Jaji warioba apumzike asijiharibie heshima ambayo ilipambwa tu!

Jaji warioba apumzike asijiharibie heshima ambayo ilipambwa tu!

Pumbavu Sana we litoto ni jikalao kubwa la majinga yote!!

mtu anafanya au serikali ndio unafanya ??

Mtekeni Basi muone kwama Samia hajapinduliwa mchana kweupe

We unafikiri kakurupuka kulitaja jwtz?

Jichanganyeni mtaona kitakachowatokea 2025!!
Nikitafuta sana ni kipi signifcant and iconic kilichowahi kufanywa na Jaji warioba katika nyakati zake akiwa madarakani nakosa.

Hata hivyo kwa upendo tu wa watanzania tulimjengea heshima unaweza kusema hata kwa kuokoteza tu ilimradi mzee huyu aliyewahi kushika nyadhifa kubwa aheshikike.

Nimshauri tu kiroho safi kuwa ..ukimya ni busara kubwa...!!

Mada hii nimeileta mahususi kwa kukasirishwa na matamshi ya Jaji Warioba kuisema vibaya Serikali ya Awamu ya Tano!

Hili ni kosa na uvunjifu mkubwa wa adabu na kamwe haliwezi kuachwa likaenda hivi hivi...

Serikali ya awamu ya Tano iliwahi kumteua kushika nafasi ya heshima mwaka 2016/17 iwapo Serikali hii ilikuwa na makosa angekataa kufanya nayo kazi au angejiuzulu baada ya kuona inafanya makosa.

wastaafu wajiheshimu tena wajiheshimu sana.

By the way Polisi wanaomlinda leo hii ni hawa hawa anaowasemea au kuna wengine??

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
 
Kweli wewe ni jingalao la wajinga duniani.kwa hiyo huoni mazuri aliyoyafanya huyu mzee wetu mzalendo?labda kama umezaliwa 2003 hapo sawa
 
Og
Machawa saazingine akili zenu huzificha katika deshideshi waalah!

Kuitwa 'rasimu ya Warioba', kwako imekuwa Warioba ndiye yeye binafsi aliitunga kutoka mawazoni mwake na akili zake binafsi, bila kuwepo na mkusanyo wa mawazo ya raia wengine wa nchi.

Ndipo unaponifanya niamini kuwa waTZ sasahivi tumegawanyika pakubwa sana na platform hii ya 'wandewa' katika JF imekwisha kutiwa najisi na vurugwa.

Hakuna tena kujenga hoja ikajadiliwa kwa kubadilishana mawazo, ni ubishani wa kupinga na kutukana!

Lakini watu kama nyie huwa hamkosi kwenye kila aina ya utawala, tangia enzi zile za utumwa, kulikuwa na cheo cha 'Nokora mpumbaf', kazi yake kusnich watumwa wenzake wasiweze kujadili dhulma wanazotendewa.

Ndipo tulipo nasi katika zama zetu hizi, Nokora kawa chawa.

Mtu hata kama ni msomi na masters zake, lakini kwa 'ajira' ya uchawa, mnajifyatua akili na kuonekana kama wahitimu wa ngumbalu kulaleki!
Ogopa jeshi la wajinga..wanaweza kukupa kiongozi na akakuongoza kuingia ujingani.
Mzee Warioba amejitoa mhanga kusema aliyoyasema,peupee!Kumjibu inataka Akili kubwa sana na kiwango cha juu sana cha uelewa wa jinsi nchi inavyoendeshwa.
Hapo hakuna chama..hapo kuna nchi.Hoja zake zimelenga kuokoa nchi dhidi ya anguko baya..
 
Jibuni HOJA za Jaji Wariba masuala ya kumshambulia yeye binafsi inaonyesha nanna mlivyo dhaifu.
 
Ukiwa ni mtu wa nia mbaya na ni mnufaika wa uongozi uliopo lazima mzee Warioba umuone hafai

Kwenye jamii bila kukemea maovu kwa baadae ni kwa zi sana hiyo jamii kuirudisha kwenye maadaili
 
YY ni jaji kwa usomi na cheo chake ni waziri MKUU mstaff. Naomba n ww nikujue kwa kwa Elimu n cheo. Ndio nichague nani ni MTU makini. Ila mpka sasa YY ni MTU muhimu kwa TAIFA la Tanganyika. Na sio Dalali kama alie watuma nyie.
All the best
 
Nikitafuta sana ni kipi signifcant and iconic kilichowahi kufanywa na Jaji warioba katika nyakati zake akiwa madarakani nakosa.

Hata hivyo kwa upendo tu wa watanzania tulimjengea heshima unaweza kusema hata kwa kuokoteza tu ilimradi mzee huyu aliyewahi kushika nyadhifa kubwa aheshikike.

