Jaji Mkuu: Hakuna mtu yeyote anatakiwa kumwingilia au kumpigia simu Hakimu ambaye kesi fulani ipo mbele yake

Swali: Ni nani humpigia hakimu simu?
simu nyingi huwa zinatoka juu, utasikia agizo kutoka juu
 
Vipi akipigiwa kutoka magogoni asitoe zamana itakuwaje?
 
Yeye mwenyewe mteuliwa tu hapoo,muulizeni kwanza akipigiwa na aliyemteua afanye mafekecheo flaniii na ni nje ya sheria,atagomaa?!

Mwambie akae tu kimyaa,hii nchi inaliwa wa wenye nchi.
Hapo sasa na hilo swali akikujibu naomba nishtue.
 
Bora hata kupigiwa simu,Wale jamaa ukiwa judge na wakaona unataka kutenda Haki hawakupigii hata simu,Bali unapandishwa cheo tu ghafla.

Majaji wa nchi ya Cuba Ni noma.

In most cases, kupandishwa cheo hakumaanishi kwamba kesi zote ambazo kwa wakati huo ziko mbele yako unaachana nazo. Kuna baadhi ya kesi utalazimika kuzimalizia katika wadhifa wako wa zamani. Kama ulikuwa hakimu (say, PRM) na sasa umekuwa judge, zile kesi itabidi uzimalizie kwa kofia ya PRM.
 
Huku Cuba nilipo, utaratibu Ni tofauti.
 
Ni takataka tupu, nadhani amehitimu madrasat Quba
 
Sijui huyu Jaji ana maana gani!
Sijui yeye ni mara ngapi ameona haya yakitendeka na alikaa kimya!
Kwanini anasema sasa wakati huko nyuma alikaa kimya na huenda alitumika!
 
muwawekee na ulinzi hasa majumbani.
 
Stone alikuwa anatafuta watu wa dizaini hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…