RWANDES
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,788
- 4,401
watu wanaodhulumiwa haki zao kwa sasa ni enzi za magufuli na zenyewe magufuli alikyachia laana kubwa sanaNi enzi za Magufuli nini, manake hizi zilikuwa enzi za wendawazimu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
watu wanaodhulumiwa haki zao kwa sasa ni enzi za magufuli na zenyewe magufuli alikyachia laana kubwa sanaNi enzi za Magufuli nini, manake hizi zilikuwa enzi za wendawazimu.
Kuchanwa makaratasi tu ambayo nakala zake bado zipo analialia.Je,waliochanwachanwa hadi nafsi na utu wao wafanyaje?Aache zake hizo.Au amezeeka hadi anadai vitu vya kitoto?Hahaaa kuna watu wanakula hepi hii nchi aisee mpaka kuchana hukumu mbele jaji aisee.
Huyu atakuwa Edward Ngoyai LowassaJaji aliyemaliza muda wake wa kuitumikia Mahakama, Jaji John Mgeta amesema katika kazi yake ya utumishi kama Jaji hatasahau namna ambavyo kigogo wa Serikali alichana hukumu mbele yake.
Jaji Mgeta ameyasema hayo leo Mei 4, 2023 muda mfupi baada ya hafla ya kuagwa yeye na majaji wengine wawili iliyofanyika Mahakama Kuu Kanda Masjala ya Dar es Salaam.
Jaji Mgeta amelitaja tukio hilo kama moja ya changamoto kubwa aliyowahi kukutana nayo katika utendaji wake.
“Miongoni mwa changamoto nilizokutana nazo ni kusimamia kesi ya aliyekuwa kigogo wa Serikali na kushindwa kesi kwa kigogo huyo. Katika shauri hilo kigogo wa serikali alishindwa kesi lakini nilipopeleka maamuzi ya mahakama aliyadharau na kuamua kuchana karatasi ya hukumu, kitendo hiki kiliniumiza sana na nilikosa furaha, lakini nashukuru baadae serikali ilisimama na kutekeleza kile kilichoagizwa na mahakama,”amesema Jaji Mgeta.
Awali, akizungumza katika hafla ya kuwaaga majaji hao, Jaji Kiongozi Mustapha Siyani amesema wananchi hawapaswi kuwa na wasiwasi na mahakama kwani ni huru na inatoa haki.
Jaji Siyani amewataja majaji hao waliomaliza muda wao wa utumishi kuwa ni Jaji Sekela Moshi, Jaji Beatrice Mtungi na Jaji John Mgeta ambapo amesema kuwa kipindi chote cha kazi kwa majaji hao walikuwa wanafanya kazi kwa weledi.
Amesema mbali na kuchapa kazi pia waliomaliza muda wao na wenye utii kwa kila mtu na kwamba kuondoka kwao ni pengo.
“Wananchi wakikosa imani na mahakama kila mtu atachukua sheria mkononi, na nchi yoyote duniani lazima iwe na mahakama, hivyo tuna mahakama nchi nzima zipo kwa ajili ya kuwasikiliza wananchi,” amesema Jaji Siyani.
Amesema kitendo cha kumaliza muda wao wa kazi kisheria ni alama tosha ya kuweza kuigwa kwa watumishi ili kuleta ufanisi katika kazi yao.
“Tunawakumbuka kwa bidii yenu ya kazi lakini na namna bora ya uongozi kwa kutatua kesi mbalimbali bila kujali ukubwa wake,” ameongeza Jaji Siyani.
Aidha, amesoma wasifu wa viongozi hao ambapo amesema wote walikuwa wamejaaliwa ujuzi katika kuandika hukumu pamoja hekima wanapokuwa na watu.