Nimshauri tu kiroho safi kuwa ..ukimya ni busara kubwa...!!

Mada hii nimeileta mahususi kwa kukasirishwa na matamshi ya Jaji Warioba kuisema vibaya Serikali ya Awamu ya Tano!

Hili ni kosa na uvunjifu mkubwa wa adabu na kamwe haliwezi kuachwa likaenda hivi hivi...

Serikali ya awamu ya Tano iliwahi kumteua kushika nafasi ya heshima mwaka 2016/17 iwapo Serikali hii ilikuwa na makosa angekataa kufanya nayo kazi au angejiuzulu baada ya kuona inafanya makosa.

wastaafu wajiheshimu tena wajiheshimu sana.

By the way Polisi wanaomlinda leo hii ni hawa hawa anaowasemea au kuna wengine??

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Aibu kwako kumkosea heshima Mzee anaeheshimika ambaye hakuna yeyote kwa sasa anayemkuta kwa kuheshimika Tanzania.
 
Nikitafuta sana ni kipi signifcant and iconic kilichowahi kufanywa na Jaji warioba katika nyakati zake akiwa madarakani nakosa.

Hata hivyo kwa upendo tu wa watanzania tulimjengea heshima unaweza kusema hata kwa kuokoteza tu ilimradi mzee huyu aliyewahi kushika nyadhifa kubwa aheshikike.

Nimshauri tu kiroho safi kuwa ..ukimya ni busara kubwa...!!

Mada hii nimeileta mahususi kwa kukasirishwa na matamshi ya Jaji Warioba kuisema vibaya Serikali ya Awamu ya Tano!

Hili ni kosa na uvunjifu mkubwa wa adabu na kamwe haliwezi kuachwa likaenda hivi hivi...

Serikali ya awamu ya Tano iliwahi kumteua kushika nafasi ya heshima mwaka 2016/17 iwapo Serikali hii ilikuwa na makosa angekataa kufanya nayo kazi au angejiuzulu baada ya kuona inafanya makosa.

wastaafu wajiheshimu tena wajiheshimu sana.

By the way Polisi wanaomlinda leo hii ni hawa hawa anaowasemea au kuna wengine??

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Huna hata hadhi ya 0.00000000001% ya kumkosoa jaji warioba vijana wa CCM mjifunze kuwa na adabu na kuheshimu wazee wa wakongwe wa chama , hii ccm yenu ya mwendo kasi hii inalitia mikosi na nuksi taifa
 
YY ni jaji kwa usomi na cheo chake ni waziri MKUU mstaff. Naomba n ww nikujue kwa kwa Elimu n cheo. Ndio nichague nani ni MTU makini. Ila mpka sasa YY ni MTU muhimu kwa TAIFA la Tanganyika. Na sio Dalali kama alie watuma nyie.
All the best
Fala mmoja na dv 0 yake kakijua chama juzi tu hata hajui kama warioba aliwahi kuwa wazir mkuu nchi hii na anaijua serikali kuliko yeye
 
Nikitafuta sana ni kipi signifcant and iconic kilichowahi kufanywa na Jaji warioba katika nyakati zake akiwa madarakani nakosa.

Hata hivyo kwa upendo tu wa watanzania tulimjengea heshima unaweza kusema hata kwa kuokoteza tu ilimradi mzee huyu aliyewahi kushika nyadhifa kubwa aheshikike.

Nimshauri tu kiroho safi kuwa ..ukimya ni busara kubwa...!!

Mada hii nimeileta mahususi kwa kukasirishwa na matamshi ya Jaji Warioba kuisema vibaya Serikali ya Awamu ya Tano!

Hili ni kosa na uvunjifu mkubwa wa adabu na kamwe haliwezi kuachwa likaenda hivi hivi...

Serikali ya awamu ya Tano iliwahi kumteua kushika nafasi ya heshima mwaka 2016/17 iwapo Serikali hii ilikuwa na makosa angekataa kufanya nayo kazi au angejiuzulu baada ya kuona inafanya makosa.

wastaafu wajiheshimu tena wajiheshimu sana.

By the way Polisi wanaomlinda leo hii ni hawa hawa anaowasemea au kuna wengine??

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Mkuu kijiti ni kupokezana. kulikuwa na awamu ya kwanza, ya pili, ya tatu, ya nne, ya tano....hata ya kumi itakuwepo. Hata hawa wa awamu ya tano wataisema awamu ya sita na nyingine zjazo.. Hata wewe leo hii unaitetea kwa sababu una maslahi nayo.

