Jaji Warioba: Viongozi na wanahabari acheni uchawa mnaumiza wananchi
Siasa za ulaya zinanguzo zifuatazo

Stability ya ulinzi wa jamii (a safe society)
Stability ya uchumi (ni high debt society).

Muhimu ni mikopo ya biashara hiyo ndio nyenzo ya uchumi kukuwa.

Pili ni public debt (madeni ya raia) ikiongozwa na secured loans kwenye kununua nyumba (mortgages), Followed by credit loans (magari, furnitures and others.

Tatu ni deni ni deni la serikali.

Kwa kifupi kuanza kuongelea jinsi hizi nchi za wenzetu zinavyoendeshwq na upuuzi wa respond utakaopata (ni waste of time)

Tuko hapa kwa sababu hatuna watu wenye uwezo wa kuendesha nchi sio CCM tu hata civil services ambayo inatakiwa kuwa imara zaidi.

Dunia inaweza elewa nchi kutokuwa na raisi na serikali yake (mawaziri) ambao hawana uwezo, lakini aiwezi ielewq civil services hao wapuuzi maamuzi yao yahatarishe usalama wa nchi au nchi iwe kwenye disadvantage kutokana na maamuzi ya hovyo ya wanasiasa.

Hakuna taasisi ya usalama yenye watu wenye akili hapo ambayo 360% degrees kuna sungu sungu tu.

Civil services ya Tanzania ni weak.

Tanzania ina watu wenye uwezo wa kujenga civil services imara, mfano (Dorothy Gwajima), kuna succession planning nzuri. Civil services wana haribu kumuachia raisi aweke mapoyoyo anayotaka wewe.

Tusilaumu kwa matatizo yetu, shida zote msingi wake ni sisi. Una mkuu wa mkoa anapenda matako ya watoto wadogo utaki ku chukulia hatua halafu unalaumu vitabu vya mzungu kukuletea ushoga.

Own your deficiencies first, kabla ya kulaumu watu wengine.
Naomba uanzishe thread special kuhusu hili jambo. Tujadili humu watu waone tulivyo na dead Civil Service nchi hii ambayo inafanya future yetu kama Taifa kuwa hatarini sana
 
Akizungumza mbele ya Media Council of Tanzania, waziri mkuu mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba

View attachment 3035560



Ninatazama bunge la Dodoma, imekuwa fasheni kila mbunge kuanza mchango wake wa hoja kwa kutaja na kumsifia rais.

Vyombo vya habari kwa nyakati ya sasa hivi badala ya kutoa habari vimegeuka kuwa vyombo vya propaganda yaani uchawa ...

Woga umetamalaki kwa kisingizio cha self censorship/ nidhamu ya woga, hakuna habari za kiuchunguzi yaani zili zilizofayiwa research kwa kuogopa zinaweza kuwa kinzani na uchawa uliopo anasema Jaji Joseph Sinde Warioba ...

Waziri mkuu mstaafu anabainisha kuwa mwaka 1961 alifanya kazi na chombo cha media cha The Standard kabla ya kujiunga na masomo ya juu ya Chuo Kikuu. Hivyo anakumbuka viwango vya uandishi wa habari enzi hizo, na kulinganisha na hivi sasa ambapo yeye ni sehemu ya consumer society yaani walaji na anaona mapungufu makubwa ya viwango vya uandishi na utoaji habari ... kutokana na woga kuwakaba Media na hata viongozi..

Jaji Joseph Sinde Warioba anasema aliteuliwa katika Tume ya Haki Jinai kisha pia kuingizwa ktk Kamati ya Kutekekeza Mapendekezo ya Tume. Huko pia aliona woga wa wananchi ambao wengi hawataki kutoa ushirikiano kwa vyombo vya Haki Jinai kama Polisi, TAKUKURU n.k kwa kuhofia kupata matatizo ...

Wananchi wanahitaji habari za kila aina siyo hizi za uchawa / propaganda pekee zinazobebwa na media zote kusifia au kupamba kinamna habari zinazopendwa kusikika na viongozi....anasema Jaji Warioba.


Nafahamu kika chombo cha habari kina editorial policy / sera za mwegemeo, lakini vyombo hivyo visiwe kama kasuku kwa kutoa habari zenye chanzo / source kimoja bali vifanye research / uchunguzi ili habari katika vyombo vya habari ziaminike na kuwa habari zenye kuweza kufanyiwa rejea au kunukuliwa kwa uhakika.... ..

