Jaji warioba apumzike asijiharibie heshima ambayo ilipambwa tu!

Jaji warioba apumzike asijiharibie heshima ambayo ilipambwa tu!

Maisha ya wananchi wa kawaida yalikuwa na nafuu. Sera zake zililenga kumsaidia maskini.

Ndio hakuwa na uvumilivu sababu alijua muda wake, wetu hapa duniani ni mchache. Huwezi kumsikiliźa kila mpiga kelele otherwise huwezi kufanya kitu chochote.

Umeme. Maji, ulipatokana huduma serikalkni. Rushwa ilipungua. Haki kwa wananchi wengi ilizingatiwa. Alikuwa anasokiliza na kuongea na wananchi kila siku kwenye ziara zake.
Maisha kwa wananchi hayakuwa nafuu acha upotoshaji, sukari, mafuta ya kula yalipanda bei wakati kwa kiwango kikubwa. Hakutoa ajira, bali alipunguza kwa kificho cha vyeti fake. Ni kweli umeme wakati wake haukuwa unakatika mara kwa mara. Hakuwa na sera za kumsaidia masikini kwa maana ya sera, bali aliruhusu biashara holela kwa wamachinga kwa sababu wamachinga wengi walikuwa wafuasi wa cdm.

Tatizo la maji hakulimaliza, bali utekelezaji wake haukuwa na tofauti na marais wengine, ila yeye alikuwa mzuri kwenye propaganda, alifanikiwa kuwaaminisha wajinga kuwa sungura ni mkubwa kama tembo.

Rushwa ilipungua kwenye majukwaa ya siasa ila sio kwa uhalisia wake.
 
Maisha kwa wananchi hayakuwa nafuu acha upotoshaji, sukari, mafuta ya kula yalipanda bei wakati kwa kiwango kikubwa. Hakutoa ajira, bali alipunguza kwa kificho cha vyeti fake. Ni kweli umeme wakati wake haukuwa unakatika mara kwa mara. Hakuwa na sera za kumsaidia masikini kwa maana ya sera, bali aliruhusu biashara holela kwa wamachinga kwa sababu wamachinga wengi walikuwa wafuasi wa cdm.

Tatizo la maji hakulimaliza, bali utekelezaji wake haukuwa na tofauti na marais wengine, ila yeye alikuwa mzuri kwenye propaganda, alifanikiwa kuwaaminisha wajinga kuwa sungura ni mkubwa kama tembo.

Rushwa ilipungua kwenye majukwaa ya siasa ila sio kwa uhalisia wake.
Alisitisha Ajira za Moja kwa kwa Moja hasa katika kada ya elimu na afya alipoamua kuwa waziri wa tamisemi.

Akawateua makada wa Ccm katika nafasi za utendaji licha ya kwamba hawakua na sifa Wala uzoefu katika nafasi hizo.

Akakusanya fedha za vitambulisho haramu vya wamachinga mpaka anakufa hazijawahi kujulikana zilipoenda.

Akakusanya hela za plea bargain kama Rushwa ya kuwasamehe aliwaoshtaki kwa makosa ya Uwongo na kusingizia.

Akapandisha makato ya Bodi ya mikopo ya elimu ya juu, kutoka asilimia 8 mpaka 15 bila nyongeza ya mshahara wowote Kwa miaka mitano.

Akafananishwa na Mungu-akafa
 
Nikitafuta sana ni kipi signifcant and iconic kilichowahi kufanywa na Jaji warioba katika nyakati zake akiwa madarakani nakosa.

Hata hivyo kwa upendo tu wa watanzania tulimjengea heshima unaweza kusema hata kwa kuokoteza tu ilimradi mzee huyu aliyewahi kushika nyadhifa kubwa aheshikike.

Nimshauri tu kiroho safi kuwa ..ukimya ni busara kubwa...!!

Mada hii nimeileta mahususi kwa kukasirishwa na matamshi ya Jaji Warioba kuisema vibaya Serikali ya Awamu ya Tano!

Hili ni kosa na uvunjifu mkubwa wa adabu na kamwe haliwezi kuachwa likaenda hivi hivi...

Serikali ya awamu ya Tano iliwahi kumteua kushika nafasi ya heshima mwaka 2016/17 iwapo Serikali hii ilikuwa na makosa angekataa kufanya nayo kazi au angejiuzulu baada ya kuona inafanya makosa.

wastaafu wajiheshimu tena wajiheshimu sana.