Juzi nilikuwa naangalia clip za JPM alivyokuwa anasifiwa na wakuu wa mikoa/wilaya/mawaziri nk. Leo hii ndo wanaongoza kwa kuponda awamu yake.


Naamini hata S100 anajua kwamba hakuna anayemsifia yeye. Wanasifia kiti chake!! Tena akiachia kiti, nakuhakikishia hakuna mtu atasemwa vibaya kama huyu mama yetu. Watch this space! I hope analijua hilo.
 
Nikitafuta sana ni kipi signifcant and iconic kilichowahi kufanywa na Jaji warioba katika nyakati zake akiwa madarakani nakosa.

Hata hivyo kwa upendo tu wa watanzania tulimjengea heshima unaweza kusema hata kwa kuokoteza tu ilimradi mzee huyu aliyewahi kushika nyadhifa kubwa aheshikike.

Nimshauri tu kiroho safi kuwa ..ukimya ni busara kubwa...!!

Mada hii nimeileta mahususi kwa kukasirishwa na matamshi ya Jaji Warioba kuisema vibaya Serikali ya Awamu ya Tano!

Hili ni kosa na uvunjifu mkubwa wa adabu na kamwe haliwezi kuachwa likaenda hivi hivi...

Serikali ya awamu ya Tano iliwahi kumteua kushika nafasi ya heshima mwaka 2016/17 iwapo Serikali hii ilikuwa na makosa angekataa kufanya nayo kazi au angejiuzulu baada ya kuona inafanya makosa.

wastaafu wajiheshimu tena wajiheshimu sana.

By the way Polisi wanaomlinda leo hii ni hawa hawa anaowasemea au kuna wengine??

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
VIpi kuhusiana yule asiyepeda shule lakini kila uchwao anazawadiwa PhDs, alisoma Mzumbe enzi hizo kinaitwa Chuo Cha Uongozi wa Jamii, lakini ghafla baada ya kuikwaa nafasi ya Ofisi Kuu mafaili yakabadilika, yakaanza kusomeka alisoma Advance Diploma Diploma pale ingawa mwaka liosoma ngazi hiyo haujulikani wala wanafunzi wenzake hawajulikani.
MSc pale Open University hiyo sitaihoji, kazi maalum ya Open University kwa viongozi wa serikali wenye Changamoto za kielimu inajulikana
 
Duuuuh..... Hoja zake wa kuzijibu hakuna. Sasa wanauliza aliwahi kifanya nini cha iconic.

Warioba ametupa mawe kwa Waziri Mchengerwa, Waziri Nchemba, kwa IGP, kwa Polisi na serikali yote.

Halafu akawapiga na Wenyeviti wa CCM na Makamu Wastaafu, ambao Jaji Warioba anasema kwa mujibu wa Katiba ya CCM hawapaswi kujikalia kalia kimywa tu CCM ikienda mrama na nchi ikiangamia.

Sijui nani watam dispatch amj
ibu.
Wamekuwa wakali kama wamemwagiwa Tindikali
 
Acha ujinga wewe. JPM alikuwa mzalendo hakutaka bla bla. Amewajengea uwezo amewapa maono kama SGR, umeme, maji nchi nzima. Kupunguza rushwa. Wote ni wanufaika.
Ungejua mabilioni ya wizi ailiyohusika nayo huyo mzalendo wako usingeandika huu upuuzi!
Kuhusu miradi ni ujinga kumtukuza rais wakati fedha si zake. Na hatendi peke yake!
 
Jaji Warioba ndio moja ya sauti chache mno ndani ya CCM zilizobakia yenye dhamira safi, maadili, ukweli na uelewa mpana wa siasa na yawezayo kujiri kutokana na siasa hizo. Ni sauti isiyo uchawa wala uoga! Tumuunge mkono kwa ujasiri wake!
 
Maandiko Matakatifu (Biblia) inasema kama mtu anafanya uovu halafu usimwonye, mtu huyo akifa Mungu ataitaka damu yake mikononi mwa mtu huyo.

Ezekieli 3:18
[18]Nimwambiapo mtu mbaya, Hakika utakufa; wewe usimpe maonyo, wala husemi na huyo mtu mbaya ili kumwonya, kusudi aache njia yake mbaya na kujiokoa roho yake; mtu yule mbaya atakufa katika uovu wake; lakini damu yake nitaitaka mkononi mwako.

Mhe. Warioba ametimiza wajibu wake. Miongoni mwetu tutakuwa tumesikia yaliyowakuta jana wafanyakazi wa TRA huko Tegeta kwa Ndevu. Kwani ni ushuhuda wa maonyo ya Mhe. Warioba.

Kwani jamii imefika mahali wanashindwa kutofautisha ukamataji wa vyombo vya dola na utekaji.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom