Jaji warioba apumzike asijiharibie heshima ambayo ilipambwa tu!

Jaji warioba apumzike asijiharibie heshima ambayo ilipambwa tu!

Nikitafuta sana ni kipi signifcant and iconic kilichowahi kufanywa na Jaji warioba katika nyakati zake akiwa madarakani nakosa.

Hata hivyo kwa upendo tu wa watanzania tulimjengea heshima unaweza kusema hata kwa kuokoteza tu ilimradi mzee huyu aliyewahi kushika nyadhifa kubwa aheshikike.

Nimshauri tu kiroho safi kuwa ..ukimya ni busara kubwa...!!

Mada hii nimeileta mahususi kwa kukasirishwa na matamshi ya Jaji Warioba kuisema vibaya Serikali ya Awamu ya Tano!

Hili ni kosa na uvunjifu mkubwa wa adabu na kamwe haliwezi kuachwa likaenda hivi hivi...

Serikali ya awamu ya Tano iliwahi kumteua kushika nafasi ya heshima mwaka 2016/17 iwapo Serikali hii ilikuwa na makosa angekataa kufanya nayo kazi au angejiuzulu baada ya kuona inafanya makosa.

wastaafu wajiheshimu tena wajiheshimu sana.

By the way Polisi wanaomlinda leo hii ni hawa hawa anaowasemea au kuna wengine??

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Warioba ndiye mwana CCM pekee aliyebaki.
 
Nikitafuta sana ni kipi signifcant and iconic kilichowahi kufanywa na Jaji warioba katika nyakati zake akiwa madarakani nakosa.

Hata hivyo kwa upendo tu wa watanzania tulimjengea heshima unaweza kusema hata kwa kuokoteza tu ilimradi mzee huyu aliyewahi kushika nyadhifa kubwa aheshikike.

Nimshauri tu kiroho safi kuwa ..ukimya ni busara kubwa...!!

Mada hii nimeileta mahususi kwa kukasirishwa na matamshi ya Jaji Warioba kuisema vibaya Serikali ya Awamu ya Tano!

Hili ni kosa na uvunjifu mkubwa wa adabu na kamwe haliwezi kuachwa likaenda hivi hivi...

Serikali ya awamu ya Tano iliwahi kumteua kushika nafasi ya heshima mwaka 2016/17 iwapo Serikali hii ilikuwa na makosa angekataa kufanya nayo kazi au angejiuzulu baada ya kuona inafanya makosa.

wastaafu wajiheshimu tena wajiheshimu sana.

By the way Polisi wanaomlinda leo hii ni hawa hawa anaowasemea au kuna wengine??

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Wajinga sana ninyi.
Kuongea ukweli ndiyo kujiharibia sifa?
 
Nikitafuta sana ni kipi signifcant and iconic kilichowahi kufanywa na Jaji warioba katika nyakati zake akiwa madarakani nakosa.

Hata hivyo kwa upendo tu wa watanzania tulimjengea heshima unaweza kusema hata kwa kuokoteza tu ilimradi mzee huyu aliyewahi kushika nyadhifa kubwa aheshikike.

Nimshauri tu kiroho safi kuwa ..ukimya ni busara kubwa...!!

Mada hii nimeileta mahususi kwa kukasirishwa na matamshi ya Jaji Warioba kuisema vibaya Serikali ya Awamu ya Tano!

Hili ni kosa na uvunjifu mkubwa wa adabu na kamwe haliwezi kuachwa likaenda hivi hivi...

Serikali ya awamu ya Tano iliwahi kumteua kushika nafasi ya heshima mwaka 2016/17 iwapo Serikali hii ilikuwa na makosa angekataa kufanya nayo kazi au angejiuzulu baada ya kuona inafanya makosa.

wastaafu wajiheshimu tena wajiheshimu sana.

By the way Polisi wanaomlinda leo hii ni hawa hawa anaowasemea au kuna wengine??