By the way Polisi wanaomlinda leo hii ni hawa hawa anaowasemea au kuna wengine??

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
CCm nayo ipumzike
 
Nikitafuta sana ni kipi signifcant and iconic kilichowahi kufanywa na Jaji warioba katika nyakati zake akiwa madarakani nakosa.

Hata hivyo kwa upendo tu wa watanzania tulimjengea heshima unaweza kusema hata kwa kuokoteza tu ilimradi mzee huyu aliyewahi kushika nyadhifa kubwa aheshikike.

Nimshauri tu kiroho safi kuwa ..ukimya ni busara kubwa...!!

Mada hii nimeileta mahususi kwa kukasirishwa na matamshi ya Jaji Warioba kuisema vibaya Serikali ya Awamu ya Tano!

Hili ni kosa na uvunjifu mkubwa wa adabu na kamwe haliwezi kuachwa likaenda hivi hivi...

Serikali ya awamu ya Tano iliwahi kumteua kushika nafasi ya heshima mwaka 2016/17 iwapo Serikali hii ilikuwa na makosa angekataa kufanya nayo kazi au angejiuzulu baada ya kuona inafanya makosa.

wastaafu wajiheshimu tena wajiheshimu sana.

By the way Polisi wanaomlinda leo hii ni hawa hawa anaowasemea au kuna wengine??

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Wewe ni jingalao ningeshangaa kama usingeandika ujinga!
 
Nikitafuta sana ni kipi signifcant and iconic kilichowahi kufanywa na Jaji warioba katika nyakati zake akiwa madarakani nakosa.

Hata hivyo kwa upendo tu wa watanzania tulimjengea heshima unaweza kusema hata kwa kuokoteza tu ilimradi mzee huyu aliyewahi kushika nyadhifa kubwa aheshikike.

Nimshauri tu kiroho safi kuwa ..ukimya ni busara kubwa...!!

Mada hii nimeileta mahususi kwa kukasirishwa na matamshi ya Jaji Warioba kuisema vibaya Serikali ya Awamu ya Tano!

Hili ni kosa na uvunjifu mkubwa wa adabu na kamwe haliwezi kuachwa likaenda hivi hivi...

Serikali ya awamu ya Tano iliwahi kumteua kushika nafasi ya heshima mwaka 2016/17 iwapo Serikali hii ilikuwa na makosa angekataa kufanya nayo kazi au angejiuzulu baada ya kuona inafanya makosa.

wastaafu wajiheshimu tena wajiheshimu sana.

By the way Polisi wanaomlinda leo hii ni hawa hawa anaowasemea au kuna wengine??

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Mleta mada anafikiri jf ipo na mazwazwa? why tumia nguvu kubwa kwa mambo mepesi , heshima ya mzee Wariba lazima Lindwa kwa Nguvu kubwa
 
Alisitisha Ajira za Moja kwa kwa Moja hasa katika kada ya elimu na afya alipoamua kuwa waziri wa tamisemi.

Akawateua makada wa Ccm katika nafasi za utendaji licha ya kwamba hawakua na sifa Wala uzoefu katika nafasi hizo.

Akakusanya fedha za vitambulisho haramu vya wamachinga mpaka anakufa hazijawahi kujulikana zilipoenda.

Akakusanya hela za plea bargain kama Rushwa ya kuwasamehe aliwaoshtaki kwa makosa ya Uwongo na kusingizia.

Akapandisha makato ya Bodi ya mikopo ya elimu ya juu, kutoka asilimia 8 mpaka 15 bila nyongeza ya mshahara wowote Kwa miaka mitano.

Akafananishwa na Mungu-akafa
Hawa chawa wanadhani tumesahau dhahama za yule mzee.
 
Warioba is a pinnacle of excellence and a formidable intellectual force to reckon with. He's aging with grace and stands tall even among his acolytes.

I'm a witness to a nascent idiotic Anti-Warioba-trope, which I find to be fueled by primordial envy and lunacy, than UZALENDO. All people who criticize Jaji Warioba happen to be unable to challenge him intellectually in the battle of wits, but use smear campaign, gutter politics and brute force.

After Jakaya's camp lost a constitutional debate against Warioba's, they sent henchmen and goons to violate Jaji Warioba in public, something which was vindicated by divine providence and Kikwete himself was proportionately humiliated by the same goons he sent.

