini yataingia Kwenye records za Dunia Kwa kesi yenye facts in bulk of pages kuamuliwa ndani 72 hours.
Napata pia wasiwasi pale ninapohusianisha kesi na maamuzi ya Mahakama huko Mbeya ya kumfunga kijana mdogo kifungo Cha maisha Kwa tuhuma za kuchoma nyumba ya Kiongozi wa CCM moto. Hakimu aliyetoa hukumu Ile ni reflection ya aina w watendaji wa Mahakama tulionao. Promise to promotion
Sawa.Hukuelewa, niliposema msomaji mzuri ni yule anatafuta kufahamu mpaka author wa kitabu, sikumaanisha kuwa author ni mchapaji, nilikuwa napanua tu hoja yangu!