Jaji Warioba: Miaka yote watu wanaelewa kujaza fomu, lakini 2020 ghafla hawajui. Siasa inataka kuingia kwenye Dini

Jaji Warioba: Miaka yote watu wanaelewa kujaza fomu, lakini 2020 ghafla hawajui. Siasa inataka kuingia kwenye Dini

Huna ushahidi, mropokaji tu, usichafue watu sababu tu huwapendi, mtu MWENYE AKILI huwa anaambatanisha USHAHIDI na TUHUMA, Bila kufanya hivyo unaonekana Tahira tu na mropokaji hovyo, mpiga zoga kwenye vibanda vya magazeti na kahawa! Weka ushahidi, acha kutapatapa
Ushahidi upi wa Makonda ambao wewe umeutoa hapa au ni chuki zako tu? Ofcourse dogo ana hela na ni don sasa kinakuuma nini badala upambane na maisha unakalia majungu tu
 
Huna ushahidi, mropokaji tu, usichafue watu sababu tu huwapendi, mtu MWENYE AKILI huwa anaambatanisha USHAHIDI na TUHUMA, Bila kufanya hivyo unaonekana Tahira tu na mropokaji hovyo, mpiga zoga kwenye vibanda vya magazeti na kahawa! Weka ushahidi, acha kutapatapa
Wewe mwenye akili hakikisha una utajiri kumzidi yeye acha ushamba
 
Ipo wazi kwamba kila binaadamu ana mabaya yake na mazuri yake, sasa likitokea kundi linamfanya binaadamu mwenzao kuwa hana mazuri ana mabaya tu na kundi lengine linamfanya binaadamu mwenzao hana mabaya ana mema tu basi hapo linapokuja tatizo.
Ni kweli, tatizo linakuja hapo, si kwamba jamaa hakufanya mazuri, kuna mazuri mengi alifanya! Ishu ni pale yakizungumzwa madhaifu ya awamu yake, wapambe wake wanakuja juu kama Mbogo, mara katukanwa n.k.! But the same time mazuri/mabaya ya awamu zingine zote yanazungumzwa vizuri tu, watu wanayajadili na maisha yanasonga! Sasa huu udikteta wa kupangiana cha kuzungumza kuhusu awamu ya 5 sijui umetoka wapi!
 
Ushahidi upi wa Makonda ambao wewe umeutoa hapa au ni chuki zako tu? Ofcourse dogo ana hela na ni don sasa kinakuuma nini badala upambane na maisha unakalia majungu tu
Hahaha! Utajiri ambao mtaji ni ukuu wa mkoa? Wewe jamaa wa hovyo sana! Arudishe mali alizokwapua kutumia jina la Jiwe sasa, aache kulialia
 
Hahaha! Utajiri ambao mtaji ni ukuu wa mkoa? Wewe jamaa wa hovyo sana! Arudishe mali alizokwapua kutumia jina la Jiwe sasa, aache kulialia
Huo uchoko kwani mkuu wa mkoa hawezi kuanzisha miradi binafsi? Mbona unakuwa zwazwa sana
 
Wengi wao wanatafuta cha kulamu baada ya kushindwa. Baadhi ya form zilizoenguliwa ziliwekwa hapa JF na walalamikaji, na kweli zilikuwa na makosa, ila wao walisema kuwa makosa hayo yalikuwa madogo. Normally ukishafanya kosa, lazima hukumu ifuatie. Usipokubaliana nayo, unakata rufaa. Wengi wao walikata rufaa na kuhurumiwa, lakini siyo kuwa walikuwa wameonewa bali ni kweli kulikuwa na makosa katika kujaza fomu zao. Mmoja aliandika kuwa chama chake ni ACT, lakini kisheria hakuna chama kinaitwa ACT bali kuna ACT-Wazalendo. Ni kosa dogo, lakini ni kosa.

..hata Magufuli alikosea kuweka picha ktk fomu yake lakini Tume ikamhurumia.

..Juma Duni Haji ambaye amegombea chaguzi nyingi alienguliwa ktk uchaguzi wa 2020.

NB:

..Mwaka 2020 Tume ya uchaguzi iliengua wagombea wengi wa upinzani kuliko ilivyofanya mwaka 1995.

Cc WALOLA VUNZYA , Nguruvi3
 
..hata Magufuli alikosea kuweka picha ktk fomu yake lakini Tume ikamhurumia.

..Juma Duni Haji ambaye amegombea chaguzi nyingi alienguliwa ktk uchaguzi wa 2020.