Let Warioba Be, currently none of you in CCM can reach his High Frequency of Intellect and Integrity.​
Vijana wa 2000 na early 80s hamna heshima kwa wazee hata kidogo. Ungekua unajitambuankipindi nyerere akiwa hayupo madarakani ila anaitisha press na kukemea serikali kukiuka katibabusingekurupuka hivi. Ni kazi ya wazee kusimama na kukemea jamii inayokengeuka na kuacha misingi yake mizuri na iliyoijengea heshima. Kingereza kingi ndani mashudi tupu.
 
Nikitafuta sana ni kipi signifcant and iconic kilichowahi kufanywa na Jaji warioba katika nyakati zake akiwa madarakani nakosa.

Hata hivyo kwa upendo tu wa watanzania tulimjengea heshima unaweza kusema hata kwa kuokoteza tu ilimradi mzee huyu aliyewahi kushika nyadhifa kubwa aheshikike.

Nimshauri tu kiroho safi kuwa ..ukimya ni busara kubwa...!!

Mada hii nimeileta mahususi kwa kukasirishwa na matamshi ya Jaji Warioba kuisema vibaya Serikali ya Awamu ya Tano!

Hili ni kosa na uvunjifu mkubwa wa adabu na kamwe haliwezi kuachwa likaenda hivi hivi...

Serikali ya awamu ya Tano iliwahi kumteua kushika nafasi ya heshima mwaka 2016/17 iwapo Serikali hii ilikuwa na makosa angekataa kufanya nayo kazi au angejiuzulu baada ya kuona inafanya makosa.

wastaafu wajiheshimu tena wajiheshimu sana.

By the way Polisi wanaomlinda leo hii ni hawa hawa anaowasemea au kuna wengine??

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Wewe punguani hujitambui kuwa hustahili na wala huna uwezo wa akili wa kumfanyia assessment Mzee wa hekima Joseph Sinde Warioba?

Eti mzee Warioba hakuna jambo kubwa alilowahi kulifanyia Taifa!! Hivi umekuwa punguani wa kiasi hiki!!

Mzee Warioba ameifanyia makubwa nchi hii, na anaifanyia makubwa zaidi kwa sasa kwa kuusahihisha uongozi uliopinda.

Mungu mkuu wa yote, tunaomba uendelee kumlinda na kumjalia hekima na ujasiri Mzee Warioba maana kwa sasa ndiye mzee pekee mwenye hekima na ujasiri wa kukemea ushetani unaofanywa na Serikali na watawala waliopinda.

Hata katika makuu anayoyafanya mzee Warioba, ni hakika mashetani hawatatulia, bali lazima wataonesha jinsi walivyo hayawani, na wasivyopenda kufundwa, kukoselewa na kuelekezwa, kama alivyofanya punguani mwovu mleta mada.

Asante Mungu wetu kwa sababu ya zawadi kubwa kwa Taifa, zawadi ya kuwa na mtu kama Warioba katika nchi yetu.
 
Mimi nafikiri wewe ndo ulitakiwa kupumzika ili kulinda heshima uliyojitengenezea kwenye familia yako kwa muda mrefu. Au unaoj, kuliko kuhamgaika na Warioba ambaye ni msemaji wa wasio na pakusemea.

Pia kumbuka Warioba anatoka mkoa uleeeee wanaotahiriwa kwa kisu bila ngazi. Kwa hiyo hana uoga wowote ktk maisha yake. Au wewe unamuonaj kijana Heche unafikiri ni mla urojo au chips mayai. Huyo na Warioba and the like wanatoka huko huko. Wao husimamia wanachokiamini, na hawanunuliki kizembe km akina Nasali et al.
 
Nikitafuta sana ni kipi signifcant and iconic kilichowahi kufanywa na Jaji warioba katika nyakati zake akiwa madarakani nakosa.

Hata hivyo kwa upendo tu wa watanzania tulimjengea heshima unaweza kusema hata kwa kuokoteza tu ilimradi mzee huyu aliyewahi kushika nyadhifa kubwa aheshikike.

Nimshauri tu kiroho safi kuwa ..ukimya ni busara kubwa...!!

Mada hii nimeileta mahususi kwa kukasirishwa na matamshi ya Jaji Warioba kuisema vibaya Serikali ya Awamu ya Tano!

