Mkuu Jemima Mrembo , kitendo cha kunifananisha mimi na hawa machawa wa humu, sio kunitendea haki, ni kama kunitukana!, kumtukana mtu mwenye umri wa mzazi wako, ni kujitafutia balaa!, lakini kwa vile mimi japo umri umesonga lakini napenda warembo, nimekusamehe!, usirudie kunifananisha mimi na hawa machawa wa humu..
Kuna kusifia kwa sifa za ukweli, na kuna kusifia kwa uchawa, ili kujua namna ya kutofautisha, karibu pande hizi, Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza! mfano kuna machawa kibao wa Samia humu, mtu kama huyu, anayethubutu kumwambia Samia jambo kama sauti HII huwezi kumuita chawa!!.
P
 
Tatizo liko kwa anayesifiwa huku amedungwa mrija ila hajui kama anaumizwa
 
Mungu tulindie huyu mzee maana naona amebaki pekee kusemea tabaka la chini sisi tusio na sauti
 
Mkuu umenifikirisha sana, unamaanisha kuwa hawa viongozi wetu mawaziri wamesoma Plato Republic yenye BOOK I -BOOK X? au umaanisha nini?
Napenda kusoma vitabu sana, nilipomaliza sekondari school kidato cha nne kitabu cha kwanza kusoma nikiwa nasubiri kwenda High school kilikuwa ni Rugged Constitution ikizungumzia jinsi Katiba ya Marekani ilivyoundwa miaka miaka hiyo 1789 kama sijakosea.
 
CCM chama hilo halina ubishi ila saa zingine lazima tuwape ukweli wao kwa faida ya jamiii.
Ccm kama Chama haina tatizo ila tatizo ni wale waliojipenyeza humo kwa nia zao za kujilimbikizia mali ndio shida !
Wale CCM Asili hawana tena chao humo kwa sababu hawana maokoto ya kumwaga 🙄😳😳
 
Mzee Warioba ndio Mzalendo pekee mwenye alikuwa na Wadhifa mkubwa katika Nchi hii ambaye huwa anazungumza vitu vya kweli kabisa bila kuwa na hofu
 
Don’t know the book you are talking about (though I have a read a couple of books on US political principal and keep them as reference). The building block.

Kwa hawa watu hata watu ivyo vitabu vya siasa at foundation level ukiwasikiliza unaona kabisa hawaja soma na hapa (namzungumzia Dr. Bashiru) though I love him kwa sababu zingine.

Kuna vitabu luluki vya siasa at foundation level, hawa watu hata hizo concept kuzielewa shida kwao (nazungumzia a majority of senior politicians) huo ndio uhalisia.

Ukija huko kwa Plato ni maswala ya strategies wana olewa political philosophy na uelewa huo nafasi zake ni strategic pia.

Kwa siasa zetu hakuna hao watu, kwa sababu wanatakiwa kutengenzwa ni story ndefu.

Tunafanya hayo mambo kwa kufundishwa ila bila ya kuelewa walimu wetu, wame copy kwa Plato na msingi wake ni nini.
 
Ccm kama Chama haina tatizo ila tatizo ni wale waliojipenyeza humo kwa nia zao za kujilimbikizia mali ndio shida !
Wale CCM Asili hawana tena chao humo kwa sababu hawana maokoto ya kumwaga 🙄😳😳
Ndugu CCM chama ambacho hakina mpinzani.

Na hakuna chama kisicho na wahuni wachache wenye kusaka mali.

Ni vipi CCM inalea hao wahuni Ndio shida.

Iła CCM chama kulinganisha na upupu uliopo vyamq vya upinzani.
 
Anayoyasema ni ya kweli au uongo? kama alikosea huko nyuma asiseme ukweli?
 
Hao Makatibu Wakuu wenyewe wanateuliwa vilaza wasio wa mbele wala nyuma. Unategemea tutakuwa na Civil Service imara?
 
Uko sahihi kabisa. Nimependa mchango wako.

Huku tuna makatibu wakuu naskia wanakimbizana kwenye matukio ya kuzionesha Wizara zao kwenye vyombo vya habari ili tu waonekane na Rais wanafanya kazi.

Wameacha kabisa mambo ya msingi kwenye Wizara zao ikiwemo kusimamia sera na kutengeneza sera zinazohakikisha nchi inakuwa na maendeleo ya uhakika siku za mbeleni.

Tuna Makatibu Wakuu ambao hawajui hata vision ya nchi ikoje. Imefika wakati huoni tofauti kati ya Permanent Secretary na Mwanasiasa

Tuna safari ndefu sana Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…