Jaji Maraga adaiwa kukataa Kshs. 500mil iliyowekwa kwenye akaunti yake siku ya Alhamisi

Jaji Maraga adaiwa kukataa Kshs. 500mil iliyowekwa kwenye akaunti yake siku ya Alhamisi

Huyo ni mzalendo wa kweli (Patriotism is greater than 500000000 K money) Tungekua na Watanzania kama yeye nchi yetu ingepaa kiuchumi

Sent using Jamii Forums mobile app
na ndio maana wanatupita kwa kila kitu,wana uzalendo wa kweli sio bongo huku

*Akifa shekhe kazi ya Mungu*
*Akifa mlevi sababu ya Pombe*
 
hivi si nilisikia pia kutoka kwa katibu muenezi kuwa raisi alitaka kuhongwa sijui shilingi ngapi zile kutoka kwa nani yule

nduki[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]

*Akifa shekhe kazi ya Mungu*
*Akifa mlevi sababu ya Pombe*
 
Hawa jamaa rushwa nje nje pia mtindi hata mida ya kazi ,kweli nchi ya kitu kidogo
 
Rais wa Mahakama Kuu ya Kenya(Supreme Court), Jaji David Maraga anasemekana kukataa kiasi cha Kshs. 500,000,000 zilizowekwa kwenye akaunti yake ya benki ya KCB Alhamisi mchana.

Kwa mujibu wa Makao makuu ya KCB yaliyopo KENCOM house Nairobi, akaunti ya Dr. Maraga ilipokea pesa hizo saa tisa mchana kutoka kwa mtu asiyejulikana ambaye kwa mujibu wa Jaji huyo ana lengo la kumchafua yeye na mahakama.

Meneja wa tawi wa KCB, Bw. Kamau Ndung'u amesema Bwana Maraga ametaka pesa hizo zirudishwe zilipotoka kwani hakutegemea pesa kutoka kokote na wao kama benki watafanya hivyo mara moja na pia watajitahidi kumpata mtu aliyeweka pesa hizo ili kuweka mambo sawa na wazi.

=======

The President of Supreme court in Kenya, Justice David Maraga is said to have rejected Kshs.500,000,000 deposited in his Kenya Commercial Bank account on Thursday afternoon.

According to KCB headquarters at KENCOM house, Nairobi. DR.Maraga’s account received Kshs.500m at 3:14pm from unknown depositor who according to CJ wanted to taint his image and that of the court.

In a statement delivered by KCB Executive branch manager Mr.Kamau Ndung’u, Maraga refused the money and ordered the bank to reverse the transaction claiming that he did not expect any money from any quarters.

“We have reached our client Dr.Maraga and its clear he did not expect any money from anywhere. He has requested the bank to do a reverse and we are not going to take time.” said Mr.Kamau

“Our client is bitter with it and the bank is going to produce the depositor in due course for purpose of clarity.” Added Mr.Kamau who spoke to our reporters hours after the news hit on social media.
1+1+2! The killing of the IT official was a determinant and turning point. When NASA came up with the petition,the only option at their door step was bribery! Poor power mongers,f******k them
 
Sasa magufuli anisaidie.alienda kumpongeza Uhuru,na m mbea mmoja wa uvccm,akajinasibu kuwa magufuli kavuruga
mchoro wa Lowasa kwa kwenda kumpongeza Uhuru ! Je mtakatifu sana magufuli,Odinga akishinda nae utaenda kumpongeza ? Kwa hiyo umeunga mkono mtu aliyeshinda kwa hila,kwakumkomoa Lowasa ili uvuruge mchoro wa Lowasa ? Utakubali kuonekana hunamsimamo au hujui ufanyalo ? Ni hayo tu mtukufu kabisa.nimeuliza kwa nia njema kabisa nijue tu msimamo wako,naomba usinitumie bashite aniteke,wala msinitose ruvu /baharini,msining'oe kucha,macho wala kinibwenga kichwani.sina nia ovu kabisa katika kuuliza haya.wala msinipime mkojo au kunipeleka kisutu kwa uchokozi maana huu sio uchochezi ni maswali tu !sasa mnaweza kuyageuza mkadai ni uchokozi.siwezi kukuchokoza mtukufu wa nchi,unayeamini katika wananchi wako kuishi kama mashetani nakuogopa ! Na hata mkojo wenyewe utakauka kwa woga,mtanisumbua bure tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom