LGE2024 Jaji Warioba kabla kutoa hukumu yako hususani ya Uchaguzi wa S/Mitaa, uwe umsikiliza pande zote na ushahidi ulionao

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Sasa mtu amekosa vigezo vya kuwa mgombea atachaguliwa vipi?
Wewe kiazi mtu mzima yeyote ambaye sio mhalifu na ni raia wa Tanzania anatosha kuwa mwenyekiti au mjumbe wa kijiji, mtaa na kitongoji. Hayo mengine yote ni porojo za kihuni tu.
 
Kesi ya mbuzi kwenda kwa fisi,ni ama mawili fisi apate kitoweo ama amraruerarue tu mbuzi bila hata ya sababu kwani hata kumla hamli kwa kuwa anashibe.
 
Wangewezaji kuitambulisha aibu yenu,hapo wamewaacheni bila nguo,basi angalao mngechutama,ila wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…