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Hujui Dunia wewe
 
Ukweli siku zote una Tabia YA KUUMA.ni kama dawa chungu lakini ndo inaponesha.
Kuambiwa ukweli viongozi wenu hamtaki
Kabisa ukweli unauma… kama ile wa dalali wa upinzani kuuza upinzani
 
Mzee Warioba aliheshimika kwa Watanzania na bado Anaheshimika na Ataendelea kuheshimika zaidi kutokana na misimamo yake ilivyo mpaka sasa !

Au nasema uongo ndugu zanguni !!! 🙏🙏
 
Warioba is a pinnacle of excellence and a formidable intellectual force to reckon with. He's aging with grace and stands tall even among his acolytes.

I bear witness to a nascent idiotic trope, that all people who criticize Jaji Warioba happen to be unable to challenge him intellectually in the battle of wits, but use smear campaign, gutter politics and brute force.

After Jakaya's camp lost a constitutional debate against Warioba's, they sent henchmen and goons to violate Jaji Warioba in public, something which was vindicated by divine providence and Kikwete himself was proportionately humiliated by the same goons he sent.

Let Warioba Be, currentlyn none of you in CCM can reach his High Frequency of Intellect and Integrity.​
Marvellous 🤩 analysis 🧐 !
🙏🙏
 
Nikitafuta sana ni kipi signifcant and iconic kilichowahi kufanywa na Jaji warioba katika nyakati zake akiwa madarakani nakosa.

Hata hivyo kwa upendo tu wa watanzania tulimjengea heshima unaweza kusema hata kwa kuokoteza tu ilimradi mzee huyu aliyewahi kushika nyadhifa kubwa aheshikike.

Nimshauri tu kiroho safi kuwa ..ukimya ni busara kubwa...!!

Mada hii nimeileta mahususi kwa kukasirishwa na matamshi ya Jaji Warioba kuisema vibaya Serikali ya Awamu ya Tano!

Hili ni kosa na uvunjifu mkubwa wa adabu na kamwe haliwezi kuachwa likaenda hivi hivi...

Serikali ya awamu ya Tano iliwahi kumteua kushika nafasi ya heshima mwaka 2016/17 iwapo Serikali hii ilikuwa na makosa angekataa kufanya nayo kazi au angejiuzulu baada ya kuona inafanya makosa.

wastaafu wajiheshimu tena wajiheshimu sana.

By the way Polisi wanaomlinda leo hii ni hawa hawa anaowasemea au kuna wengine??

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Baadhi yetu tumekosa mwelekeo kabisa! Nilisikiliza press conference ya Jaji Warioba, na sikuona sehemu yoyote ya kusema labda kasema uwongo. Kwa bahati mbaya na kama kawaida yetu, badala ya kujibu hoja zake, baadhi yetu tumeanza kumshambulia, wengine wakisema "astaafu siasa." Natoa maoni yangu katika muktadha wa Ibara ya 18 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (kama ilivyofanyiwa marekebisho hadi mwaka 2005). Ibara 18(a) inasema "Kila mtu ana uhuru wa maoni na kueleza mawazo yake." Ibara hii haisemi mtu akistaafu au akiwa mzee, anakosa huo uhuru au kwamba hana haki ya kutoa maoni na kueleza mawazo yake. Je, ni nani anayemnyima huo uhuru na kwa mujibu wa sheria gani? Je, mtu akistaafu au akiwa mzee, hana haki ya kutoa maoni kuhusu mambo anayoyaona kwa masilahi ya nchi? Kwa mantiki hii naona tumekosa mwelekeo. Some of us no longer have good judgement, and so our ability to distinguish between good and bad or right and wrong is blurred. Why have we reached this stage?
 
Nikitafuta sana ni kipi signifcant and iconic kilichowahi kufanywa na Jaji warioba katika nyakati zake akiwa madarakani nakosa.