Chanzo: Mtanzania
contempt of court ni chochote unachofanya kuashiria dharau kwa Mahakama na Mamlaka yake…hata kucheka kwa ishara ya dharau au kuongea na simu wakati mashauri ya kimahakama yanaendelea yanaweza kukupelekea hukoHapana mkuu. Kuchana nakala ya hukumu sio kosa, maana haibatilishi hukumu. Nakala ya hukumu ni haki ya kila upande kwenye kesi, ukishapewa unaweza kuifanya chochote utakacho , hata kufungia maandazi au kuitumia chooni. Haitabadilisha chochote kilichoamuliwa na wala haitatengeneza kosa la jinai.
Yaani ndivyo tulivyo ?! 😅yaani munavyojifanya wajuaji mpaka munachosha.
Hivi nyinyi huwa hamufanyi analysis ya nchi za kiafrika zinavyotawala hata mukatoa comments hizo?
Hapo sasa !!contempt of court ni chochote unachofanya kuashiria dharau kwa Mahakama na Mamlaka yake…hata kucheka kwa ishara ya dharau au kuongea na simu wakati mashauri ya kimahakama yanaendelea yanaweza kukupelekea huko
Mti wa Matunda !!Yaani wanafikiri kila kitu kibaya ni Mzalendo Magufuli tu alifanya!!
Sema Tanzania na siyo Afrika.Hivi vitu vinatokea Africa tu. Nchi zilizoendelea hata Rais au Waziri Mkuu akifanya hivyo atawajibishwa.
Nadhani kizazi cha 1990 kinaamini miaka 50 ni mingi sana ! 😅.Hivi wewe una umri gani maana unaongea kama umepata ganzi ya ubongo hivi, aliyekuambia familia inataka ikae na Baba ama Mama masaa 24 bila ya kufanya kazi ni nani?
Wastaafu wengi wanapokuwa nje ya utumishi hujihisi upweke na wengine wasio na shughuli za kufanya hufariki kabisa.
Bado tupo mbali sana !! America wamemburuza Trump !!Huyu atakuwa Edward Ngoyai Lowassa
Hakuna kazi wanayo weza kufanya maana miaka 65 ni Babu kwa hiyo ataenda kulala tu, ndio maana nimesema Majaji wanatakiwa kustaafu wakiwa ni umri wa miaka 50 ili wapate muda wa kufanya shughuli zao binafsi.
Nimejiuliza sana hili swala la kuchanwa kwa hukumu kama lilivyoongelewa na Jaji Mgeta mpaka nikapata hisia kwamba kuna kitu hakipo sawa upande wake.Mahakamani watu huwa wana nafasi mbili, kuwa mdai au kuwa mdaiwa. Nafasi hizo hazihusishi chochote kwenye kazi zao au vyeo vyao kisiasa serikalini. Hata Jaji mkuu anaweza kuwa mdaiwa na akatakiwa kufika mahakamani kutoa ushahidi.
Upokeaji wa hukumu kwa wanaoshindwa kesi hutofautiana kwa kila mtu. Wengine hulia, wengine hukaa kimya bila kuongea chochote, wengine huondoka bila hata kumaliza mwisho wa hukumu nk Kuchana nakala ya hukumu ni aina mojawapo ya mapokeo ya hukumu, kila binadamu ana aina yake ya mapokeo. Mfano, huyo aliyeshindwa kesi mapokeo yake ni kuchana nakala ya hukumu, Na kuchanwa kwa nakala ya hukumu, mapokeo ya jaji ni kuona amedharauliwa.
Hata hivyo Jaji husoma hukumu na sio mtoa nakala za hukumu. Nakala za hukumu hutolewa masjala na makarani wa mahakama kwa kuwa huwa kuna rejista mdai/mdaiwa anapotakiwa kusaini kuonesha amechukua hukumu. Sijui Jaji aliona wapi hilo tukio la nakala kuchanwa.
Hata hivyo nakala inayozingatiwa ni ile halisi iliyopo kwenye faili la mahakama au tovuti. Kilichochanwa ni nakala ya hukumu, sio hukumu.