Jaji Joseph Warioba anawasa waandishi habari nguli na wahariri waliojitokeza kwa wingi kuhudhuria mkutano ulioandaliwa na Jukwaa la Wanahabari wa Tanzania / Media Council of Tanzania, kuwa tabia ya kuendekeza uchawa / propaganda haiwasaidi wananchi wala viongozi ....

Nchi hii imejenga matabaka mawili yaani la juu ni viongozi, private sector na ninyi wasomi waandishi wa habari / wahariri na kujitambulisha kama tabaka 'muhimu' .....

Na tabaka hili la kwanza hufanya mikutano ya 'viongozi' bila kushirikisha tabaka la wananchi. Na item / point ya kwanza badala ya kuanza na ajenda, utambulisho ndiyo unaanza kwa urefu sana dakika hadi 15 kutaja kila kiongozi ... na kuhitimishwa itifaki / protokali imezingati.....

Jaji Warioba anasema masuala ya Itifaki imezingatiwa alianza kuona na kusikia Nigeria ambapo wenzetu kule hutaja viongozi wawili tu na wengine wote huingiza ktk kundi la itifaki imezingatiwa. Lakini hapa kwetu Tanzamia kutokana na uchawa huwa tunataja viongozi wote na itifaki inazingatiwa ni kwa kundi la wananchi wasio viongozi...


Hotuba ya bajeti ya waziri wa fedha ilichukua ilikuwa ya masaa 2 na dakika 6 baada ya hapo utambulisho ikichukua dakika 40 kuwataja viongozi waliopo ukumbini, lakini wakasahau kuwa nje ya ukumbi kuna wananchi wanasikiliza hawa hawakutajwaa kabisa wakati hii ni bajeti ya nchi siyo wa viongozi .. .Jaji Wariiba anasimulia kasumba hii ilivyoota mizizi ...

Hata hotuba zimekuwa watu wetu / wangu , zamani ilikuwa katika hotuba neno wananchi ndiyo limetamalaki anabainisha jaji Joseph Warioba kuonesha tabaka .... wananchi wamekuwa kama ni mali ya viongozi wakati wananchi ndiyo waliowaajiri viongoziv....

Kauli za wananchi waelimishwe baada ya kuanda sera au muswada inaukakasi asema Jaji Warioba. Ni kutokana na sisi tabaka la viongozi waanda sera kutowashirikisha wananchi toka mwanzo, kwa kuwa viongozi wanajiona wanahaki ya kuandaa muswada au sera bila kushirikisha umma, kisha wananchi waelimishwe..

Jaji Warioba anasema wanachofanya wananchi hakifahamiki, mfano angalia vichwa vya habari asubuhi ktk magazeti, radio, televisheni , online n.k zimesheheni matamko ya viongozi .... mgomo wa Kariakoo tuliona tu habari ya maduka kufungwa lakini habari ya maandalizi ya mgomo hayakuandikwa hii ina maana hawakusikilizwa na viongozi wala media hadi maduka yalipofungwa kwa mgomo, je hii ni bahati mbaya au ni tabaka la viongozi, wasomi wanahabari kutosikiliza kero za wafanyabishara wa Kariakoo ....

Tumeona kwa majirani zetu jinsi ndoa ya uchawa baina ya viongozi, wasomi waandishi habari, private sector walivyopuuza habari za kero za wananchi kisha kizazi cha 'Gen Z' kilivyolipuka kiaina na nchi hiyo kuingia ktk matatizo .....atoa mfano Jaji Warioba

Sera inakuwa rahisi kukubalika ikiwa viongozi, wasomi ikiwemo waandishi habari, private sector kuwauliza wananchi wanataka nini, vipaumbele vyao n.k badala ya tabaka lenu kujifungia kutunga sera halafu mkajidai mnaenda kuelimisha wananchi. Jaji Warioba anakiri alipokuwa kiongozi alijifunza mengi kutoka kwa wananchi, lakini sasa tabaka la juu la viongozi, wasomi wanadhani hawawezi kujifunza kutoka kwa wananchi .... jaji Joseph Warioba anawaasa tabaka hili la juu liliojitenga na wananchi....
hawa wazee waache unafiki na kutaka waonekane kama walifanya mazuri enzi zao.