Hata hivyo kwa upendo tu wa watanzania tulimjengea heshima unaweza kusema hata kwa kuokoteza tu ilimradi mzee huyu aliyewahi kushika nyadhifa kubwa aheshikike.

Nimshauri tu kiroho safi kuwa ..ukimya ni busara kubwa...!!

Mada hii nimeileta mahususi kwa kukasirishwa na matamshi ya Jaji Warioba kuisema vibaya Serikali ya Awamu ya Tano!

Hili ni kosa na uvunjifu mkubwa wa adabu na kamwe haliwezi kuachwa likaenda hivi hivi...

Serikali ya awamu ya Tano iliwahi kumteua kushika nafasi ya heshima mwaka 2016/17 iwapo Serikali hii ilikuwa na makosa angekataa kufanya nayo kazi au angejiuzulu baada ya kuona inafanya makosa.

wastaafu wajiheshimu tena wajiheshimu sana.

By the way Polisi wanaomlinda leo hii ni hawa hawa anaowasemea au kuna wengine??

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Utaonaje alichofanaya Jaji Warioba na wewe ni jinga lao? Ungekuwa hata na asilimia moja ya uwezo wa Jaji Warioba ungejibu hoja zake badala ya kumjadili yeye, huna akili kabisa wewe.
 
Nikitafuta sana ni kipi signifcant and iconic kilichowahi kufanywa na Jaji warioba katika nyakati zake akiwa madarakani nakosa.

Hata hivyo kwa upendo tu wa watanzania tulimjengea heshima unaweza kusema hata kwa kuokoteza tu ilimradi mzee huyu aliyewahi kushika nyadhifa kubwa aheshikike.

Nimshauri tu kiroho safi kuwa ..ukimya ni busara kubwa...!!

Mada hii nimeileta mahususi kwa kukasirishwa na matamshi ya Jaji Warioba kuisema vibaya Serikali ya Awamu ya Tano!

Hili ni kosa na uvunjifu mkubwa wa adabu na kamwe haliwezi kuachwa likaenda hivi hivi...

Serikali ya awamu ya Tano iliwahi kumteua kushika nafasi ya heshima mwaka 2016/17 iwapo Serikali hii ilikuwa na makosa angekataa kufanya nayo kazi au angejiuzulu baada ya kuona inafanya makosa.

wastaafu wajiheshimu tena wajiheshimu sana.

By the way Polisi wanaomlinda leo hii ni hawa hawa anaowasemea au kuna wengine??

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!

Hawa ndo Ccm!
 
Nikitafuta sana ni kipi signifcant and iconic kilichowahi kufanywa na Jaji warioba katika nyakati zake akiwa madarakani nakosa.

Hata hivyo kwa upendo tu wa watanzania tulimjengea heshima unaweza kusema hata kwa kuokoteza tu ilimradi mzee huyu aliyewahi kushika nyadhifa kubwa aheshikike.

Nimshauri tu kiroho safi kuwa ..ukimya ni busara kubwa...!!

Mada hii nimeileta mahususi kwa kukasirishwa na matamshi ya Jaji Warioba kuisema vibaya Serikali ya Awamu ya Tano!

Hili ni kosa na uvunjifu mkubwa wa adabu na kamwe haliwezi kuachwa likaenda hivi hivi...

Serikali ya awamu ya Tano iliwahi kumteua kushika nafasi ya heshima mwaka 2016/17 iwapo Serikali hii ilikuwa na makosa angekataa kufanya nayo kazi au angejiuzulu baada ya kuona inafanya makosa.

wastaafu wajiheshimu tena wajiheshimu sana.

By the way Polisi wanaomlinda leo hii ni hawa hawa anaowasemea au kuna wengine??