Si angemoiga tu contempt of court, siku 7 ndani zingetosha ukichukulia haina right to be heard wala rufaa.Jaji aliyemaliza muda wake wa kuitumikia Mahakama, Jaji John Mgeta amesema katika kazi yake ya utumishi kama Jaji hatasahau namna ambavyo kigogo wa Serikali alichana hukumu mbele yake.
Jaji Mgeta ameyasema hayo leo Mei 4, 2023 muda mfupi baada ya hafla ya kuagwa yeye na majaji wengine wawili iliyofanyika Mahakama Kuu Kanda Masjala ya Dar es Salaam.
Jaji Mgeta amelitaja tukio hilo kama moja ya changamoto kubwa aliyowahi kukutana nayo katika utendaji wake.
“Miongoni mwa changamoto nilizokutana nazo ni kusimamia kesi ya aliyekuwa kigogo wa Serikali na kushindwa kesi kwa kigogo huyo. Katika shauri hilo kigogo wa serikali alishindwa kesi lakini nilipopeleka maamuzi ya mahakama aliyadharau na kuamua kuchana karatasi ya hukumu, kitendo hiki kiliniumiza sana na nilikosa furaha, lakini nashukuru baadae serikali ilisimama na kutekeleza kile kilichoagizwa na mahakama,”amesema Jaji Mgeta.
Awali, akizungumza katika hafla ya kuwaaga majaji hao, Jaji Kiongozi Mustapha Siyani amesema wananchi hawapaswi kuwa na wasiwasi na mahakama kwani ni huru na inatoa haki.
Jaji Siyani amewataja majaji hao waliomaliza muda wao wa utumishi kuwa ni Jaji Sekela Moshi, Jaji Beatrice Mtungi na Jaji John Mgeta ambapo amesema kuwa kipindi chote cha kazi kwa majaji hao walikuwa wanafanya kazi kwa weledi.
Amesema mbali na kuchapa kazi pia waliomaliza muda wao na wenye utii kwa kila mtu na kwamba kuondoka kwao ni pengo.
“Wananchi wakikosa imani na mahakama kila mtu atachukua sheria mkononi, na nchi yoyote duniani lazima iwe na mahakama, hivyo tuna mahakama nchi nzima zipo kwa ajili ya kuwasikiliza wananchi,” amesema Jaji Siyani.
Amesema kitendo cha kumaliza muda wao wa kazi kisheria ni alama tosha ya kuweza kuigwa kwa watumishi ili kuleta ufanisi katika kazi yao.
“Tunawakumbuka kwa bidii yenu ya kazi lakini na namna bora ya uongozi kwa kutatua kesi mbalimbali bila kujali ukubwa wake,” ameongeza Jaji Siyani.
Aidha, amesoma wasifu wa viongozi hao ambapo amesema wote walikuwa wamejaaliwa ujuzi katika kuandika hukumu pamoja hekima wanapokuwa na watu.
Chanzo: Mtanzania
Majaji wengi nyoko sana, labda hujakutana nao in vis-a-vis meeting, wanajiona Miungu watu yaani, wanakera mno, pumbaf sana [emoji35]
Tena hiyo umempendelea huyo atakuwa wa 2000s hiviNadhani kizazi cha 1990 kinaamini miaka 50 ni mingi sana ! [emoji28].
Mkuu, naungana nawe. Jaji aliyetoa taarifa inawezekana mlengo wake ulikuwa ni kuonesha muingiliano wa mihimili au kutoheshimiwa kwa muhimili wa mahakama dhidi ya mihimili mingine. Ila alichokizungumza kimeshindwa kuonesha hicho alichokuwa amekitarajia kukionesha.Nimejiuliza sana hili swala la kuchanwa kwa hukumu kama lilivyoongelewa na Jaji Mgeta mpaka nikapata hisia kwamba kuna kitu hakipo sawa upande wake.
