Huna akili punda weweWewe Mrundi? sisi wa Tanzania ndio hatuna akili wewe mwenye akili toka kawaambie haya uliyoandika humu. Coward.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna akili punda weweWewe Mrundi? sisi wa Tanzania ndio hatuna akili wewe mwenye akili toka kawaambie haya uliyoandika humu. Coward.
Huyu Mzee asipotekwa sijui yaani
Ukweli mchunguWaziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Sinde Warioba, amewataka wanajeshi kuepuka kuingilia siasa, akisisitiza kuwa kazi yao ni kulinda usalama wa nchi. Akizungumza na wanahabari Disemba 4, 2024, Warioba alikumbusha historia ya machafuko kutoka nchi jirani na kusema jeshi lilifanikiwa kudhibiti mikoa ya mipakani kama Katavi, Kigoma, na Kagera. Alionya kuwa kuingiza jeshi katika siasa kunaweza kuhatarisha usalama, akitoa mfano wa ufanisi wa jeshi katika vita ya Uganda.
"Tangu Uhuru watu wa Kongo, Burundi, Rwanda wamekuwa na machafuko, wananchi wa huko walikuwa wakikimbilia huku na wengine wakitaka kuendeleza harakati zao kutoka ndani ya nchi yetu, jeshi letu lilidhibiti mikoa mbalimbali hasa ile ya mipakani kuanzia Katavi, Kigoma, Kagera kukawa salama kabisa."
"Mnajua chokochoko iliyotokea Uganda, na mnajua kazi iliyofanywa na jeshi, tulipoteza vijana wengi sana, wale wameapa kuifia nchi na waliifia nchi, tusije tukawaingiza kwenye haya matatizo ya kisiasa, wananchi wakaanza kuwaona nao wanapendelea upande mmoja. Mimi ninaomba kabisa jeshi la ulinzi lisije likaingizwa kwenye mambo ya siasa, siyo kazi yake, kazi yake ni kulinda usalama wa nchi".
Au kummwagia tindikaliMohamed Mchengerwa atawatuma UVCCM kumtukana huyu mzee kwa nyakati tofauti ngazi ya mikoa na wilaya. TUSUBIRI TUONE KISHINDO
Kupigwa mitama mbona afadhali!wasije wakafanya kama waliyofanya kipindi cha bunge la katiba
mtanzania anakwepa kodi, then analalamika barabara mbovu, huduma za kijamii haziridhishi, HAKUNA HAKI BILA WAJIBU, ushoga huwezi kuona threat now, hii ni mbegu brother inamea taratibu, na inakuja kwa gia hizo hizo za demokrasia,Unaweza kuruhusu democrasia bila kuruhusu hayo mambo. And yes it possible
Labda uwe na misingi lege lege. Kila nchi ina adopt it own version of democracy according to their values and norms
Si lazima ku copy everything. Vile vile mfumo wa north korea( ambao si mfano mzuri). Bora hata china
Nayo hiyo mifumo ina madhaifu yake, ushoga si threat sana kama watu wanao upigia kelele
Kuna mambo mazito sana yanakwamisha afrika, ufisadi, urasimu, na kukosa uzalendo, elimu duni na mengine pia
Kupigwa mitama mbona afadhali!
ukwl humweka Mtu huru ,Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Sinde Warioba, amewataka wanajeshi kuepuka kuingilia siasa, akisisitiza kuwa kazi yao ni kulinda usalama wa nchi. Akizungumza na wanahabari Disemba 4, 2024, Warioba alikumbusha historia ya machafuko kutoka nchi jirani na kusema jeshi lilifanikiwa kudhibiti mikoa ya mipakani kama Katavi, Kigoma, na Kagera. Alionya kuwa kuingiza jeshi katika siasa kunaweza kuhatarisha usalama, akitoa mfano wa ufanisi wa jeshi katika vita ya Uganda.
"Tangu Uhuru watu wa Kongo, Burundi, Rwanda wamekuwa na machafuko, wananchi wa huko walikuwa wakikimbilia huku na wengine wakitaka kuendeleza harakati zao kutoka ndani ya nchi yetu, jeshi letu lilidhibiti mikoa mbalimbali hasa ile ya mipakani kuanzia Katavi, Kigoma, Kagera kukawa salama kabisa."
"Mnajua chokochoko iliyotokea Uganda, na mnajua kazi iliyofanywa na jeshi, tulipoteza vijana wengi sana, wale wameapa kuifia nchi na waliifia nchi, tusije tukawaingiza kwenye haya matatizo ya kisiasa, wananchi wakaanza kuwaona nao wanapendelea upande mmoja. Mimi ninaomba kabisa jeshi la ulinzi lisije likaingizwa kwenye mambo ya siasa, siyo kazi yake, kazi yake ni kulinda usalama wa nchi".
Ikitokea, naamini wanaoitwa wasiofahamika watakuwa wamefahamika.Huyu Mzee asipotekwa sijui yaani
Ni ilogical kusema unalinda utu wa mtu kwa kumuua huyo mtu!!muda mwingine ili mambo yaende ni lazima mambo yatokee, Africa hatuhitaji demokrasia kama wazungu, mambo ya ushoga ndio yanaingia kwa gia ya demokrasia, haki sawa, haki za binadamu mambo mengine kama hayo, haiwezekani nchi zinazopinga mambo ya ushoga kama NORTH KOREA, RUSSIA, CHINA, waonekane watu wabaya, serikali inawajibika kutumia mbinu zozote kuhakikisha utu wa Mtanzania unalindwa.