NB:

..Mwaka 2020 Tume ya uchaguzi iliengua wagombea wengi wa upinzani kuliko ilivyofanya mwaka 1995.
Mzee Warioba aliwahi kusema kazi ya tume si kuengua wagombea, kukosea kujaza fomu si sababu ya kumuengua mgombea, akauliza sheria hiyo ipo wapi?
Tume inapata wapi muongozo huo?

Pili, kuna matatizo mengi.
Wakurugenzi kukimbia ofisi mgombea achelewe kurudisha Fomu . Wanaochelewa ni Wapinzani tu

Tatu, kuna uhuni wa watu kunyang'anywa fomu na ni Wapinzani tu, haijawahi kutokea Polisi ikakamata watu hao ambao kisheria ni wahalifu kama wahalifu wa uporaji tu

Ukimsikiliza Mahera lazima tumbo litakukata, tuna watu wa ajabu sana
Mahera anasema kama kuna kuenguliwa tume haihusiki kwasababu haifiki huko vijijini.

Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Tanzani Dr Mahera anadhani tume ipo makao makuu tu ikisubiri kujumlisha matokeo. Huyu ni Dr hajui wigo wa Tume, unabaki kujiuliza sana!

Ni kama niliyosikia Dr Kitila akisema kwanini Wapinzani hawakwenda Mahakamani.

Mkumbo anajua Jaji mkuu aliambiwa kuna mhimili uliojichimbia tangu hapo tukaanza kumuona kila hafla ya kuapishwa hata Wenyeviti wa Bodi.

Mahakama iliyosema Wakurugenzi wakiapa basi ni waadilifu kwasababu ya kiapo
Hii ndiyo unapeleka kesi ya kushindwa tena wakati wa mwendazake utegemee haki

Mkumbo bado ana kumbu kumbu za akina Nyalali, Kisanga, Samatta!
Sijui ni kuvimbiwa asali au ni kitu gani.
 
Jaji Warioba ametoa valid observation,wanaopinga wapinge tu,lakini ukweli utabaki kuwa ukweli.
-Uongozi wa CCM ulitaka Mgombea wao apate ushindi wa kimbunga,ili kumtia moyo kuwa anafaa kuongoza nchi.
-Mamlaka ya uteuzi iliwahi kuchimba mkwara Kwa wakurugenzi wa halmashauri za miji na majiji ikiwaonya kuwa "wameteuliwa kuwa wakurugenzi na wamepewa magari na nyumba, halafu wasikie CCM imeshindwa uchaguzi".
-Ujumbe huo ulichangia haki kutofanyika wilaya zote.
-wasimamizi wa uchaguzi walitumia hila kuchakachua matokeo mpaka wamejikuta ,wapinzani wana viti viwili tu
-Na matakwa ya Sheria ,kamati ya PAC na LAAC bungeni ni lazima ziongozwe na wapinzani,
-Ndipo walipowachukua Covid-19, baada ya Chadema kutishia kutotambua matokeo na kutopendekeza wabunge wa vitie maalum ni aibu,
-wenye Chama ( CCM ) wanakiri
kuwa kulikuwa na mapungufu,yanayohitajika kurekebishwa.
-Jaji Warioba ndiyo waanzilishi wa CCM na amebaki kuwa mwanaccm lakini siyo mnafiki.


Ushauri
-Ushindi Ni ushindi,hata ukipata asilimia 51 ya wapiga kura bado ni ushindi.
-Viongozi wetu wawe wanasutwa na nafsi zao,waache unafiki, wasipende kusema Yale ambayo mkuu anaipenda kuyasikia,wakiwa pembeni,na wao wanalilia.
-Mwenyekiti wa CCM awe na forum ya kuonana na hawa wazee wetu ( Makada wa CCM ) na kupata ushauri huru , kabla ya kufanya vikao vya kamati kuu au Halmashauri kuu,hii itaondoa tabia ya Makada wa CCM kutoa maoni na ushauri kwenye makongano.
 
Ni kweli, tatizo linakuja hapo, si kwamba jamaa hakufanya mazuri, kuna mazuri mengi alifanya! Ishu ni pale yakizungumzwa madhaifu ya awamu yake, wapambe wake wanakuja juu kama Mbogo, mara katukanwa n.k.! But the same time mazuri/mabaya ya awamu zingine zote yanazungumzwa vizuri tu, watu wanayajadili na maisha yanasonga! Sasa huu udikteta wa kupangiana cha kuzungumza kuhusu awamu ya 5 sijui umetoka wapi!
Tatizo ni hapo kuna kundi ambalo halitaki na haliwezi kuvumilia kuona huyo jamaa anazungumziwa kinyume na mabaya ya huyo mtu, kuna wengine wanakwenda mbali zaidi hawataki hata kukubali kwamba huyo mtu ana mema, ndio maana kila pale anapozungumziwa huyo mtu si kwa mabaya wao huona kama anasifiwa shetani hivyo huchefukwa na kuja kueleza mabaya hata yale ambayo hayahusiani na mada husika.
 