Nilikua nafuatilia michango ya watu ni9ne kama kuna alifanya observation katika maelezo ya huyo Jaji lakini sikuona hadi nilipokutana na comment hii yaki.
Kuchanwa kwa huku na mtu ambaye tena hakuwepo ofisini bali mapumzikoni lina tija gani ikiwa hatua nyingine zote za utekelezwaji wa huku ile zilifanyika?
Kuchanwa kwa ile hukumu kuliathiri vipi hukumu yenyewe au hadhi ya Mahakama?
Katika hili huyu Jaji ameleta cheap talk bila kupima athari zinazoweza kuletwa na hoja zake nyepesi kwa mtu wa nafasi yake.
Aina hii ya Majaji ni wale wenye mafungamano na wanasiasa wakitarajia kuoshi kwa huruma na favours za wanasiasa. Hawa ndiyo wanaoudhoofisha Mhimili wa Mahakama na kuufanya utukanike na uonekane usio huru.
Angeisema kwa namna ulivyoipendekeza hakika angeijengea Mahakama confidence kubwa sana ma wananchi wangeona namna Mahakama ilivyo huru na imara. Lakini yeye ameidunisha mbele ya wananchi halafu watu wanasifia tu.Mkuu, naungana nawe. Jaji aliyetoa taarifa inawezekana mlengo wake ulikuwa ni kuonesha muingiliano wa mihimili au kutoheshimiwa kwa muhimili wa mahakama dhidi ya mihimili mingine. Ila alichokizungumza kimeshindwa kuonesha hicho alichokuwa amekitarajia kukionesha.
Mikanganyiko kama hii haileti tija kwa jamii zaidi ya kupotosha. Mfano hapo, kwa alichokizungumza, ameua mara 100 imani ya wananchi kwa Mahakama kuliko angeisema habari hiyo kwa kuibeba mahakama, mfano angesema, "Nilichekeshwa na kitendo cha waziri mstaafu kuchana nakala ya hukumu niliyoandika kwa sababu tu haikumfurahisha. Sisi Mahakama hatupo kuwafurahisha watu, tupo kwa ajili ya kusaidia utoaji wa haki kwa wananchi. Na ndio maana hukumu ile iliyochanwa na waziri bado ilitekelezwa vilevile kama nilivyoitoa bila kujali kama inamuudhi au kumfurahisha mheshimiwa waziri". Maneno kama haya ndio yanayojenga imani ya wananchi na ndio ukweli /uhalisia.
Anasema anashukuru serikali ilisimama na kutekeleza hukumu ile, ni kama anasema kuwa hata utekelezaji wa hukumu unafanywa kama favour. Jaji ameidunisha sana mahakama. Pascal MayallaAngeisema kwa namna ulivyoipendekeza hakika angeijengea Mahakama confidence kubwa sana ma wananchi wangeona namna Mahakama ilivyo huru na imara. Lakini yeye ameidunisha mbele ya wananchi halafu watu wanasifia tu.
Aina hii ya Judges ni useless pia ni tatizo kubwa sana kwa heshima, ustawi na nguvu ya mhimili wa Mahakama.Anasema anashukuru serikali ilisimama na kutekeleza hukumu ile, ni kama anasema kuwa hata utekelezaji wa hukumu unafanywa kama favour. Jaji ameidunisha sana mahakama. Pascal Mayalla
Kwamba anashukuru kwa favour aliyoipata 😅😅 ! Lakini huenda hakuwa na maana hiyo ila ni tabia zetu wabongo unyenyekevu kwa kila kitu hata mtu akienda dukani kununua kitu huwa anasema Mangi naomba vocha 😂😂😂 !Anasema anashukuru serikali ilisimama na kutekeleza hukumu ile, ni kama anasema kuwa hata utekelezaji wa hukumu unafanywa kama favour. Jaji ameidunisha sana mahakama. Pascal Mayalla