Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
Chawa = UchafuInshort ww ni mpumbafuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chawa = UchafuInshort ww ni mpumbafuu
Kwamba ame amsha vichaa wa aina yako, hiyo ni kazi muhimu anayo ifanya. Hii ni sehemu muhimu ya kuwa ondoa madarakani, ndiyo sababu mnawehuka kama unavyo onyesha wewe mwenyewe hapa.Zipi hizo hebu zitaje hapa tuzichambue
Wee ni mjinga sn ,utakionaje angalia rais wake alikuwa nani waziri mkuu yupo chini ya rais maendeleo ya rais wa awamu hio wote wanahusika pumbafuuuWaziri mkuu aliyefanya kipi tunachoweza kukiona leo??
Acha ujinga wewe. JPM alikuwa mzalendo hakutaka bla bla. Amewajengea uwezo amewapa maono kama SGR, umeme, maji nchi nzima. Kupunguza rushwa. Wote ni wanufaika.Nchi imeharibika sana kuanzia yule ndugu yake Kagame alivoshika uongozi! SSH naye karithi muendelezo ule ule wa kutaka kusifiwa kwa kila kitu hadi makosa yake!
Aliekuambia amechoka nani??? Watu hamna akili mnaambiwa mnaharibu nchi mnasema anaewambia apumzike hii nchi sio yenu hii ni yetu wote sio genge flani linalojifanya linajua linaharibu nchi acheni uhuni .Warioba kwa uzee wake ilipaswa kweli apumzike kabisa
Nikitafuta sana ni kipi signifcant and iconic kilichowahi kufanywa na Jaji warioba katika nyakati zake akiwa madarakani nakosa.
Hata hivyo kwa upendo tu wa watanzania tulimjengea heshima unaweza kusema hata kwa kuokoteza tu ilimradi mzee huyu aliyewahi kushika nyadhifa kubwa aheshikike.
Nimshauri tu kiroho safi kuwa ..ukimya ni busara kubwa...!!
Mada hii nimeileta mahususi kwa kukasirishwa na matamshi ya Jaji Warioba kuisema vibaya Serikali ya Awamu ya Tano!
Hili ni kosa na uvunjifu mkubwa wa adabu na kamwe haliwezi kuachwa likaenda hivi hivi...
Serikali ya awamu ya Tano iliwahi kumteua kushika nafasi ya heshima mwaka 2016/17 iwapo Serikali hii ilikuwa na makosa angekataa kufanya nayo kazi au angejiuzulu baada ya kuona inafanya makosa.
wastaafu wajiheshimu tena wajiheshimu sana.
By the way Polisi wanaomlinda leo hii ni hawa hawa anaowasemea au kuna wengine??
KWA HISANI Y
A MTU WA TANZANIA
hosema jaji ni sahihi tujibu hoja na si kum attack personal ila alichofanya jaji warioba kwenye uongozi wake hamna hata kimojaNikitafuta sana ni kipi signifcant and iconic kilichowahi kufanywa na Jaji warioba katika nyakati zake akiwa madarakani nakosa.
Hata hivyo kwa upendo tu wa watanzania tulimjengea heshima unaweza kusema hata kwa kuokoteza tu ilimradi mzee huyu aliyewahi kushika nyadhifa kubwa aheshikike.
Nimshauri tu kiroho safi kuwa ..ukimya ni busara kubwa...!!
Mada hii nimeileta mahususi kwa kukasirishwa na matamshi ya Jaji Warioba kuisema vibaya Serikali ya Awamu ya Tano!
Hili ni kosa na uvunjifu mkubwa wa adabu na kamwe haliwezi kuachwa likaenda hivi hivi...
Serikali ya awamu ya Tano iliwahi kumteua kushika nafasi ya heshima mwaka 2016/17 iwapo Serikali hii ilikuwa na makosa angekataa kufanya nayo kazi au angejiuzulu baada ya kuona inafanya makosa.
wastaafu wajiheshimu tena wajiheshimu sana.
By the way Polisi wanaomlinda leo hii ni hawa hawa anaowasemea au kuna wengine??
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Nyie. Wewe na Samia imeichukua Tanganyika na kuiuza. Unafikiri Samia angekuwa ana maono ya kukuletea maji,SGR, umeme, kutokemeza rushwa.Nikitafuta sana ni kipi signifcant and iconic kilichowahi kufanywa na Jaji warioba katika nyakati zake akiwa madarakani nakosa.
Hata hivyo kwa upendo tu wa watanzania tulimjengea heshima unaweza kusema hata kwa kuokoteza tu ilimradi mzee huyu aliyewahi kushika nyadhifa kubwa aheshikike.
Nimshauri tu kiroho safi kuwa ..ukimya ni busara kubwa...!!
Mada hii nimeileta mahususi kwa kukasirishwa na matamshi ya Jaji Warioba kuisema vibaya Serikali ya Awamu ya Tano!
Hili ni kosa na uvunjifu mkubwa wa adabu na kamwe haliwezi kuachwa likaenda hivi hivi...
Serikali ya awamu ya Tano iliwahi kumteua kushika nafasi ya heshima mwaka 2016/17 iwapo Serikali hii ilikuwa na makosa angekataa kufanya nayo kazi au angejiuzulu baada ya kuona inafanya makosa.
wastaafu wajiheshimu tena wajiheshimu sana.
By the way Polisi wanaomlinda leo hii ni hawa hawa anaowasemea au kuna wengine??