maisha ya wananchi yalikuwa magumu sana wkt wao wanatawala na kula keki ya nchi.

ajue tu uchawa haukuwezekana wkt wa utawala wao sio kwa sababu walifanya mazuri. ni big NO.

ni kwa sabab serikali ilikuwa ya kiimla/ kidikteta watu walinyamazishwa kuongeza.

usingeweza kuiongelea serikali kwa kuiokosoa na ukabaki salama kwa miaka iyo, kwanza hakukuwa na iyo platform ya kuongelea maana media zote zilikuwa za serikali au chama
 
Huyu mzee ni azina kwa Taifa, akitumiwa vizuri na viongozi wenye nia njema na hili taifa, lakini ndo hivovwanmpiga nakofi.
Pascal Mayalla , Tlaatlaah na Luka mna la kujifunza hapa wazee wangu wa hovyo.
 
Waandishi wa habari ni sehemu muhimu sana ya state-craft ni kwamba hawafahamu hilo na mzee Warioba kawakumbusha.

Hawajielewi kama wao ni mhimili wa nne ktk dola, wameamua kuwa sehemu ya watawala kwa sababu ya woga au uchawa.

Utakuta wanalaumu vyama vya upinzani kuwa havitoshi kwa kuandika makala au kujadili ktk radio/ televisheni wakitumia uchawa (propaganda) kuwa CCM ibaki milele ili nao waendelee kufaidi makombo wanayosaza watawala waliopo.

TOKA MAKTABA:

21 May 2024
LIVE: WAZIRI MKUU MAJALIWA AKISHIRIKI KONGAMANO LA WANAHABARI WA MITANDAO YA KIJAMII JUMUKITA


View: https://m.youtube.com/watch?v=gXavFSYiS5c&pp=ygU3S09OR0FNQU5PIExBIFdBTkFIQUJBUkkgV0EgTUlUQU5EQU8gWUEgS0lKQU1JSSBKVU1VS0lUQQ%3D%3D
 
Uchawa ni adui mkubwa wa ustawi kwa Taifa hili. Machawa wamekuwa mazezeta. Hawaongei kitu chochote cha maana zaidi ya kusifu.

Fikiria ungekuwa ndugu wa mtu kama Mwashambwa au Variable, si ungeona ni laana imeingia katika familia au ukoo? Nani angependa awe na ndugu wa namna Ile. Na hizi ni sampuli za waliopo mtaani. Kwa aina za watu kama hao, utasema kweli una Taifa?
 
Akizungumza mbele ya Media Council of Tanzania, waziri mkuu mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba

View attachment 3035560



Ninatazama bunge la Dodoma, imekuwa fasheni kila mbunge kuanza mchango wake wa hoja kwa kutaja na kumsifia rais.

Vyombo vya habari kwa nyakati ya sasa hivi badala ya kutoa habari vimegeuka kuwa vyombo vya propaganda yaani uchawa ...

Woga umetamalaki kwa kisingizio cha self censorship/ nidhamu ya woga, hakuna habari za kiuchunguzi yaani zili zilizofayiwa research kwa kuogopa zinaweza kuwa kinzani na uchawa uliopo anasema Jaji Joseph Sinde Warioba ...

Waziri mkuu mstaafu anabainisha kuwa mwaka 1961 alifanya kazi na chombo cha media cha The Standard kabla ya kujiunga na masomo ya juu ya Chuo Kikuu. Hivyo anakumbuka viwango vya uandishi wa habari enzi hizo, na kulinganisha na hivi sasa ambapo yeye ni sehemu ya consumer society yaani walaji na anaona mapungufu makubwa ya viwango vya uandishi na utoaji habari ... kutokana na woga kuwakaba Media na hata viongozi..

Jaji Joseph Sinde Warioba anasema aliteuliwa katika Tume ya Haki Jinai kisha pia kuingizwa ktk Kamati ya Kutekekeza Mapendekezo ya Tume. Huko pia aliona woga wa wananchi ambao wengi hawataki kutoa ushirikiano kwa vyombo vya Haki Jinai kama Polisi, TAKUKURU n.k kwa kuhofia kupata matatizo ...