Hivi watu wa CCM mna shida gani yaani kwa maelezo aliyoyatoa mzee mi mpaka mwili ulikuwa unanisisimuka. Kaongea kizalendo sana, tatizo Ccm mnadhani hii nchi ni yenu peke yenu. Hayo mnayoyafanya linaligharimu sana taifa.Wapi jeshi limeingilia siasa wewe mzee mwenye sura kama Cobra aliyezeeka. Mzee mwanga wewe kutwa kutabiria machafuko nchi hii, kumbe Makonda hakukosea kukuchapa makofi. Kaa lea wajukuu zako sio kutuletea nuski na machafuko yako, watoto wako kunyimwa nafasi tu imekuwa nongwa.
Mungu akamwozee miaka 20 mbele ikimpeza,mzee wa maana sana,sanaWaziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Sinde Warioba, amewataka wanajeshi kuepuka kuingilia siasa, akisisitiza kuwa kazi yao ni kulinda usalama wa nchi. Akizungumza na wanahabari Disemba 4, 2024, Warioba alikumbusha historia ya machafuko kutoka nchi jirani na kusema jeshi lilifanikiwa kudhibiti mikoa ya mipakani kama Katavi, Kigoma, na Kagera. Alionya kuwa kuingiza jeshi katika siasa kunaweza kuhatarisha usalama, akitoa mfano wa ufanisi wa jeshi katika vita ya Uganda.
"Tangu Uhuru watu wa Kongo, Burundi, Rwanda wamekuwa na machafuko, wananchi wa huko walikuwa wakikimbilia huku na wengine wakitaka kuendeleza harakati zao kutoka ndani ya nchi yetu, jeshi letu lilidhibiti mikoa mbalimbali hasa ile ya mipakani kuanzia Katavi, Kigoma, Kagera kukawa salama kabisa."
"Mnajua chokochoko iliyotokea Uganda, na mnajua kazi iliyofanywa na jeshi, tulipoteza vijana wengi sana, wale wameapa kuifia nchi na waliifia nchi, tusije tukawaingiza kwenye haya matatizo ya kisiasa, wananchi wakaanza kuwaona nao wanapendelea upande mmoja. Mimi ninaomba kabisa jeshi la ulinzi lisije likaingizwa kwenye mambo ya siasa, siyo kazi yake, kazi yake ni kulinda usalama wa nchi".
Uzuri zipo kikatibaHuyu mzee ataletewa tena DAB, bora akae kimya ale pension yake kwa utulivu.
Hawawezi kumteka. Watampuuza tu kama kawaida yao. Mungu ambariki huyu mzee. Hana unafiki wala huwa hakai kimya pale anapoona mambo yanakwenda mrama.Huyu Mzee asipotekwa sijui yaani
Ukiambiwa umenyie ni uamuzi wako kumsikiliza aliyekuambia au kumpuuza.Toka aanze kuongea public matukio ya aina hii..s there any impact recorded??? mwenye mtindio wa akili ndio anasikiliza hizi garbbage, na juha anakimbia kupost hapa!
Wajinga wanaamini postmortem inarudisha maiti kuwa hai..Ukiambiwa umenyie ni uamuzi wako kumsikiliza aliyekuambia au kumpuuza.
Tatizo ni kwamba wanapewa amri na amiri jeshi wao mkuu ambaye ni mwenyekiti wa chama Cha siasa kinachoongoza serikaliWaziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Sinde Warioba, amewataka wanajeshi kuepuka kuingilia siasa, akisisitiza kuwa kazi yao ni kulinda usalama wa nchi. Akizungumza na wanahabari Disemba 4, 2024, Warioba alikumbusha historia ya machafuko kutoka nchi jirani na kusema jeshi lilifanikiwa kudhibiti mikoa ya mipakani kama Katavi, Kigoma, na Kagera. Alionya kuwa kuingiza jeshi katika siasa kunaweza kuhatarisha usalama, akitoa mfano wa ufanisi wa jeshi katika vita ya Uganda.
"Tangu Uhuru watu wa Kongo, Burundi, Rwanda wamekuwa na machafuko, wananchi wa huko walikuwa wakikimbilia huku na wengine wakitaka kuendeleza harakati zao kutoka ndani ya nchi yetu, jeshi letu lilidhibiti mikoa mbalimbali hasa ile ya mipakani kuanzia Katavi, Kigoma, Kagera kukawa salama kabisa."
"Mnajua chokochoko iliyotokea Uganda, na mnajua kazi iliyofanywa na jeshi, tulipoteza vijana wengi sana, wale wameapa kuifia nchi na waliifia nchi, tusije tukawaingiza kwenye haya matatizo ya kisiasa, wananchi wakaanza kuwaona nao wanapendelea upande mmoja. Mimi ninaomba kabisa jeshi la ulinzi lisije likaingizwa kwenye mambo ya siasa, siyo kazi yake, kazi yake ni kulinda usalama wa nchi".