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Tunahitaji kiongozi Mzalendo. Anayejali maslahi ya Watanganyika. Sio kazi yake kuuza kila kitu kwa waarabu.Alic
hosema jaji ni sahihi tujibu hoja na si kum attack personal ila alichofanya jaji warioba kwenye uongozi wake hamna hata kimoja
Wewe mzee utakuwa umepata ajira mpya baada ya Lucas Mwashambwa kuonekana ni chizi. Wanasema kufa kufaana.Unaweza kuwa chawa wa wapinzani
Naona wewe ndio upo internship kwa ErythrocyteWewe mzee utakuwa umepata ajira mpya baada ya Lucas Mwashambwa kuonekana ni chizi. Wanasema kufa kufaana.
Vyovyote vile ila ni kama umekuwa chawa mbadala wa LucasNaona wewe ndio upo internship kwa Erythrocyte
Jinga. Oooooh😁😁Nikitafuta sana ni kipi signifcant and iconic kilichowahi kufanywa na Jaji warioba katika nyakati zake akiwa madarakani nakosa.
Hata hivyo kwa upendo tu wa watanzania tulimjengea heshima unaweza kusema hata kwa kuokoteza tu ilimradi mzee huyu aliyewahi kushika nyadhifa kubwa aheshikike.
Nimshauri tu kiroho safi kuwa ..ukimya ni busara kubwa...!!
Mada hii nimeileta mahususi kwa kukasirishwa na matamshi ya Jaji Warioba kuisema vibaya Serikali ya Awamu ya Tano!
Hili ni kosa na uvunjifu mkubwa wa adabu na kamwe haliwezi kuachwa likaenda hivi hivi...
Serikali ya awamu ya Tano iliwahi kumteua kushika nafasi ya heshima mwaka 2016/17 iwapo Serikali hii ilikuwa na makosa angekataa kufanya nayo kazi au angejiuzulu baada ya kuona inafanya makosa.
wastaafu wajiheshimu tena wajiheshimu sana.
By the way Polisi wanaomlinda leo hii ni hawa hawa anaowasemea au kuna wengine??
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Wewe mjinga wao , lao unaonesha ujinga wako.. Intellectually, kwa uzalendo, kwa,uchungu wa Taifa huna uwezo wa kumjibu Jaji Warioba.Naona wewe ndio upo internship kwa Erythrocyte
Ni lipi la uongo lililosemwa na warioba? Kwanini unataka awe mnafiki wakati kwanza umri wake upo jioni kabisa? Nikufundishe kitu dogo mara nyingi umri unapoenda sana na mtu anapokuwa mahututi huwa anamrudia Mungu kiukweli kabisa ,,,,rejea kisa cha magufuli na umwamba wake wote zile dakika za mwisho alikiogopa kifo mno mpaka akawaita viongozi wa dini wamuongoze sala ya toba.....sasa je ni toba ipi hiyo aliyokaifanya tofauti na ile aliyokaambiwa na Kakobe aifanye ila akaishia kushughulikiwa?Nikitafuta sana ni kipi signifcant and iconic kilichowahi kufanywa na Jaji warioba katika nyakati zake akiwa madarakani nakosa.
Hata hivyo kwa upendo tu wa watanzania tulimjengea heshima unaweza kusema hata kwa kuokoteza tu ilimradi mzee huyu aliyewahi kushika nyadhifa kubwa aheshikike.
Nimshauri tu kiroho safi kuwa ..ukimya ni busara kubwa...!!
Mada hii nimeileta mahususi kwa kukasirishwa na matamshi ya Jaji Warioba kuisema vibaya Serikali ya Awamu ya Tano!
Hili ni kosa na uvunjifu mkubwa wa adabu na kamwe haliwezi kuachwa likaenda hivi hivi...
Serikali ya awamu ya Tano iliwahi kumteua kushika nafasi ya heshima mwaka 2016/17 iwapo Serikali hii ilikuwa na makosa angekataa kufanya nayo kazi au angejiuzulu baada ya kuona inafanya makosa.
wastaafu wajiheshimu tena wajiheshimu sana.
By the way Polisi wanaomlinda leo hii ni hawa hawa anaowasemea au kuna wengine??
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Wewe siyo mjinga tena. Mjinga hawezi kuwa na comment ya maana kama hii. Kwenye ujinga tunamwacha JINGA LAO.Ukweli siku zote una Tabia YA KUUMA.ni kama dawa chungu lakini ndo inaponesha.
Kuambiwa ukweli viongozi wenu hamtaki
Siku zote kuna pande mbili ambazo hukinzana kimtazamo na kimsimamo. Lakini wewe ni lazima uwe na mtizamo hasi kwa kile Mzee Warioba alichokielezea, kwa kuwa upo upande wa waovu!Nikitafuta sana ni kipi signifcant and iconic kilichowahi kufanywa na Jaji warioba katika nyakati zake akiwa madarakani nakosa.
Hata hivyo kwa upendo tu wa watanzania tulimjengea heshima unaweza kusema hata kwa kuokoteza tu ilimradi mzee huyu aliyewahi kushika nyadhifa kubwa aheshikike.
Nimshauri tu kiroho safi kuwa ..ukimya ni busara kubwa...!!
Mada hii nimeileta mahususi kwa kukasirishwa na matamshi ya Jaji Warioba kuisema vibaya Serikali ya Awamu ya Tano!
Hili ni kosa na uvunjifu mkubwa wa adabu na kamwe haliwezi kuachwa likaenda hivi hivi...
Serikali ya awamu ya Tano iliwahi kumteua kushika nafasi ya heshima mwaka 2016/17 iwapo Serikali hii ilikuwa na makosa angekataa kufanya nayo kazi au angejiuzulu baada ya kuona inafanya makosa.
wastaafu wajiheshimu tena wajiheshimu sana.
By the way Polisi wanaomlinda leo hii ni hawa hawa anaowasemea au kuna wengine??
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!