Wananchi wanahitaji habari za kila aina siyo hizi za uchawa / propaganda pekee zinazobebwa na media zote kusifia au kupamba kinamna habari zinazopendwa kusikika na viongozi....anasema Jaji Warioba.


Nafahamu kika chombo cha habari kina editorial policy / sera za mwegemeo, lakini vyombo hivyo visiwe kama kasuku kwa kutoa habari zenye chanzo / source kimoja bali vifanye research / uchunguzi ili habari katika vyombo vya habari ziaminike na kuwa habari zenye kuweza kufanyiwa rejea au kunukuliwa kwa uhakika.... ..

Jaji Joseph Warioba anawasa waandishi habari nguli na wahariri waliojitokeza kwa wingi kuhudhuria mkutano ulioandaliwa na Jukwaa la Wanahabari wa Tanzania / Media Council of Tanzania, kuwa tabia ya kuendekeza uchawa / propaganda haiwasaidi wananchi wala viongozi ....

Nchi hii imejenga matabaka mawili yaani la juu ni viongozi, private sector na ninyi wasomi waandishi wa habari / wahariri na kujitambulisha kama tabaka 'muhimu' .....

Na tabaka hili la kwanza hufanya mikutano ya 'viongozi' bila kushirikisha tabaka la wananchi. Na item / point ya kwanza badala ya kuanza na ajenda, utambulisho ndiyo unaanza kwa urefu sana dakika hadi 15 kutaja kila kiongozi ... na kuhitimishwa itifaki / protokali imezingati.....

Jaji Warioba anasema masuala ya Itifaki imezingatiwa alianza kuona na kusikia Nigeria ambapo wenzetu kule hutaja viongozi wawili tu na wengine wote huingiza ktk kundi la itifaki imezingatiwa. Lakini hapa kwetu Tanzamia kutokana na uchawa huwa tunataja viongozi wote na itifaki inazingatiwa ni kwa kundi la wananchi wasio viongozi...


Hotuba ya bajeti ya waziri wa fedha ilichukua ilikuwa ya masaa 2 na dakika 6 baada ya hapo utambulisho ikichukua dakika 40 kuwataja viongozi waliopo ukumbini, lakini wakasahau kuwa nje ya ukumbi kuna wananchi wanasikiliza hawa hawakutajwaa kabisa wakati hii ni bajeti ya nchi siyo wa viongozi .. .Jaji Wariiba anasimulia kasumba hii ilivyoota mizizi ...

Hata hotuba zimekuwa watu wetu / wangu , zamani ilikuwa katika hotuba neno wananchi ndiyo limetamalaki anabainisha jaji Joseph Warioba kuonesha tabaka .... wananchi wamekuwa kama ni mali ya viongozi wakati wananchi ndiyo waliowaajiri viongoziv....

Kauli za wananchi waelimishwe baada ya kuanda sera au muswada inaukakasi asema Jaji Warioba. Ni kutokana na sisi tabaka la viongozi waanda sera kutowashirikisha wananchi toka mwanzo, kwa kuwa viongozi wanajiona wanahaki ya kuandaa muswada au sera bila kushirikisha umma, kisha wananchi waelimishwe..

Jaji Warioba anasema wanachofanya wananchi hakifahamiki, mfano angalia vichwa vya habari asubuhi ktk magazeti, radio, televisheni , online n.k zimesheheni matamko ya viongozi .... mgomo wa Kariakoo tuliona tu habari ya maduka kufungwa lakini habari ya maandalizi ya mgomo hayakuandikwa hii ina maana hawakusikilizwa na viongozi wala media hadi maduka yalipofungwa kwa mgomo, je hii ni bahati mbaya au ni tabaka la viongozi, wasomi wanahabari kutosikiliza kero za wafanyabishara wa Kariakoo ....