Hili ni kosa na uvunjifu mkubwa wa adabu na kamwe haliwezi kuachwa likaenda hivi hivi...

Serikali ya awamu ya Tano iliwahi kumteua kushika nafasi ya heshima mwaka 2016/17 iwapo Serikali hii ilikuwa na makosa angekataa kufanya nayo kazi au angejiuzulu baada ya kuona inafanya makosa.

wastaafu wajiheshimu tena wajiheshimu sana.

By the way Polisi wanaomlinda leo hii ni hawa hawa anaowasemea au kuna wengine??

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Mkuu Jinga, jaribu kupitia Wikipedia usome historia ya Mzee Warioba.
 
Nikitafuta sana ni kipi signifcant and iconic kilichowahi kufanywa na Jaji warioba katika nyakati zake akiwa madarakani nakosa.

Hata hivyo kwa upendo tu wa watanzania tulimjengea heshima unaweza kusema hata kwa kuokoteza tu ilimradi mzee huyu aliyewahi kushika nyadhifa kubwa aheshikike.

Nimshauri tu kiroho safi kuwa ..ukimya ni busara kubwa...!!

Mada hii nimeileta mahususi kwa kukasirishwa na matamshi ya Jaji Warioba kuisema vibaya Serikali ya Awamu ya Tano!

Hili ni kosa na uvunjifu mkubwa wa adabu na kamwe haliwezi kuachwa likaenda hivi hivi...

Serikali ya awamu ya Tano iliwahi kumteua kushika nafasi ya heshima mwaka 2016/17 iwapo Serikali hii ilikuwa na makosa angekataa kufanya nayo kazi au angejiuzulu baada ya kuona inafanya makosa.

wastaafu wajiheshimu tena wajiheshimu sana.

By the way Polisi wanaomlinda leo hii ni hawa hawa anaowasemea au kuna wengine??

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Unaumwa mavi wewe
 
Nikitafuta sana ni kipi signifcant and iconic kilichowahi kufanywa na Jaji warioba katika nyakati zake akiwa madarakani nakosa.

Hata hivyo kwa upendo tu wa watanzania tulimjengea heshima unaweza kusema hata kwa kuokoteza tu ilimradi mzee huyu aliyewahi kushika nyadhifa kubwa aheshikike.

Nimshauri tu kiroho safi kuwa ..ukimya ni busara kubwa...!!

Mada hii nimeileta mahususi kwa kukasirishwa na matamshi ya Jaji Warioba kuisema vibaya Serikali ya Awamu ya Tano!

Hili ni kosa na uvunjifu mkubwa wa adabu na kamwe haliwezi kuachwa likaenda hivi hivi...

Serikali ya awamu ya Tano iliwahi kumteua kushika nafasi ya heshima mwaka 2016/17 iwapo Serikali hii ilikuwa na makosa angekataa kufanya nayo kazi au angejiuzulu baada ya kuona inafanya makosa.

wastaafu wajiheshimu tena wajiheshimu sana.

By the way Polisi wanaomlinda leo hii ni hawa hawa anaowasemea au kuna wengine??

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Kati ya Warioba na wewe nani hana adabu?
 
Nikitafuta sana ni kipi signifcant and iconic kilichowahi kufanywa na Jaji warioba katika nyakati zake akiwa madarakani nakosa.

Hata hivyo kwa upendo tu wa watanzania tulimjengea heshima unaweza kusema hata kwa kuokoteza tu ilimradi mzee huyu aliyewahi kushika nyadhifa kubwa aheshikike.

Nimshauri tu kiroho safi kuwa ..ukimya ni busara kubwa...!!

Mada hii nimeileta mahususi kwa kukasirishwa na matamshi ya Jaji Warioba kuisema vibaya Serikali ya Awamu ya Tano!

Hili ni kosa na uvunjifu mkubwa wa adabu na kamwe haliwezi kuachwa likaenda hivi hivi...

phone Serikali ya awamu ya Tano iliwahi kumteua kushika nafasi ya heshima mwaka 2016/17 iwapo Serikali hii ilikuwa na makosa angekataa kufanya nayo kazi au angejiuzulu baada ya kuona inafanya makosa.

wastaafu wajiheshimu tena wajiheshimu sana.

By the way Polisi wanaomlinda leo hii ni hawa hawa anaowasemea au kuna wengine??

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Another phone in foolish hands.
 
Back
Top Bottom