Magufuri alikuwa mshamba tu, aliyetokea kijijini huko.kwani Nape unafikiri alikosea aliposema tuna rais mshamba, alikuwa sahihi huoni mamlaka imemrudisha tens
 
Unafahamu hats Adolf Hitler na Makaburu kuna mema walifanya?
Tatizo ni hapo kuna kundi ambalo halitaki na haliwezi kuvumilia kuona huyo jamaa anazungumziwa kinyume na mabaya ya huyo mtu, kuna wengine wanakwenda mbali zaidi hawataki hata kukubali kwamba huyo mtu ana mema, ndio maana kila pale anapozungumziwa huyo mtu si kwa mabaya wao huona kama anasifiwa shetani hivyo huchefukwa na kuja kueleza mabaya hata yale ambayo hayahusiani na mada husika.
 
Kwanini hawakuenda mahakamani?

Kubaki unalialia umeonewa wakati hakuna kesi hata moja mahakamani ya kupinga uchaguzi ni upuuzi na kupoteza muda.
Aliyemteua Mahera si ndio huyo huyo alimteua mkuu wa mahakama? Kwa akili yako ulitegemea Mahera anaweza kupokea maelekezo na kuyatekeleza lakini mkuu wa mahakama asitekeleze? Aibu ndogo ndogo kama hizi unaweza kuziepuka mkuu
 
Unafahamu hats Adolf Hitler na Makaburu kuna mema walifanya?
Ndio nafahamu si ndio tumesema kila binaadamu ana mema na mabaya yake na hao pia ni binaadamu, kwahiyo inategemea unapomzungumzia mtu unamzungumzia kwa lipi. Kuna mengi ya kumzungumzia binaadamu hasa akiwa kiongozi hata huyo Hitler au iwe Osama bin laden kabisa.
 
Jaji Warioba akichangia kwenye mkutano wa TCD leo Dodoma, amenena haya

Miaka yote watu wanaelewa na wanajaza fomu vizuri lakini Mwaka 2020, ghafla watu hawajui kujaza fomu (wanaenguliwa). Hapa lazima kuna namna

Msitazame Wajumbe wa Tume pekee, angalieni Mfumo mzima wa Uchaguzi. Wizi wa kura unaanzia mbali. Unaanzia kwenye Kuandikisha wapiga kura, wakati wa kupiga kura na kutangaza matokeo

Siasa inataka kuingia kwenye dini, zamani viongozi tulikuwa tunakwenda kwenye vyumba vya ibada kama waumini, unasikiliza neno la Mungu. Siku hizi viongozi wakienda wanaombwa kutoa salamu za kisiasa, hii inaweza iingiza siasa katika dini tukapata matatizo

Vyama vingi vimekuwa kama makabila, vinaanza kugawa wananchi. Wananchi walikuwa kama jumuiya lakini siku hizi mambo mengi ya kijamii tunaingiza siasa, mfano msiba ni wa jamii lakini baadhi ya misiba unakuta sare za vyama,"

Katika vyama jumuiya zetu nazo zinakuwa kama za uhasama, badala ya kutuleta pamoja. Hali tuliyo nayo sasa utamaduni umetikiswa kidogo na tunapozungumzia maridhiano, nia yake kuturudisha kwenye utamaduni tuliokuwa nao


Viongozi wa kisiasa wangehubiri amani kama walivyofanya viongozi wa dini miaka michache iliyopita, nchi isingekuwa na malalamiko yanayolalamikiwa hivi sasa “kama wangetenda kama viongozi wa dini, nadhani matatizo haya tunayozungumza tusingekuwa nayo.

Madini ya mzee Warioba haya, halafu kuna Mkulya kule space anadai huyu mzee sio CREDIBLE wa kushiriki kongamano hili sababu ni CCM. Alijaribu kumu dharirisha kuhalalisha kugomea ushiriki wao. Ati Hana ufahamu wa madhira waliyowapata vidole juu. Nashukuru MM alimukanya asimudharau mzee huyu. Ndiye aliyetuletea rasimu ya katiba tunayoipigania.
 
Back
Top Bottom