Tumeona kwa majirani zetu jinsi ndoa ya uchawa baina ya viongozi, wasomi waandishi habari, private sector walivyopuuza habari za kero za wananchi kisha kizazi cha 'Gen Z' kilivyolipuka kiaina na nchi hiyo kuingia ktk matatizo .....atoa mfano Jaji Warioba

Sera inakuwa rahisi kukubalika ikiwa viongozi, wasomi ikiwemo waandishi habari, private sector kuwauliza wananchi wanataka nini, vipaumbele vyao n.k badala ya tabaka lenu kujifungia kutunga sera halafu mkajidai mnaenda kuelimisha wananchi. Jaji Warioba anakiri alipokuwa kiongozi alijifunza mengi kutoka kwa wananchi, lakini sasa tabaka la juu la viongozi, wasomi wanadhani hawawezi kujifunza kutoka kwa wananchi .... jaji Joseph Warioba anawaasa tabaka hili la juu liliojitenga na wananchi....
Mzee kasema kweli kabisa,Haya mambo si ya kutafumbia macho kamwe!
 
Uchawa ni adui mkubwa wa ustawi kwa Taifa hili. Machawa wamekuwa mazezeta. Hawaongei kitu chochote cha maana zaidi ya kusifu.

Fikiria ungekuwa ndugu wa mtu kama Mwashambwa au Variable, si ungeona ni laana imeingia katika familia au ukoo? Nani angependa awe na ndugu wa namna Ile. Na hizi ni sampuli za waliopo mtaani. Kwa aina za watu kama hao, utasema kweli una Taifa?
Duuh Kali mno!
 
Huyu mzee kaongea vizuri sana, katika vitu vinanikera ni utambulisho wa kutaja kila mtu, unachukua nusu ya muda wa hotuba. Uanze na mh, raisi, utaje jina, makamu wa raisi, utaje jina, waziri mkuu, utaje jina, viongozi wote na unawataja kwa majina. Ni kero kubwa na inapoteza muda sana.

Fikiria kusoma budget ya wizara ya fedha ilichukua masaa mawili na ushee ila dakika 40 nzima ilikuwa utambulisho. Yaani theluthi koja ya muda yako unaitumia kutambulisha, sio sawa na hii ni kwa viongozi wote.

Kujipendekeza kunatumaliza kama taifa.
Ooh nashukuru sana mke wangu na watoto wangu kwa kunivumilia ninapokuwa kwenye majukumu!Si uache kama wanaona kazi ngumu hao wanao na mkea,Inaboa.
 
Mkuu Jemima Mrembo , kitendo cha kunifananisha mimi na hawa machawa wa humu, sio kunitendea haki, ni kama kunitukana!, kumtukana mtu mwenye umri wa mzazi wako, ni kujitafutia balaa!, lakini kwa vile mimi japo umri umesonga lakini napenda warembo, nimekusamehe!, usirudie kunifananisha mimi na hawa machawa wa humu..
Kuna kusifia kwa sifa za ukweli, na kuna kusifia kwa uchawa, ili kujua namna ya kutofautisha, karibu pande hizi, Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza! mfano kuna machawa kibao wa Samia humu, mtu kama huyu, anayethubutu kumwambia Samia jambo kama sauti HII huwezi kumuita chawa!!.
P
Pole mkuu,inawezekana uchawa ni kila mtu Sasa anayesifia!
 
Uchawa ni laana.
Lakini hili swala la "uchawa" sasa lina changanya.
Nikiangalia kwa karibu zaidi, "uchawa wa vyombo vya habari na waandishi" sioni tofauti yake na "RUSHWA"- Hawa uchawa wao ni kupewa rushwa toka serikalini.

Enzi za Magufuli, vyombo hivi hivi na waandishi wake walitekwa zaidi na "woga" na vitisho vya kunyimwa matangazo.
Waandishi wengi hadi leo wanaandika ili wapewe vyeo, kuteuliwa kuwa wakuu wa Wilaya na kwingineko

Kuandika habari za kuihoji serikali na viongozi hailipi.

Nchi nzima, tumegeuzwa hivyo hivyo, hata huku mitaani. Ukitaka mambo yako yakae sawa, inakubidi uwe chawa!
 
Pascal Mayala namtetea sio chawa
Nakumbuka ndo aliuliza swali lenye akili enzi za Magufuli aliyekuwa na viashiria vya udikteta
Baada ya hapo, taasisi ya Pascal Mayalla ya PRRR ilikosa kabisa kazi/ biashara, akakutana Na rejection ya hali ya juu, njaa ikampiga vibaya. Baada ya hapo akajiunga Na timu ya CHAWA wa Magu Na baadae akahamia timu ya chawa wa mama
 
Back
Top Bottom