MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 28,064
- 31,401
Chura hucheza na chura mwenzieInajulikana huyu Uhuru ni mtu wa pesa nje nje. Ndo maana mwenye chama chetu alikwenda kuunga mkono fasta baada ya kuona wanaendana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chura hucheza na chura mwenzieInajulikana huyu Uhuru ni mtu wa pesa nje nje. Ndo maana mwenye chama chetu alikwenda kuunga mkono fasta baada ya kuona wanaendana.
ha ha ha ha....mr february mzee wa IT system, mzee wa mipango madhubuti ha ha ha [HASHTAG]#Ilovethisgame[/HASHTAG] ha ha haaaaa
Mara 20 mkuuDuuuuh,kibongobongo zidisha huo mzigo mara kama 15 hv ndio upate pesa madafuuu,inahitaji moyo wa kibandidu sana kuzikataa hizo pesa,watumaji walitaka kumuhonga ili atoe favor kwenye kesi ya uchaguzi kwa upande wao watoaji
Habari yote hii ni hadithi za mitandaoni.Sehemu nyingine wanasema ilikuwa bilion sasa sijui nani anasema ukweli hapa au ndiyo siasa za kutafuta Kura upya??
Hakuna dini inayoruhusu mtu kula rushwa kama ipo nitajie...kua msabato mlutheri mroma au wale wasio wakristo mf waislamu ni wapi umeona mtu anakula rushwa sababu ni wa dini flani?Au unatakwimu Za wala rushwa wengi ni watu wa imani flaninakumbuka mwaka flani tupo na gari ya tumebeba kuni mitaa KISARAWE kumbe wale madereva huwa wanaeka mpingo chini kufika hiyo check point tukakamatwa na alikuwa TRAFIK mmoja tu pekee tulianzia dau elf 50 mpk laki 5 mana wenye gari waliogopa kunyang'wanya leseni ya kubeba kuni basi alikataa mpk mwisho akatuambia "mnajisumbua mm msabato sili RUSHWA" aisee wasabato noma sana we unadhani kina trafiki bongo atajataa HONGO ya laki tano tena yuko peke yake ukizingatia huyo mpingo wenyewe ulifichwa sana sema jamaa alihisi DEREVA akajaa hata kuuona alikuwa bado hajauona bado ila mchecheto wa deteva tu
Uhuru Kenyatta ni kioo cha UKAWADuuuuh,kibongobongo zidisha huo mzigo mara kama 15 hv ndio upate pesa madafuuu,inahitaji moyo wa kibandidu sana kuzikataa hizo pesa,watumaji walitaka kumuhonga ili atoe favor kwenye kesi ya uchaguzi kwa upande wao watoaji
Unamaanisha Steven masato wasira halagi rushwa maana naye ni msabato mzuri tu