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Mzee anakwepa majukumu ya kucheze na kulea wajukuu nyumbani, eti nae anajifanya Gen z.

nashauri kwa heshma,
kama Taifa kwa pamoja tumpuuze huyu Mzee, kama ambavyo mara zote akijitokeza kumbwelambwela kwenye vyombo vya habari na mitandaoni anapuuzwa.

ana gubu mbaya sana na serikali sikivu ya CCM lakini pia hana athari zozote kisiasa nchini 🐒
 
Baadhi yetu tumekosa mwelekeo kabisa! Nilisikiliza press conference ya Jaji Warioba, na sikuona sehemu yoyote ya kusema labda kasema uwongo. Kwa bahati mbaya na kama kawaida yetu, badala ya kujibu hoja zake, baadhi yetu tumeanza kumshambulia, wengine wakisema "astaafu siasa." Natoa maoni yangu katika muktadha wa Ibara ya 18 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (kama ilivyofanyiwa marekebisho hadi mwaka 2005). Ibara 18(a) inasema "Kila mtu ana uhuru wa maoni na kueleza mawazo yake." Ibara hii haisemi mtu akistaafu au akiwa mzee, anakosa huo uhuru au kwamba hana haki ya kutoa maoni na kueleza mawazo yake. Je, ni nani anayemnyima huo uhuru na kwa mujibu wa sheria gani? Je, mtu akistaafu au akiwa mzee, hana haki ya kutoa maoni kuhusu mambo anayoyaona kwa masilahi ya nchi? Kwa mantiki hii naona tumekosa mwelekeo. Some of us no longer have good judgement, and so our ability to distinguish between good and bad or right and wrong is blurred. Why have we reached this stage?
Wengine wameaminishwa au wamejiaminisha kwamba kila anayekosoa anatakiwa ashughulikiwe 😳🙄
Hii ni shida kubwa iliyopo kwenye siasa za baadhi ya Nchi !
 
Warioba is a pinnacle of excellence and a formidable intellectual force to reckon with. He's aging with grace and stands tall even among his acolytes.

I bear witness to a nascent idiotic trope, that all people who criticize Jaji Warioba happen to be unable to challenge him intellectually in the battle of wits, but use smear campaign, gutter politics and brute force.

After Jakaya's camp lost a constitutional debate against Warioba's, they sent henchmen and goons to violate Jaji Warioba in public, something which was vindicated by divine providence and Kikwete himself was proportionately humiliated by the same goons he sent.

Let Warioba Be, currently none of you in CCM can reach his High Frequency of Intellect and Integrity.​
Usiwaingize watanzania wote kwenye huu ujinga ulioandika
 
Nikitafuta sana ni kipi signifcant and iconic kilichowahi kufanywa na Jaji warioba katika nyakati zake akiwa madarakani nakosa.

Hata hivyo kwa upendo tu wa watanzania tulimjengea heshima unaweza kusema hata kwa kuokoteza tu ilimradi mzee huyu aliyewahi kushika nyadhifa kubwa aheshikike.

Nimshauri tu kiroho safi kuwa ..ukimya ni busara kubwa...!!

Mada hii nimeileta mahususi kwa kukasirishwa na matamshi ya Jaji Warioba kuisema vibaya Serikali ya Awamu ya Tano!

Hili ni kosa na uvunjifu mkubwa wa adabu na kamwe haliwezi kuachwa likaenda hivi hivi...

Serikali ya awamu ya Tano iliwahi kumteua kushika nafasi ya heshima mwaka 2016/17 iwapo Serikali hii ilikuwa na makosa angekataa kufanya nayo kazi au angejiuzulu baada ya kuona inafanya makosa.

wastaafu wajiheshimu tena wajiheshimu sana.

By the way Polisi wanaomlinda leo hii ni hawa hawa anaowasemea au kuna wengine??

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Hahitaji kulindwa na polisi, hayo ni matumizi mabaya ya fedha za umma. Jijengee tabia ya kuvumilia ukweli. Magufuli alikuwa shetani katika sura ya binadamu, vitu si utu, na wala usitumie kodi za umma kufanya miradi kadhaa na ndio uitumie kunyima haki za watu. Tuko na Warioba
 
Back
Top Bottom